fahamu

  1. King TKM

    Msaada kwa anae fahamu hili swali, an appraisal of handling of exhibits in law enforcement agencies practice: Tanzania police force

    Habari za mda huu, Ikiwa kama kuna regulations, laws au Act zozote zinazoweza kutoa majibu ya hilo swali naomba mnisaidie.
  2. LIKUD

    George Stinney, mtoto wa kwanza kuwahi kuhukumiwa kifo na kunyongwa nchini Marekani

    Video hii hapo chini inaonyesha namna mtoto mweusi mwenye miaka 14 kwa jina George Stinney alivyo nyongwa. Mtoto huyu alinyongwa mnamo mwaka 1944 huko South Carolina akituhumiwa kuwaua watoto wawili wasichana wa kizungu, Betty June Binnicker (11) na Marry Emma...
  3. K

    Mafanikio ya Utawala wa Jakaya Kikwete ndani ya Miaka 10

    Kumekuwepo na vijembe na lugha za kejeli zinazotolewa na baadhi ya viongozi kutuhumu awamu zilizopita hasa awamu ya tano kana kwamba wao waliiba na hakuna maendeleo waliyoyafanya. Orodha ni ndefu mimi nayakumbuka haya. 1. Daraja la Kigamboni 2. Daraja La Kilombero 3. Daraja la Umoja 4. Daraja...
  4. Swahili AI

    Fahamu artificial intelligence (AI)

    Katika maisha yetu ya leo, kwa namna moja au nyingine tunatumia Artificial Intelligence- intellijensia ya kutengenezwa(Sijapata Kiswahili Fasaha, wana jamvi waweza saidia) kupitia vifaa vya kieletroniki kama simu, computer, luninga n.k. Artificial Intelligence (AI) ni nini? Mwaka 1956, mwana...
  5. D

    Fahamu kidogo kuhusu mtu aliyekufa kwenye "Coma" kama anaweza kuzinduka

    Coma ni ile hatua ya mwisho ya kupepea uhai wa mgonjwa aliye kufa awali (Collecting life from early dead)! Hizi ni harakati za kitabibu za kuendeleza uhai uliotwaliwa kwa kutumia mitambo maalum ya kupumulia ( oxygen ventilator's) Ifahamike mgonjwa anapofariki awali, baadhi ya viungo kama...
  6. G

    Rais anapofia madarakani, utaratibu ni upi kwa sheria za nchi yetu?

    Ningependa kujua ikiwa ikatokea bahati mbaya amefariki katika ajali au namna yoyote iwayo, nani ateyeshika nafasi ya uongozi wa taifa letu? ====== 37(5) Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu kazi zake kutokana na...
  7. Shadow7

    Fahamu sifa kubwa ya Infinix Hot 10 PLAY zaidi ya Samsung A02S

    Habari nimeona ni share na nyinyi hii, Katika ushindani wa soko la simu kampuni nyingi za simu zimejikuta zikitoa simu zenye kushabihiana sifa. Kwa leo tuliangalizie kwa ndani simu aina ya Infnix Hot 10 Play na Samsung Galaxy A02s.na mwisho wa makali hii nadhani tutakuwa tumepata kufahamu ipi...
  8. J

    Fahamu kuhusu ushauri wa kuvaa barakoa mbili

    Mataifa mengi ya Ulaya yameanza kuwashauri Raia wake kuvaa barakoa mbili ili kuongeza umadhubuti wa kukulinda dhidi ya maambukizi ya #CoronaVirus Je, ni Wakati gani wa kuvaa barakoa mbili Unapotembelea duka, duka la dawa, daktari au hospitali yoyote Katika mkusanyiko kwenye bustani pamoja na...
  9. kali linux

    Kwa nini youtube channels kubwa za Tanzania zinaombaomba misaada? Je YouTube hawalipi?

    Kiufupi kabisa kama umetengeneza youtube channel baada ya 2015 na bado haujaanza kuingiza hela kafanye kitu kingine tu coz hela ya YouTube channel ni ngumu mno kwa sasa. Hii imesababishwa na kukazwa kwa terms zao. Wale mnaodhan kina millard wanaingiza hela ndefu kupitia youtube ads nadhan...
  10. MR LINKO

    Msaada: Kama unafahamu mkoa wa Njombe kiundani

    Habari wajumbe natumaini nii wazima wa afya. Nikienda kwenye mada moja kwa moja nilikuwa napenda kuuliza kuhusu mkoa wa Njombe maana mimi sijawahi kufika wala kupawaa ila kwa siku ya leo nimepokea simu na swali nikaitikia sema nikashindwa toa jibu. MASWALI YENYEWE NI: 1. Kweli Njombe ina ardhi...
  11. Transistor

    Fahamu namna ya kuuzima Moto unaotokana na shoti ya umeme

    FAHAMU NAMNA YA KUZIMA MOTO WA SHOTI YA UMEME Habari wadau, Happy end of the month (January woyoooo),na happy new year kwa familia yooooote ya Home of Great Thinkers (HGT). Baada ya salaam twende kwenye maada yetu, FAHAMU NAMNA YA KUZIMA MOTO WA SHOTI YA UMEME Kama tunavyojua kuwa nishati ya...
  12. Miss Zomboko

    Fahamu namna nzuri ya Mama Mjamzito kulala ili kulinda uhai wa Mtoto

    Ujauzito ni mtihani mgumu maana anayoyapitia mwanamke ni mazito. Anashindwa wakati mwingine kula, kulala, kutembea yani kwa ujumla kuishi maisha yake ya kawaida kabla ya ujauzito wake ni changamoto na mtihani mkubwa. Kikubwa sasa huwa atalalaje,hasa anapokuwa kileleni mwa ujauzito wake.Namna ya...
  13. FRANCIS DA DON

    Fahamu maajabu ya Vinasaba vinne vya msingi

    Ni kawaida sana kusikia mama akisifiwa kwa kuzaa photocopy ya mume wake, bila kujua kwamba ile process ya ‘photocopying’ haikufanyika tumboni kwa mama, bali ilianza kwenye ‘Gonads /(Korodani)’ za baba mtu na kwenda kukamilika tumboni kwa mama. Kidijitali taarifa za kielektroniki zinatunzwa na...
  14. Mwamuzi wa Tanzania

    Kama huwajui hawa, fahamu kuwa bado hujaingia dunia ya kidigitali. Africa must grow again.

    Kumbe imawezekana Afrika tukaanzisha au kupromote vitu vyetu. Chini ni picha 2 za watu 2 tofauti like African comedians zilizo bamba sana.
  15. J

    Lengo namba moja la maendeleo endelevu (Global Goals)

    Lengo hili linahusu kuongeza kipato cha watu waishio kwenye umaskini na kuhakikisha wanapata huduma za msingi na kumlinda kila mtu kuepukana na majanga. Hivyo basi, Serikali za Mitaa zina jukumu la kuhakikisha kwamba, ifikapo 2030:- · Zinatokomeza umasikini uliokithiri kwa watu wote...
  16. The Sheriff

    MAGARI YA UMEME: Fahamu Faida Zake, Aina na Namna Yanavyofanya Kazi

    Magari ya umeme ndiyo magari yanayotazamiwa kutumika zaidi siku za usoni. Serikali nyingi barani Ulaya zinaahidi kusaidia utengenezaji wa magari yenye kiwango cha chini cha uzalishaji wa hewa sumu, huku makampuni ya Mazda na Maserati yakiwa tayari yametengeneza au kuweka mipango ya kutengeneza...
  17. J

    Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini: Fahamu kuhusu kusitishwa kwa ajira kusiko kwa haki

    Kusitisha ajira maana yake ni kumalizika kwa mahusiano ya kikazi baina ya mwajiri na mwajiriwa au mfanyakazi, kusitisha ajira kihalali, kuachisha kazi isivyo halali, kusitisha kazi kwa makubaliano, mwajiri kusitisha kazi, kuachishwa kazi, kuacha kazi, kustaafu, kuritaya, mwenendo mbaya wa kazi...
  18. J

    Fahamu kuhusu mgawanyo wa madaraka

    Mgawanyo wa madaraka ni mgawanyo wa majukumu ya serikali katika matawi tofauti ili kuzuia tawi moja kutekeleza majukumu ya msingi ya lingine. Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania imeeleza Mafundisho (Doctrine) ya mgawanyo wa madaraka kwa kugawanya mihimili mitatu kwenye mamlaka na...
  19. Kasomi

    Fahamu leo

    Fahamu leo.
  20. Sam Gidori

    SoC01 Chanjo ya COVID-19: Yote unayohitaji kufahamu

    Kampuni ya Kitabibu ya Moderna imetangaza nia yake ya kuomba kibali cha kuthibitishwa kwa chanjo yake ya COVID-19 kwa Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini Marekani. Moderna sasa inaungana na kampuni nyingine mbili za kitabibu zinazosubiri kuthibitishwa kwa chanjo zao na Mamlaka ya Chakula na Dawa...
Back
Top Bottom