Boda bodas are bicycle and motorcycle taxis commonly found in East Africa. While motorcycle taxis like boda bodas are present throughout Africa and beyond, the term boda boda is specific to East Africa. In Kenya, they are more frequently called piki pikis. Their ubiquitous presence in East African cities is the result of a number of factors including an increasing demand for public transit, the ability to purchase motorcycles on credit, and an influx of cheap imports from Indian manufacturers like Bajaj. In the countries where they are present, boda bodas can provide transportation options to riders and job opportunities to drivers while at the same time resulting in an increase in road hazards and collisions and unnecessary injuries and deaths.
Wimbi la mauaji limeendelea kuzitesa familia za baadhi ya Watanzania baada ya Polisi mkoani Mtwara kuthibitisha mauaji ya madereva bodaboda wawili ambao miili yao imepatikana pamoja na baadhi ya viungo vya mtu mwingine katika pori la Kijiji cha Hiari wilayani Mtwara
Akizungumzia matukio hayo...
Kumekuwepo taarifa ya matukio ya mauaji ya bodaboda mkoa wa Mtwara zaidi ya watano mwaka huu.
Bodaboda hao wanauawa kisha wanaporwa pikipiki zao.
Maiti za bodaboda hizi zimekuwa zikiokotwa maeneo tofauti baada ya kuporwa pikipiki.
Matukio ya mauaji ya bodaboda yamekuwa ya kawaida huku Polisi...
Wanakatazwa kila siku, si polisi na hata Wizara na UDART.
Leo bodaboda mkaidi kaingia njia ya mwendokasi na kuishia kugongwa na kuburuzwa hadi pikipiki ikawaka moto.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan L. Bukumbi ameeleza kukamatwa kwa watuhumiwa wa wizi wa mbuzi.
Amesema tukio hilo lilitokea 09/02/2022 majira ya Saa Saba Usiku, (01:00hrs) maeneo ya Shule ya Msingi Mlandege Kata ya Mlandege Manispaa na Mkoa wa Iringa, Jeshi la Polisi lilifanikiwa...
Haya makundi ya bodaboda yaangaziwe kwa jicho lingine kabisa kwa watumiaji wake.
Baadhi yao ni vibaka, wezi na wanyang'anyi..
Wamemkaba wife Leo mda mchache baada ya kuachana nae, bodaboda aliyemkodi ndie aliyemkaba huko njiani na kumnyang'anya pochi iliyokuwa na simu, pesa pamoja na document...
Salaam wakuu,
Mimi kama kijana nimekuja kwenu Kama Vile mama Samia alivyotuhasa kuwa kazi zipo nyingi mtaani. Mama anakazia hapa Vijana tujishughulishe sasa mimi nimechagua kuwa dereva wa boda au bajaji.
Yoyote ambaye anatafuta dereva wa kumkabizi chombo nipo hapa.
Location: Mwanza, Nyegezi...
Habari Wakubwa,
Mimi ni Kijana ambae nimeamua kuanza kujiajiri,nimefanikiwa kupata hela ya kununua bodaboda boxer ambayo nitaendesha mwenyewe.
Naombeni ushauri wowote Au namna ya kuendesha business hii (faida,changamoto)
Natanguliza shukurani..
Kwenye hili la boda boda naomba tutoe pongezi nyingi kwa aliyeleta hili wazo zitumike kama usafiri wa abiria.
Ameacha alama kubwa kwakweli maana kila kona now kuna kijana ana pikipiki yaaani zimeajiri mamilioni kwa mamilioni ya watu kuna watu wanafaa kuchongewa sanamu aiseepo
pongezi nyingi...
Mzuka wanajamvi!
Raia mwenye asili ya Asia akiwa kwenye pikipiki yake avamiwa na wezi kwenye Bodaboda kupigwa na kunyang'anywa begi baadaye ikagundulika kulikuwa na kiasi kidogo tu cha shilingi million 5 tiuu za Uganda.
Tukio hilo lilitokea mchana kweupe na lilinaswa na CCTV na polisi...
Hivi matraffic mnaokaa barabarani kuvizia makosa huwa mnawaza nini kupanga watu wa kuwasaidia kuwakamatisha madereva, yaani scenario ziko hivi: unaweza ukawa unatembea kwenye kimteremko barabarani, alafu mbele unaona kuna dereva bodaboda kama anasua sua kwenda ili mradi tu umkwepe alafu mbele...
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla amewapa miezi mitatu chama cha bodaboda kuhakikisha wanajipanga na kusajili vituo vyao.
Naye mwenyekiti wa bodaboda amesema wameitikia mwito wa Makalla kwa moyo mkunjufu na wanawasiliana na Injinia wa Tarura ili zoezi lianze mara moja.
Lengo ni...
Ndilo kundi linalonyanyasika sana kipindi hiki.
Nyinyi msijali walikuwaje bali jalini mailage ya kisiasa.Hawa ndiwo watu wanaotegemewa hadi na wajomba zao huko kijijini kuwatumia elfu 5 kila wapatapo sasa wakiikosa ya kuwatumia huko kijijini lazima nao huko waelewe mchawi wa elfu 5 yao ni...
Ni yeye Silaa
Amesema hayo leo Jijini Dar es Salaam
Silaa ambaye ni Mbunge wa kuchaguliwa akiwakilisha jimbo la uchaguzi la Ukonga amesema nia yake hiyo ni kutaka kuonyesha umoja na madereva wote wa bodaboda nchini Tanzania.
Ikumbukwe, Mamlaka za Serikali ndani ya mkoa wa Dar es Salaam hivi...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla amezuia utekelezaji wa zuio la Bodaboda na Bajaji kuingia mjini hadi atakapotoa tamko jipya baada ya kikao chake na Uongozi wa Bodaboda, Jeshi la Usalama Barabarani na Uongozi wa Jiji la Dar es salaam.
Mapema leo Mkuu wa Usalama Barabarani Kanda Maalum...
Nipongeze Serikali kwa kuzuia boda boda na bajaji kuingia mjini wamefanya jambo la maana sana.
Bodaboda ndo zinaongoza kwa kusababisha ajali unakuta badaboda anaovertake gari kubwa mwishoe anasababisha ajali na kupoteza maisha ya watu.
Watu wengi sana wamepoteza maisha kwa bodaboda kwaajili ya...
Ifikapo tarehe 1/11/2021 bodaboda na bajaji zote marufuku kuingia mjini na wale waliokua mjini watoke wote isipokua bajaji za walemavu.
Agizo hilo limetolewa na Abdi Issango, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Mkuu wa Usalama Barabarani Kanda Maalumu ya Dms.
#PbOnSaturday
Mwandishi wetu,
Madereva wanaojihusisha na biashara ya kupakia abiria kwa kutumia vyombo vya pikipiki maarufu kama bodaboda wilayani Arusha wametakiwa kuepuka kujihusisha na matukio mbalimbali ya uhalifu kama uporaji wa simu,pochi za wanawake na ubakaji ili kuepuka kuchafua taswira ya biashara...
Umetimia mwaka sasa tangu ninunue gari yangu hii ya kwanza. Babywoka safi inanitosha, 1290cc engine 1KR.
Tangu ninunue hii babywoka nilikua sijawahi kukaa na kufanya 'cost-analysis' upande wa mafuta nayotumia.
Zaidi nilikua nahisi kama gari 'inanifilisi' vile navokua natoa 20,000 au 30,000...
Wahenga Wana msemo Wao... 'Mwenzio Akinyolewa Wewe chako Tia Maji'.
Tamko la Kuondolewa Machinga Likiendelea kwa Kasi huku Mabanda Sehemu Mbalimbali Yakiendelea Kuvunjwa Jijini Dar Kwa Mzee Amos Makalla.
Ni Vema Bodaboda wa mjini Kati Wajiandae Kisaikolojia maana Chochote Kinaweza Kutokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.