Rwanda imelaumu Jeshi la MONUSCO la Umoja wa Mataifa kwa ukimya wake wakati huu ambapo mgogoro wa taifa hilo dhidi ya DR Congo ukiendelea.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda, Dkt. Vincent Biruta amesema hawatavumilia pindi wakishambulia na wapo tayari kulipa kisasi wakidai kuwa DRC walirusha...
Baada ya DRC kuingia rasmi EAC , mataifa makubwa katika Jumuiya hii Uganda Kenya na Tanzania,yanaendelea kupambana kukamata fursa ili kushika soko la nchi hii yenye watu zaidi ya Milioni 100
Wakati Uganda akijenga Barabara kuingia majimbo ya kaskazini mwa Congo, Kenya anafungua Ofisi Mombasa...
An elongated head was an ideal of beauty among the Mangbetu people, 1930
The Mangbetu stood out to European explorers because of their elongated heads.
The Mangbetu people had a distinctive look and this was partly due to their elongated heads. At birth, the heads of babies’ were tightly...
Kuna Ndege (Helicopter) ya MONUSCO (Askari wa Kulinda Amani huko Congo DR) Jana imedunguliwa ikiwa na Askari Nane ( 8 ) wa Kulinda Amani na Wote wamefariki dunia.
Natambua kuwa Tanzania ina Askari wake wengi pia huko ambao 'batch' ya mwisho iliondoka Wiki Mbili au Tatu tu zilizopita baada ya...
Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo linasema kuwa wanajeshi wa Rwanda waliwasaidia waasi wa M23 wakati wa shambulio la Jumatatu karibu na mpaka wake na Rwanda na Uganda.
Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limesema limewakamata wanajeshi wawili wa Rwanda waliohusika na shambulizi...
EAC Heads of State OFFICIALLY admit the Democratic Republic of the Congo (DRC) into the East African Community.
H.E Uhuru Kenyatta,Chair of the Summit of EAC Heads of States announces during the 19th Extra-Ordinary Summit of EAC Heads of State.
===
Mwenyekiti wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya...
africa
afrika
afrika mashariki
community
congo
drc
east africa
history
jamhuri
jumuiya
jumuiya ya afrika mashariki
kidemokrasia
kongo
made
mashariki
member
new
Kuna Mkongo mmoja Rafiki yangu mno aliwahi kuniambia kuwa kwa Vipaji vilivyopo Kwako Congo DR hata wakihitajika Wachezaji 100 wa Kuunda Timu yao ya Taifa bado akina Mayele na Bangala hawatoweza Kuitwa labda kidogo atakayebahatika Kuitwa ni Beki wa Simba SC, Henock Inonga Baka kwakuwa ana Akili...
Kenyan cement companies have stepped up expansion plans with an eye on the estimated 10 million metric tonnes annual demand of cement in the Democratic Republic of Congo (DRC) market.
The East Africa region’s installed cement capacity is currently estimated at 15.6 million tonnes, with 8.6...
Team ya taifa ya chini ya umri wa miaka 16 ya DR Congo imeibuka bingwa wa mashindano ya CAF ya vijana chini ya miaka 16 (U16 Africa Youth/Schools Tournament) baada ya kuifunga Senegal kwa goal 3-1.
Hivi ndiyo vikosi vya team zote mbili.
Mabingwa DR Congo.
Mshindi wa pili Senegal...
Wabongo ambao hawaelewi structure ya uchumi wa Kenya someni hii article. Uchumi wa Kenya upo built around services industry hususan banks. Benki za Kenya ndio benki kubwa ukanda wote huu na ndio zinazoservice companies ukanda huu.
Equity sasa hivi ni the second biggest bank in DR Congo na...
Ubalozi wa #Kenya nchini #DRC umelaani vikali 'kauli za dharau na kejeli' alizotoa Naibu Rais Williams Ruto kuhusu taifa la DRC.
Baadhi ya raia wa DRC wameanza kususia bidhaa za Wakenya walioko jjjini Kinshasa.
Naibu Rais William Ruto aliikejeli DRC kwa kusema taifa hilo ni maskini na halina...
Kenyan Deputy President's 'cow' remark sparks outrage in DRC
Kenya’s Deputy President William Ruto. PHOTO | FILE | NMG
By PATRICK ILUNGA
Kenyan Deputy President William Ruto on Monday provoked ire from Congolese online for making comments that were viewed as disparaging.
On Wednesday and...
Wakimbizi zaidi ya 50 wameuawa usiku wakuamkia leo Jumatano katika kijiji cha Ngujona wilayani Djugu katika mkoa wa Ituri. Yamefanyika wakati juhudi zinaendelea za kuwahamasisha waasi kuzisalimisha silaha zao
Akizungumza na DW kwa njia ya simu, kiongozi wa utawala wa Bahema Badjere Jean-Richard...
Polisi nchini Brazil wamewakamata wanaume watatu kuhusiana na mauaji ya kikatili ya mhamiaji wa Congo mjini Rio de Janeiro.
Mauaji hayo yaliyonaswa kwenye video yamesababisha ghadhabu ya umma.
Jamaa wanasema Moise Kabagambe alishambuliwa baada ya kumtaka bosi wake alipe mshahara anaodaiwa kwa...
THE CITY OF DAR ES SALAAM THROUGH PICTURES. DISCOVER DAR.
TPA TOWER, PSPF Twin Towers and MNF towers construction by skiligo, on Flickr
Dar es salaam Rapid Transit Bus along Kivukoni front by skiligo, on Flickr
DSC_5892 by skiligo, on Flickr
FROM RK TOWER by skiligo, on Flickr
From RK...
Ndugu wana JF naomba mwenye taarifa ya soko la mbao aina ya MVULE AU MAHOGANY toka DRC anijulishe tafadhali nimepata msitu mkubwa DRC nimeshaanza kuzalisha hivyo nahitaji soko la uhakika.Niko tayari kutoa kamisheni kwa mtu atakayenipa connection ya masoko. Namba yangu 0783881930
🇨🇩🏦Unlocking secrets from Africa’s biggest banking data leak, #BBCAfricaEye reveals how millions of dollars of public funds ended up in the private bank accounts of businesses based in Democratic Republic of Congo and owned by family and associates of former President Joseph Kabila.
This film...
Bunge la uganda limeanza kuhoji kwanini Museveni kapeleka wana Jeshi wa Uganda UPDF Congo kwa kisingizio cha kutafuta wa asi wa ADF bila ruhsa ya Bunge. Wabunge wengi wana hofia huenda Jeshi la uganda li kapishana na la Rwanda ambao tayari liko Congo kwa miaka kadhaa, na wakapingana vita ambao...
Ganga Zumbi was born in Kongo in 163O, enslaved and shipped to Brazil to work as a plantation slave. Managed to escape, raised an army of enslaved Africans and founded his own kingdom of Palmares, with a palace and court. #zumbi #brazil
Ganga alitawala Palmers kwa miaka 40, mpaka Wareno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.