elon musk

Elon Reeve Musk ( EE-lon; born June 28, 1971) is a business magnate, industrial designer, and engineer. He is the founder, CEO, CTO, and chief designer of SpaceX; early stage investor, CEO, and product architect of Tesla, Inc.; founder of The Boring Company; and co-founder of Neuralink and OpenAI. A centibillionaire, Musk is one of the richest people in the world.
Musk was born to a Canadian mother and South African father and raised in Pretoria, South Africa. He briefly attended the University of Pretoria before moving to Canada aged 17 to attend Queen's University. He transferred to the University of Pennsylvania two years later, where he received bachelor's degrees in economics and physics. He moved to California in 1995 to attend Stanford University but decided instead to pursue a business career, co-founding the web software company Zip2 with his brother Kimbal. The startup was acquired by Compaq for $307 million in 1999. Musk co-founded online bank X.com that same year, which merged with Confinity in 2000 to form the company PayPal and was bought by eBay in 2002 for $1.5 billion.
In 2002, Musk founded SpaceX, an aerospace manufacturer and space transport services company, of which he is CEO, CTO, and lead designer. In 2004, he joined electric vehicle manufacturer Tesla Motors, Inc. (now Tesla, Inc.) as chairman and product architect, becoming its CEO in 2008. In 2006, he helped create SolarCity, a solar energy services company that was later acquired by Tesla and became Tesla Energy. In 2015, he co-founded OpenAI, a nonprofit research company that promotes friendly artificial intelligence. In 2016, he co-founded Neuralink, a neurotechnology company focused on developing brain–computer interfaces, and founded The Boring Company, a tunnel construction company. Musk has proposed the Hyperloop, a high-speed vactrain transportation system.
Musk has been the subject of criticism due to unorthodox or unscientific stances and highly publicized controversies. In 2018, he was sued for defamation by a diver who advised in the Tham Luang cave rescue; a California jury ruled in favor of Musk. In the same year, he was sued by the US Securities and Exchange Commission (SEC) for falsely tweeting that he had secured funding for a private takeover of Tesla. He settled with the SEC, temporarily stepping down from his chairmanship and accepting limitations on his Twitter usage. Musk has spread misinformation about the COVID-19 pandemic and has received criticism from experts for his other views on such matters as artificial intelligence and public transport.

View More On Wikipedia.org
  1. G

    Elon Musk kuleta Intaneti ni tishio kwa mitandao ya simu, atapora wateja wenye matumizi makubwa na kuteka soko sehemu ambazo network inasumbua

    Bei ya vifaa vyote na kuwekewa ni shilingi laki 9. kifurushi kinadumu kwa mwezi, nadhani anapanga bei kwa kuangalia uchumi wa nchi, Marekani ni 230,000/= , Nigeria ni 98,000, Hapa Kwetu si ajabu ikawa 70,000. Ni internet ya kisasa, Speed yake ni kubwa sana, unaweza kushusha file la gb 1 speed...
  2. BARD AI

    Wawekezaji wenza wadai Elon Musk anatumia muda mwingi Twitter na kuipuuza Tesla

    Malalamiko ya Wawekezaji Wenza wa Kampuni ya kuunda Magari ya Umeme (TESLA) yanafuatia kuendelea kushuka kwa thamani ya Hisa na kupoteza zaidi ya Tsh. Trilioni 100 kwa mwezi Januari 2023 pekee. Utajiri wa Musk umeendelea kushuka kiasi cha kuingia kwenye Rekodi za Dunia za Guinness kama mtu...
  3. The Assassin

    Je, Elon Musk ndiye mkombozi wa Dunia ya sasa na ijayo?

    Tajiri namba 2 wa Dunia (Hivi juzi tu alikua namba 1) Bwana Elon Musk anatazamiwa na watu wengi kama mtu mwenye maono makubwa na yanayoleta mapenduzi makubwa katika kuukomboa ulimwengu. Kwa mfano, Elon alianzisha kampuni ya magari ya umeme, watu wakampuuza lakini leo kampuni yake ndio kampuni...
  4. BARD AI

    Elon Musk kujiuzulu Uboss wa Twitter ikiwa atampata mtu "Mpuuzi" wa kuchuka nafasi hiyo

    Elon Musk amesema atajiuzulu kama Afisa Mtendaji Mkuu wa Twitter atakapompata mtu "Mpuuzi" anayetosha kuchukua kazi hiyo. Bilionea huyo aliahidi mapema kutii matokeo ya kura ya maoni ya Twitter ambayo ilishuhudia 57.5% ya watumiaji walipiga kura ya "ndio" kumtaka kuachia jukumu hilo. Anasema...
  5. BARD AI

    Watumiaji Twitter Milioni 10 wanataka Elon Musk ajiuzulu Utendaji Mkuu

    Mmiliki wa Twitter Elon Musk ameweka Kura ya Maoni kwenye mtandao huwa akiwataka watumiaji kuamua kama aendelee kuwa Mtendaji Mkuu au aachie nafasi hiyo ambapo Asilimia 57 ya watumiaji wameunga mkono kuwa aachie nafasi hiyo. Musk mwenye wafuasi milioni 122, alitweet: "Je, nijiuzulu kama...
  6. Analogia Malenga

    Elon Musk amerudisha Twitter Spaces

    Habari njema kwa watumiaji wa twitter spaces, baada ya saa kadhaa za kutokuwepo kwa huduma ya mjadala kwa njia ya sauti, twitter spaces imerudi. Huduma hiyo iliondolewa December 15, 2022 na hakuna kauli iliyotolewa na hakuna na maelezo yaliyotolewa kuhusu nini kilitokea. Hivi karibuni, mmiliki...
  7. BARD AI

    Elon Musk sio tajiri namba moja duniani kwa sasa

  8. M

    Watu tunasherekea utajiri wa Elon Musk kushuka

    Ngebe, nyodo, madharau, majigambo, kiburi, kujiona na kujiinua vimefika ukingoni. Ni chereko na vifijo. Elon Musk (Mwafrika Uchwara) mmiliki wa Tesla, Space X na Twitter utajiri wake umeshuka kutoka dollar billion 230 hadi dollars billion 168 na kujikuta kupoteza nafas ya kwanza utajiri...
  9. Analogia Malenga

    Elon Musk ampiga 'ban' Kanye West

    Account ya Kanye West ya Twitter imekuwa suspended kwa madai kuwa amevunja sheria za twitter na kuandika lugha inayoashiria uvunjifu wa amani. Asubuhi ya December 2, Kanye alipost picha ya Elon akiwa anamwagiwa maji mwili wake ukiwa mnene tofauti na alivyo sasa, na aliandika kuwa hiyo ni post...
  10. BARD AI

    Elon Musk asema majaribio ya kupandikiza 'Ubongo Bandia' kuanza ndani ya miezi 6

    Kamouni inayomilikiwa na Tajiri namba 1 duniani Elon Musk, Neuralink Corp. imesema ndani ya miezi 6 itaanza majaribio teknolojia yake ya kupandikiza 'Neva za Ubongo' kwa binadamu. Neuralink imesema tayari imewasilisha nyaraka za ukaguzi wa teknolojia hiyo kwa Mamlaka ya Chakula na Dawa ya...
  11. BARD AI

    Elon Musk atangaza ujio wa 'Badge' za Dhahabu, Kijivu na Bluu kwenye akaunti za Twitter

    Bilionea na mmiliki wa Twitter, Elon Musk amesema jukwaa hilo litakuwa likizindua 'badge' za rangi tofauti ili kuzitofautisha akaunti. Tiki ya dhahabu kwa makampuni, tiki ya kijivu kwa serikali, bluu kwa watu binafsi na watu mashuhuri na akaunti zote zilizoidhinishwa zitathibitishwa upya kabla...
  12. JanguKamaJangu

    Elon Musk aendelea kuishutumu Apple kuwa inatishia kuiondoa Twitter kwenye program zake

    Elon Musk amesema Kampuni ya Apple imesitisha matangazo yake mengi kwenye mtandao wa Twitter na kuishutumu kampuni hiyo kwa kutishia kuiondoa Twitter kwenye program zake. Mzozo huo umeibuka baada ya kampuni nyingi kusitisha matumizi kwenye Twitter hasa baada ya mipango ya mmiliki mpya wa...
  13. S

    Elon Musk Skips Kenya, to Offer Internet Satellite to Tanzania Through Starlink

    Starlink provides internet access to over 40 countries globally, with Tanzania set to become the third country in Africa after Nigeria and Mozambique. The Citizen reported that the service will be available in the East African country from the first quarter of 2023 and will be expected to boost...
  14. Boqin

    SI KWELI Elon Musk alidhamiria kutorejesha akaunti ya Twitter ya Donald Trump kwa kuwa anamchukia

    UVUMI Hivi karibuni baada ya Elon Musk kuununua mtandao wa Twitter kuliibuka uvumi kwamba bilionea huyo amepanga kurejesha akaunti zote za Twitter zilizofungiwa, kasoro ile ya aliyekuwa Rais wa Marekani kuanzia mwaka 2017 hadi 2021, Donald Trump. Kichwa cha habari cha taarifa hiyo kinasomeka...
  15. NetMaster

    Wanaojiandaa kufunga starlink Internet ya Elon Musk wakidhani ni bei chee wanaota ndoto za alinacha,

    Nashangaa sana kuona watu wanayopotoshana kwamba ujio wa starlink Internet hapa Tanzania ndio utakuwa suluhisho la unlimited internet ghali kama supakasi ya voda. Kama hauwezi kumudu internet unlimited ya supakasi kwa 115,000 basi ondoa shaka kabisa kwamba star link itabaki kuwa ndoto daima...
  16. BARD AI

    Watu milioni 7.8 wataka Trump arudi Twitter, Elon akubali kumrejesha

    Ni baada ya mmliki mpya wa Twitter, Elon Musk kuweka chaguo la Kura kuwataka watumiaji wa mtandao huo kuamua Donald Trump arudi au asirudi. Ndani ya saa 24 jumla ya Kura zilizopigwa ni 15,085,458. Kura 7,844,438 zimetaka Trump arudishiwe akaunti yake huku Kura 7,241,019 zikimkataa Rais huyo...
  17. Diversity

    KWELI Elon Musk ana mpango wa kuleta huduma ya intaneti kwa njia ya satelaiti (starlink) nchini Tanzania

    MADAI Inadaiwa kuwa Tovuti ya Starlink inayomilikiwa na mfanyabiashara bilionea ambaye pia ni mmiliki wa Mtandao wa Twitter, Elon Musk imetangaza mpango wa kuleta huduma ya intaneti kwa njia ya satelaiti (starlink) nchini Tanzania kati ya Januari na Machi 2023 endapo itaruhusiwa na Mamlaka ya...
  18. Kayombo Tips

    Mitandao ya simu ipige faida ya internet kwa mara ya mwisho. Elon Musk kuleta internet ya Starlink Tanzania

    Mwakani Elon Musk atazindua huduma ya internet kupitia kampuni yake ya Starlink. Elon Musk alisema kwenye tweet yake kuwa mwakani atazindua huduma ya internet ambayo itakuwa inapatikana dunia nzima bila kujali eneo gani upo. Ikumbukwe kuwa internet ya Elon Musk itakuwa inarushwa na satellite...
  19. BARD AI

    Elon Musk aagiza wafanyakazi wa Twitter wawajibike kwa masaa mengi au waache kazi

    Mmiliki huyo mpya wa Twitter amewatumia Barua Pepe wafanyakazi wake ikiwa na masharti mapya ya utendaji huku akiwataka wanaokubaliana nayo kujaza fomu maalumu hadi kufikia leo Nov 17, 2022 jioni wawe wamezikabidhi. Musk amesema "ili kwenda mbele, na kujenga mafanikio ya Twitter 2.0 na...
  20. BARD AI

    Wafanyakazi walikuwa wakiigharimu Twitter Tsh. Bilioni 9.3 kwa siku, Elon Musk asema ni sahihi wafukuzwe

    Mmiliki huyo mpya wa Twitter ametetea kufutwa kazi kwa takriban nusu ya wafanyakazi wa kampuni hiyo, akisema "hakuwa na chaguo" kwani Twitter ilikuwa ikipoteza zaidi ya Tsh. Bilioni 9 kwa siku. Bilionea huyo alisisitiza katika ukurasa wake wa twitter kwamba wote waliopoteza kazi walipewa malipo...
Back
Top Bottom