drc

The Democratic Republic of the Congo (pronunciation French: République démocratique du Congo [kɔ̃ɡo]), also known as DR Congo, the DRC, DROC, Congo-Kinshasa, or simply the Congo, is a country located in Central Africa. It was formerly called Zaire (1971–1997). It is, by area, the largest country in sub-Saharan Africa, the second-largest in all of Africa (after Algeria), and the 11th-largest in the world. With a population of over 84 million, the Democratic Republic of the Congo is the most populous officially Francophone country, the fourth-most-populous country in Africa, and the 16th-most-populous country in the world. Eastern DR Congo has been the scene of ongoing military conflict in Kivu, since 2015.
Centred on the Congo Basin, the territory of the DRC was first inhabited by Central African foragers around 90,000 years ago and was reached by the Bantu expansion about 3,000 years ago. In the west, the Kingdom of Kongo ruled around the mouth of the Congo River from the 14th to 19th centuries. In the centre and east, the kingdoms of Luba and Lunda ruled from the 16th and 17th centuries to the 19th century.
In the 1870s, just before the onset of the Scramble for Africa, European exploration of the Congo Basin was carried out, first led by Henry Morton Stanley under the sponsorship of Leopold II of Belgium. Leopold formally acquired rights to the Congo territory at the Berlin Conference in 1885 and made the land his private property, naming it the Congo Free State. During the Free State, his colonial military unit, the Force Publique, forced the local population to produce rubber. From 1885 to 1908, millions of the Kongo people died as a consequence of disease and exploitation. In 1908, Belgium, despite initial reluctance, formally annexed the Free State, which became known as the Belgian Congo.
The Belgian Congo achieved independence on 30 June 1960 under the name Republic of the Congo. Congolese nationalist Patrice Lumumba was elected the first Prime Minister, while Joseph Kasa-Vubu became the first President. Conflict arose over the administration of the territory, which became known as the Congo Crisis. The provinces of Katanga, under Moïse Tshombe, and South Kasai attempted to secede. After Lumumba turned to the Soviet Union for assistance in the crisis, the U.S. and Belgium became wary and oversaw his removal from office by Kasa-Vubu on 5 September and ultimate execution by Belgian-led Katangese troops on 17 January 1961. On 25 November 1965, Army Chief of Staff Joseph-Désiré Mobutu, who later renamed himself Mobutu Sese Seko, officially came into power through a coup d'état. In 1971, he renamed the country Zaire. The country was run as a dictatorial one-party state, with his Popular Movement of the Revolution as the sole legal party. Mobutu's government received considerable support from the United States, due to its anti-communist stance during the Cold War. By the early 1990s, Mobutu's government began to weaken. Destabilisation in the east resulting from the 1994 Rwandan genocide and disenfranchisement among the eastern Banyamulenge (Congolese Tutsi) population led to a 1996 invasion led by Tutsi FPR-ruled Rwanda, which began the First Congo War.On 17 May 1997, Laurent-Désiré Kabila, a leader of Tutsi forces from the province of South Kivu, became President after Mobutu fled to Morocco, reverting the country's name to the Democratic Republic of the Congo. Tensions between President Kabila and the Rwandan and Tutsi presence in the country led to the Second Congo War from 1998 to 2003. Ultimately, nine African countries and around twenty armed groups became involved in the war, which resulted in the deaths of 5.4 million people. The two wars devastated the country. President Laurent-Désiré Kabila was assassinated by one of his bodyguards on 16 January 2001 and was succeeded eight days later as President by his son Joseph.
The Democratic Republic of the Congo is extremely rich in natural resources but has had political instability, a lack of infrastructure, issues with corruption and centuries of both commercial and colonial extraction and exploitation with little holistic development. Besides the capital Kinshasa, the two next largest cities Lubumbashi and Mbuji-Mayi are both mining communities. DR Congo's largest export is raw minerals, with China accepting over 50% of DRC's exports in 2012. In 2016, DR Congo's level of human development was ranked 176th out of 187 countries by the Human Development Index. As of 2018, around 600,000 Congolese have fled to neighbouring countries from conflicts in the centre and east of the DRC. Two million children risk starvation, and the fighting has displaced 4.5 million people. The sovereign state is a member of the United Nations, Non-Aligned Movement, African Union, and COMESA.

View More On Wikipedia.org
  1. F

    Tetesi: Congo DRC na Burundi wanadaiwa wapo mbioni kuivamia Rwanda

    Kumekucha. Kuna habari nimeipata kutoka chanzo nyeti kuwa Congo DRC na Burundi zinajipanga kuishambulia Rwanda. Haijabainika tarehe halisi ya mashambulizi na uvamizi ila chanzo hicho kimedai ni Kati ya mwezi February au March 2024. Inadaiwa vyombo vya ujasusi nchini Rwanda vimepata habari hizi...
  2. R

    Uchaguzi DRC: Upinzani waandamana kupinga uchaguzi, polisi wafanikiwa kuwazima

    Polisi katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa imewazuwia waandamanaji kukusanyika siku ya Jumatano 27/12/2023, baada ya kuandamana dhidi ya uchaguzi wa hivi karibuni katika taifa hilo tete la Afrika ya Kati. Wanasiasa wakuu wa upinzani katika nchi maskini lakini yenye...
  3. BARD AI

    Yanayojiri Uchaguzi Mkuu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo 2023: Felix Tshisekedi atangazwa Mshindi wa Urais

    SERIKALI YAKATAA KURUDIA UCHAGUZI LICHA YA WAANGALIZI KUDAI KUNA UDANGANYIFU Kauli ya Serikali inakuja huku kukiwa na shinikizo la Wafuasi na Viongozi wa Upinzani kutaka Uchaguzi huo ufutwe kutokana na madai ya kuwepo kwa ukiukwaji wa Sheria na Uwazi ikiwe baadhi ya Vituo kutopiga Kura. Ripoti...
  4. Mhaya

    Watu 10 wachomwa moto hadi kufa Uganda

    Msemaji wa Jeshi Polisi Nchini Uganda Vincent Twesige amesema wanamgambo wanaohusishwa na kundi lenye itikadi kali (Islamic State) wamewachoma moto watu 10 hadi kufa katika shambulizi lililofanywa kusini magharibi mwa nchi hiyo. Inaelezwa kuwa wanamgambo hao kutoka kundi la ADF ni miongoni mwa...
  5. Kigoma Region Tanzania

    Hivi ndivyo milima ya Congo DRC inavyoonekana ukiwa hapa Kigoma Tanzania

    Bado unayo nafasi ya kuitazama milima ya Congo DRC ukiwa hapa Kigoma, mlima tambalale uliyonyooka kwa mapana uliopakwa rangi ya blue ni nchi ya Zaire, utafika katika nchi hiyo kwa usafiri wa Boti, ni rahisi sana kutokea hapa kwetu Kigoma. Hapa ni Kigoma Karibu na Station Milima ya Blue...
  6. BARD AI

    Kampeni za Uchaguzi zimeanza DRC, Fomu ya Urais Tsh. Milioni 150

    Wakati wagombea urais wa Tanzania wakitoa Sh5 milioni kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano, kwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wagombea urais wanatakiwa kuonyesha risiti ya malipo ya faranga za Congo milioni 160, sawa na zaidi ya Sh150.3 milioni kama ada zisizorejeshwa kwa Tume Huru ya...
  7. Justine Marack

    Moise Katumbi ataivusha Congo DR

    Jana nimepata wasaa wa kumsikikiza Ndugu Moise Katumbi Chapwe katika moja ya mahojiano ya hivi karibuni. Pamoja na kuzungumza mengi lakini mipango miwili ya amani na usalama wa chakula imenifurahisha sana. Huyu bwana amepanga kumaliza vita mashariki ya DRC ndani ya miezi sita tu. Pia anataka...
  8. benzemah

    Sadc mguu sawa kupeleka misheni ya ulinzi wa amani nchini DRC

    Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wameazimia kupeleka Misheni ya Ulinzi wa Amani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (SAMIDRC) kushughulikia masuala muhimu yanayoathiri utulivu na amani nchini humo kufuatia mapigano ya muda mrefu baina ya...
  9. MK254

    Walio na uchungu wa ardhi ya Waarabu wa Palestina, kumbukeni pia DRC watu 6.9m wamefukuzwa kwenye ardhi yao

    Huku tukiendelea kuandamana na kuwa na uchungu wa mnyang'anyano wa aidhi baina Waarabu na Wayahudi, hebu pia tuweni na kauchungu fulani hivi kwa Waafrika wenzetu karibia milioni 7 hapo DRC wamefukuzwa kutoka kwenye ardhi zao...... ============================= The conflict between M23 rebels...
  10. MK254

    Magaidi ya ADF yenye mlengo wa Islamic State (IS) yaendelea kuchinja watu DRC

    Jamaa wameamua badala ya kuhubiri amani, ni mwendo wa kuchinja tu. ======= Beni. Rebels backed by the Islamic State group have killed two Ugandan soldiers in an attack that also left two civilians and a suspected assailant dead in eastern DR Congo, authorities said on Saturday. Two truck...
  11. R

    Wanadiplomasia wetu waliopo Zambia na DRC Congo kwanini wanashindwa kumwambia Rais ukweli? Watanzania wanateseka kwenye hizi nchi hakuna wakuwatetea

    Tanzania nadhani tunashindwa kuelewa kwamba nchi yetu ili iendelee lazima wafu wetu wasafiri nje . Tunashindwa kuelewa ili nchi iweze kupunguza changamoto za ajira lazima watu wake wakatafute fursa Sehemu nyingine Tumekuwa wepesi sana kutetea wageni badala ya kutetea watu wetu. Raia wa Kongo...
  12. Replica

    Malori 250 ya Tanzania yashikiliwa DRC siku 45 sasa

    Malori 250 ya watanzania yaliyobeba copper yanashikiliwa nchini Congo kutokana na mgogoro wa kodi baina ya Serikali ya Congo na kampuni za madini zilizopakia mzigo huo. Malori hayo na madereva wake wamekwama kwenye mpaka wa Kalumbesa. Balozi wa Tanzania nchini Kongo, Said Mshana amethibitisha...
  13. Vincenzo Jr

    Kununua malaya kulitaka kunitoa roho DR Congo

    Aloo mademu wa congo DRC wanajua kukatikia bwana ila ni wachawi balaa hivi unapajua Kasumbalesa ? Wewe mwezi wa kwanza mwaka huu nilipita hapo ila yaliyonikuta sisahau hadi naingia kaburini. Nilikutana na demu mzuri Mwasi kitoko kama malaika kumbe ni mchawi na tapeli. Baada ya maelewano ya...
  14. S

    Mkutano wa G20 Waunga Mkono Kujengwa Reli ya Kutoka DRC na Zambia Mpaka Angola

    Reli Hiyo ni maalumu kubeba mizigo hasa madini kuitoa mkoa wa Katanga DR Congo na mkoa wa Copper Belt Zambia na kuipeleka bandari ya Lobito Angola. ===== African Union now a permanent G20 member The G20 welcomed the African Union as a member at their annual summit Saturday. There was...
  15. JanguKamaJangu

    Makatibu Wakuu SADC wakutana kwa dharura kujadili hali ya ulinzi na usalama DRC

    Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Samwel Shelukindo ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Kamati ya Utatu ya Makatibu Wakuu wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) uliofanyika kwa...
  16. C

    Tanzania na DRC ndiyo nchi zinazoongoza katika fursa ya kufanya biashara

    Ukiwa medium bussinesa man au small scale bussiness man ukishindwa kufanikisha ujasiliamali wako DRC au Tanzania usipoteze mda kuenda Kenya S.Sudan, Rwanda au Uganda. Kwa uzoefu wangu ni mezuru nchi zote za kanda hi ya Africa mashariki na kati kwenye nyanja ya biashara ila naona bado Tz na DRC...
  17. Mukulu wa Bakulu

    Afrika Kusini na Congo DRC zasaini mkataba wa ujenzi wa bwawa la Umeme la Megawati elfu 70 mto Congo

    Nchi za Afrika Kusini na Congo DRC zimetiliana saini ya mkataba wa uendelezaji wa ujenzi wa bwawa la umeme la Megawati elfu 70 ama GW 70 katika maporomoko ya mto Congo. Mradi huo unaoitwa Grand Inga Dam Project uko mto Congo na unakadiriwa kugharimu Dola Bilioni 80 hadi kukamilika kwake na...
  18. Dr Matola PhD

    FT: Fiston Mayele anawainua Wacongo hapa, Gabon 0 DRC 2

    Sasa takwimu za Mayele zinahamia National team, anaifungia Congo goli la pili, goli kama hili linapatika Uefa tu na world Cup. Game is on.
  19. Jidu La Mabambasi

    DR Congo, kubwa jinga linalokula mayenu tu bila aibu!

    Nchi ya Congo na uongozi wake wanatutia aibu Afrika. Kwa miaka nenda rudi wamejitawala lakini wana mindset ya kufanyiwa mambo yote na wau wengine. Sasa hivi wanasumbuliwa na M23, lakini wao wanaona kulitatua tatizo ni kuwaite watu wa nchi nyingine wawatatulie tatizo hilo. Huo ni ukubwa jinga...
  20. Lububi

    Nikumbushen: Show ya Wanamuziki wa Dansi wa DRC na Tanzania kusherehekea uhuru wao ni lini na wapi Dar?

    nawasalimia kwa jina la Muumba wa mbingu na dunia na vyote vilivyomo. Nisiwachoshe. maana tayar mna uchovu wa mpambano wa kitaifa kati ya serkali na kanuni ngumu za kodi vs wafanyabiashara wanaokwepa kodi kwa kuuzia mizigo stoo bila risit. Niliona kwenye tv maandalizi ya show kubwa ya dansi...
Back
Top Bottom