congo

The Democratic Republic of the Congo (pronunciation French: République démocratique du Congo [kɔ̃ɡo]), also known as DR Congo, the DRC, DROC, Congo-Kinshasa, or simply the Congo, is a country located in Central Africa. It was formerly called Zaire (1971–1997). It is, by area, the largest country in sub-Saharan Africa, the second-largest in all of Africa (after Algeria), and the 11th-largest in the world. With a population of over 84 million, the Democratic Republic of the Congo is the most populous officially Francophone country, the fourth-most-populous country in Africa, and the 16th-most-populous country in the world. Eastern DR Congo has been the scene of ongoing military conflict in Kivu, since 2015.
Centred on the Congo Basin, the territory of the DRC was first inhabited by Central African foragers around 90,000 years ago and was reached by the Bantu expansion about 3,000 years ago. In the west, the Kingdom of Kongo ruled around the mouth of the Congo River from the 14th to 19th centuries. In the centre and east, the kingdoms of Luba and Lunda ruled from the 16th and 17th centuries to the 19th century.
In the 1870s, just before the onset of the Scramble for Africa, European exploration of the Congo Basin was carried out, first led by Henry Morton Stanley under the sponsorship of Leopold II of Belgium. Leopold formally acquired rights to the Congo territory at the Berlin Conference in 1885 and made the land his private property, naming it the Congo Free State. During the Free State, his colonial military unit, the Force Publique, forced the local population to produce rubber. From 1885 to 1908, millions of the Kongo people died as a consequence of disease and exploitation. In 1908, Belgium, despite initial reluctance, formally annexed the Free State, which became known as the Belgian Congo.
The Belgian Congo achieved independence on 30 June 1960 under the name Republic of the Congo. Congolese nationalist Patrice Lumumba was elected the first Prime Minister, while Joseph Kasa-Vubu became the first President. Conflict arose over the administration of the territory, which became known as the Congo Crisis. The provinces of Katanga, under Moïse Tshombe, and South Kasai attempted to secede. After Lumumba turned to the Soviet Union for assistance in the crisis, the U.S. and Belgium became wary and oversaw his removal from office by Kasa-Vubu on 5 September and ultimate execution by Belgian-led Katangese troops on 17 January 1961. On 25 November 1965, Army Chief of Staff Joseph-Désiré Mobutu, who later renamed himself Mobutu Sese Seko, officially came into power through a coup d'état. In 1971, he renamed the country Zaire. The country was run as a dictatorial one-party state, with his Popular Movement of the Revolution as the sole legal party. Mobutu's government received considerable support from the United States, due to its anti-communist stance during the Cold War. By the early 1990s, Mobutu's government began to weaken. Destabilisation in the east resulting from the 1994 Rwandan genocide and disenfranchisement among the eastern Banyamulenge (Congolese Tutsi) population led to a 1996 invasion led by Tutsi FPR-ruled Rwanda, which began the First Congo War.On 17 May 1997, Laurent-Désiré Kabila, a leader of Tutsi forces from the province of South Kivu, became President after Mobutu fled to Morocco, reverting the country's name to the Democratic Republic of the Congo. Tensions between President Kabila and the Rwandan and Tutsi presence in the country led to the Second Congo War from 1998 to 2003. Ultimately, nine African countries and around twenty armed groups became involved in the war, which resulted in the deaths of 5.4 million people. The two wars devastated the country. President Laurent-Désiré Kabila was assassinated by one of his bodyguards on 16 January 2001 and was succeeded eight days later as President by his son Joseph.
The Democratic Republic of the Congo is extremely rich in natural resources but has had political instability, a lack of infrastructure, issues with corruption and centuries of both commercial and colonial extraction and exploitation with little holistic development. Besides the capital Kinshasa, the two next largest cities Lubumbashi and Mbuji-Mayi are both mining communities. DR Congo's largest export is raw minerals, with China accepting over 50% of DRC's exports in 2012. In 2016, DR Congo's level of human development was ranked 176th out of 187 countries by the Human Development Index. As of 2018, around 600,000 Congolese have fled to neighbouring countries from conflicts in the centre and east of the DRC. Two million children risk starvation, and the fighting has displaced 4.5 million people. The sovereign state is a member of the United Nations, Non-Aligned Movement, African Union, and COMESA.

View More On Wikipedia.org
  1. D

    Kuunganisha DR Congo na Tanzania

    Naomba kujua hii serikali ya sasa inaendeleaje na mkakati wa kuunganisha DR Congo na Tanzania Ili mizigo ya DR Congo isipitie Zambia bali ipitie Tanzania na kufika DR Congo kupitia Sumbawanga
  2. Congo DR yatangaza kumalizika kwa wagonjwa wa Ebola

    Waziri wa Afya Jean-Jacques Mbungani Mbanda amesema Serikali imejiridhisha ikiwa ni baada ya siku 42 za ufuatiliaji ulioimarishwa bila kuwepo kwa mgonjwa mpya aliyebainika kukumbwa na janga la Ebola. Ebola iliripotiwa kurejea tena Agosti 22, 2022 baada ya Virusi hivyo kugundulika katika mji wa...
  3. Rais Ruto: Kenya itapeleka Wanajeshi kulinda Amani Jamhuri ya Congo

    Ruto amesema kwasababu Umoja wa Mataifa umetuma vikosi vyake kusaidia katika upatanishi wa amani na kupambana na waasi wa M23, kwa upande wa Kenya ikiwa ni sehemu ya EAC pia itajitolea kusaidia taifa hilo la Afrika ya Kati. Alibainisha kuwa kila nchi ndani ya EAC, ambayo DRC ni sehemu yake kwa...
  4. Rwanda inaiba wanyama hai kutoka mbuga ya Virunga, Congo

    Duru zinatabanaisha Rwanda inaiba na kuwasafirisha wanyama hai kutoka mbuga ya wanyama ya Virunga nchini Congo na kuwapeleka/ kuwauza nchi za Uarabuni kwa mamilioni ya Dola. Ifahamike, kundi la waasi la M23 ndilo linaendesha shughuli zake za uasi ndani ya mbuga la Virunga huko Kivu ya Kaskazini...
  5. M

    Wasanii na Bendi za Muziki Tanzania hivi mnajua kuwa kufagilia watu kwa kutaja majina yao ni kitega uchumi cha Bendi nyingi za Congo DR?

    Nilihudhuria live band moja hapa mkoani Dar es Salaam siku si nyingi na kilichotokea kilinisikitisha sana na kuamini kuwa bendi za Tanzania bado sana Kushindana na za Congo DR na Congo Brazzaville. Wakati bendi inapiga na watu tunaserebuka kwa sebene akaja mmoja wa marapa jirani yangu na...
  6. Congo DR yatangaza Ebola kurejea tena nchini humo

    Wiki moja baada ya kufanya uchunguzi wa chanzo cha kifo cha mwanamke aliyefariki katika mji wa Beni, Serikali nchini humo imetangaza kurejea tena kwa ugonjwa huo hatari katika jimbo la Kivu Kaskazini. Taarifa hii inakuja ikiwa ni mwezi mmoja tangu ilipotangazwa kumalizika rasmi kwa ugonjwa huo...
  7. Congo DR kuchunguza mgonjwa anayehofiwa kufariki kwa Ebola

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema Mamlaka za Afya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zimeanza uchunguzi ili kubaini sababu za kifo cha mwanamke kutoka mji wa Beni anayedhaniwa kufariki kwa ugonjwa wa Ebola. Mji wa Beni ni moja ya vituo vikuu vya mlipuko wa Ebola ambapo tangu mwaka...
  8. Rais wa Zambia karudi kwao usiku wa Jana kutoka Congo, ana majukumu mengi ya kitaifa

    Rais wa Zambia [emoji1268] mheshimiwa Hakainde Hichilema alienda Juzi Congo kwenye mkutano wa SADC, Jana walipomaliza tu mkutano akakwea pipa akasepa. Hana tamaa za kutaka kukaa mda mrefu kwenye ma.Nchi ya watu anajua kwake Kuna majukumu mengi yakulijenga Taifa. Hongera sana mwanademokrasia...
  9. Rais Samia aondoka Nchini kwenda DR Congo leo Agosti 16, 2022

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiagana na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa pamoja na viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Dar es Salaam wakati akielekea Jamhuri ya Kidemokraisa ya...
  10. M

    UN peacekeepers 'fathered and abandoned thousands of children' in DRC

    UN peacekeepers 'fathered and abandoned thousands of children' in DRC ==== dailymail.co.uk UN peacekeepers 'fathered and abandoned thousands of children' in Democratic Republic of Congo Walter Finch A shocking new report has claimed that UN peacekeepers from 12 different countries have...
  11. Wanajeshi wawili wa Tanzania washikiliwa DRC kupisha uchunguzi wa mauaji ya raia

    Afisa mmoja wa Umoja wa Mataifa amewaambia waandishi wa habari kuwa askari walinda amani wa MONISCO waliokamatwa siku ya jumapili ni kutoka Tanzania, wamekamatwa kupisha uchunguzi wa mauaji ya waandamanaji raia wa Congo. Tangu kuzuka kwa maandamano ya kupinga walinda amani nchini DRC askari...
  12. Kawaondoeni Askari wenu wa MONUSCO huko Goma (Kivu) Congo DR kwani Wakongo Wenyewe hawawataki tena

    "Haiwezekani kila Siku Wakongo tunakufa hapa kwa Kushambuliwa na Waasi wa Mai Mai na hata wale wa M23 huku wengine Wakibakwa na Nyumba zetu Kubomolewa halafu Askari wa Kulinda Amani hawa wa MONUSCO wapo tu wanaangalia na hawatusaidii chochote. Wamekuja kutulinda Wakongo au Kukaa tu huku na...
  13. Kumi bora yangu ya wakati wote ya nyimbo kali za muziki wa Congo

    Nawasalimu kwa jina la Chama pendwa. Kabla sijataja kumi bora yangu ya nyimbo za muziki wa Congo (Kinshasa & Brazaville) ni lazima tukubali tu kwamba bado rhumba na dansi ni miziki inayopendwa toka rohoni kabisa ila media zinatulazimisha tuone ni miziki iliyopitwa na wakati. Hadi leo hii Club...
  14. M

    SI KWELI DR Congo: Muasi Sultan Makenga auawa

    Kumekuwa na uvumi wa muda mrefu kuwa Bri Gen Sultan Makenga kauawa vitani huko DRC. Hatimaye Leo zimevujishwa picha za maiti ya Makenga kwenye mitandao ya kijamii. Itoshe nisema hili ni pigo kubwa sana kwa M23 na kwa Rais Kagame bila kumsahau Lut Gen Kabarebe wa Rwanda. Brig Gen Sultan...
  15. Hii jeuri ya Kagame huko Congo Mashariki inatoka wapi?

    Nimesikiliza interview ya General Kagame akiongelea jinsi anavyoliona tatizo la huko Congo Mashariki. Kiufupi anasema bila kumung'unya maneno kuwa wasipopatana anajitayarisha kwa vita na kwa lolote litakalojitokeza. Tunakumbuka aisema hivyo kuwa atamshughulikia Kikwete mnamo miaka ya nyuma...
  16. Tatizo la DR Congo siyo Rwanda

    Mtifuano baina ya viongozi wawili wa mataifa ya DRC na Rwanda ambao mpaka sasa unasabishwa na madai ya serikali ya Congo kuishutumu Serikali ya Rwanda kuivamia Congo na kupora Mali zake kupitia kikundi cha M23. Lkn mbali zaidi anashutumiwa kwa mauaji yanayosababishwa na M23 dhidi ya wananchi...
  17. Jino la aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kwanza wa Congo, Patrice Lumumba lapokelewa na kupewa mazishi ya heshma

    Nchini DRC nchi nziam ilizizima kwa majonzi baada ya jino la aliyekuwa Waziri mkuu wa kwanza wa nchi hiyo kupokelewa kutoka nchini ubelgiji ambako limekuwa likihifadhiwa. Imedaiwa kuwa mtu mmoja aliyekuwa askari polisi wakati wa mauaji ya kinyama ya kiongozi huyo aliamua kuhifadhi jino hilo kwa...
  18. Tuungane na Burundi tuifaidi Congo

    Baada ya taarifa za kuwepo harakati za muungano wa Tanzania na Burundi. Ni wakati Sasa jambo hili lipewe nafasi na lifanyike Kwa haraka. Jamii ya warundi ni tiifu Kwa Tanzania na miaka yote kuanzia raia mpaka serikali ya Burundi wamejiona salama chini ya Tanzania mpaka kufikia kuwa na kura ya...
  19. Jeshi la CONGO FARDC wazembe kabisa

    Yani wao wakisikia kitu Boom! Silaha Magari wanaacha hapo na kukimbia😂😂
  20. K

    Rais umekosea kuwakilishwa na Balozi kwenye mkutano wa EAC kuhusu Congo

    Rais hapa kakosea na tumekuwa wazembe sana na wavivu kama nchi. Congo DRC ni sehemu muhimu sana lakini tumekuwa wazembe sana na tunawaachia nchi za nje wanatumia mbinu za kuwagombanisha ili tu wachukue madini. Tanzania kama nchi kubwa tulikuwa na uwezo mkubwa sana kuanzia enzi za kabila kuifanya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…