Jameni hivi inaingia akilini supapawa anaacha wanajeshi wake wazingirwe kizembe hivi na kuachwa kwenye hali ya hovyo, yote hii wanafanyiwa na kainchi kadogo hapo jirani.
Ukraine alicheza parefu kwenye hili, mnawaacha waingie kisha mnawazingira......
Wakuu wa hizi battalion wameomba yasifanyike...
Huku Marekani wakiendelea kuzalisha HIMARS kwa wingi na kupanga mikakati ya kuzituma Ukraine, zimeendelea kutesa Warusi, hawana hamu nazo......
A key Russian-held bridge in Kherson was hit in a Ukrainian counteroffensive to recapture the southern region from Russia.
The Antonovsky bridge...
SERIKALI imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Daraja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka ya Kibaha - Mlandizi - Chalinze - Morogoro (Expressway) na ile ya Igawa - Songwe -Tunduma (Expressway) kwa kuwa zote zina sifa za kutozwa fedha.
Kwa jinsi Pesa...
Wataalamu mambo vipi, kuna ndugu yangu aliomba nafasi kama Thread tittle inavyojieleza hapo juu hivi karibuni na tarehe 18 ya Jumamosi anatakiwa akafanye usaili (Written)
Nilikuwa naomba kwa mwenye Idea yoyote au vitu vya msingi vya ku- focus key intention hapa ni kufaulu maana nimekuwa nikiona...
POST
MSANIFU LUGHA DARAJA II - 1 POST
EMPLOYER
Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA)
APPLICATION TIMELINE:
2022-06-14 2022-06-27
JOB SUMMARY
NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. Kusaidia kufanya kazi za utafiti kuhusu istilahi za masomo mbalimbali;
ii. Kukusanya na kuchambua istihali...
POST
MCHUNGUZI LUGHA DARAJA LA II - 1 POST
EMPLOYER
Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA)
APPLICATION TIMELINE:
2022-06-14 2022-06-27
JOB SUMMARY
NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. Kusoma miswada ya vitabu vya kitaaluma na kushauri kuhusu lugha iliyotumika;
ii. Kutoa mapendekezo ya...
POST
AFISA UGAVI DARAJA LA II - 2 POST
EMPLOYER
Parliament of Tanzania
APPLICATION TIMELINE:
2022-06-11 2022-06-24
JOB SUMMARY
NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. Kutayarisha makisio ya vifaa vinavyohitajika (Schedule of Requirements);
ii. Kuandaa utaratibu wa upokeaji wa vifaa...
EMPLOYER: Parliament of Tanzania
APPLICATION TIMELINE: 2022-06-11 2022-06-24
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. Kuandika majadiliano ya vikao vya Kamati na Bunge yaliyorekodiwa katika sauti;
ii. Kuandika na kuhakiki michango ya maandishi ya Wabunge;
iii. Kufanya uhariri wa awali wa nakala za...
Daraja la Nyiburu ni daraja pekee ambalo limekua kero kwa wakazi wa Chanika.
Madiwani wapo, wabunge wapo hivi inahitajika nin cha ziada ambacho kama wakazi tunaweza kuelezwa mkandarasi alipewa muda gani kumaliza hilo daraja?
Sasa ni zaidi ya miwili kama wanajenga flyover kweli?
Daraja la...
Naomba ufafanuzi kuhusu sifa
Kuajiriwa wenye “Intermidiet Certificate” (Module D) inayotolewa na NBAA au sifa nyingine zinazolingana na hizo zinazotambulika na NBAA, Shahada ya Biashara au Sanaa aliyejiimarisha kwenye fani ya Uhasibu, Stashahada ya Juu ya Uhasibu kutoka taasisi yoyote...
Lini mnatekeleza hii ahadi ndugu zangu wa huko ng'ambo. Au mlitufunga kamba?
HILI MLIAHIDI MIAKA MIWILI ILIYOPITA
======
Pia soma:
- Dr Shein: Tunaandaa rasimu ya kuwatambua Watanzania wanaoishi nje kisheria, tutajenga Daraja la Zanzibar - Bara
- Mdau wa Diaspora ajibu maswali kuhusu daraja...
Rais Samia Suluhu amepongeza daraja kutumika kuonesha mpira kwani imelitambulisha duniani.
=======
Rais Samia: Natoa pongezi kwa wizara kwa kazi kubwa wanayoifanya, juzi niliona wako pale daraja la Tanzanite wakionesha mechi ya mpira sijui baina ya nani na nani, Liverpool timu mmoja sababu...
Hili suala la kufunga daraja kwa ajili ya mechi ya UEFA limekaaje kitaalam mbona kama haliko sawa hivi.
Serikali iko wapi maana hili sio la kufumbia macho.
Huduma muhimu zinasitishwa kwa ajili ya anasa.
Je? daraja lilijengwa ili iwe ni sehemu ya kuangalizia mpira.
Rais Samia Suluhu na Mbunge Faustine Ndugulile wamevunja kikwazo kigumu kabisa Cha maendeleo ya kigamboni.
Sasa tozo zimeshuka na zitalipwa kwa siku badala Kila mtu anapovuka
Hiki kilikuwa kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya kigamboni. Kigamboni ikianza kujengwa itakuwa mji mzuri sana na...
Moja kwa moja kwenye mada..
CAG abaini wizi na ufisadi kwenye mradi wa Ujenzi wa Daraja la Kigongo-Busisi..
Wazalendo uchwara waje fasta maana 👇
===
Miaka miwili kabla ujenzi wa daraja la Kigongo-Busisi haujakamilika, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amegundua...
Mkwe wa Rais ambaye pia ni Waziri wa Michezo kulifunga daraja la Salander(Tanzanite) ili kupisha kuonesha Fainali ya Klabu Bingwa Ulaya kati ya Real Madrid Vs Liverpool
--
Waziri Mchengerwa ameyasema haya
“Tunatambua Heineken wamekuwa waki-support michezo na kwa mara ya 1 Tanzania...
Timu ya Ashantigold SC imepigwa faini na kushuka hadi Ligi Daraja la Pili baada ya kupatikana na hatia ya kupanga matokeo katika mechi ya Ligi Kuu ya Ghana 2020-21 dhidi ya Inter Allies FC.
Klabu hiyo imekutwa na hatia kutoka kwa kamati ya nidhamu inayoongozwa na mwenyekiti Osei Kwadwo Adow...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.