Unatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?
Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume...
bado
bila
chupi
dating
father
from
gharama
hali
harusi
hawana
hawapendi
haya
hii
huruma
idadi
jamaa
kipindi
kuitwa
kukataa
kuliko
kuoa
kuoa single mother
kuongezeka
kuwepo
like
mahusiano
mambo
mara
mkubwa
mpenzi
mtu mwingine
mwanamke
mwanaume
naombeni
ndoa
shida
single
single mother
single mothers
singo
taifa
tatizo
tena
tuendelee
uchunguzi
ufahamu
ukweli
umekuwa
ushauri
vijana
waje
wakati
wanaume
wao
wataendelea
watatu
watoto
watoto watatu
waume
where
zamaradi
Wengi wenu hapa JamiiForums bahati mbaya miaka hiyo ya mwishoni ya 90 bado mlikuwa katika Zipu za Baba zenu ila kwa Wakongwe tulikuwepo na mpaka hii leo sijaona bado Harusi ya Kuizidi hiyo.
Ilikuwa ni Harusi ya Mtoto wa Mzee Rupia ( Tajiri wa Kihistoria Tanzania ) na Binti yake Mzee Mramba (...
Mzee chawa mwenyewe full shobo dundo usizojua hata kuzi balance,zee la kuleta historia za miaka 6 hadi 10 ya new signings za utopolo naku challenge useme hili kuhusu bwana Bigirimana kama utagharamiwa harusi yako na maboss zako hao unaojitahidi kuwafurahisha na somo la historia
Bigirimana...
Option #1.
Mchango ni Tsh 5,000/= Utakaa tu Ukumbini na ukipiga Miayo ila Kula utakula kwa Babaako au kwa Mkeo.
Optioy#2.
Mchango ni 15,000/= Ukiwa Ukumbini utapewa Maji Chupa Moja na Bites kadhaa ila wakati wa Kula utaishia tu Kuwashangaa Wenzako.
Option #3.
Mchango ni Tsh 50,000/= ambapo...
Hello Wadau!!
Naenda Moja kwa Moja kwenye topic.
Mimi binafsi naenda kwenye style ya uombaji michango, Jana mishale ya mchana ghafla najikuta nimeungwa kwenye group la kuchangia mchango wa harusi ya classmate wangu ambae sijaongea nae Toka mwaka Jana japo Kila mtu ananamba ya mwenzake, naona...
Sio vizuri kuomba omba kwa mambo uliyoyapanga mwenyewe tena na tarehe unaijua ya tukio
Ni wajibu kuchangia matatizo kama misiba, magonjwa ajali nk...kwa sababu hakuna mtu anapanga au hujiombea hayo japo yapo kwa kujitakia
Lakini kawaida watu husema huwa sheria...tuna desturi ya kuchangia mambo...
Wametumia American measures wanasema shela yake ilikua ya urefu wa yadi 50. Mkononi bibi harusi alivaa bracelet ya almasi iliyokuwa zawadi kutoka kwa John Kennedy
Tarehe 30 mwezi wa 7 naoana na mwanaume ambae ni wa ndoto zangu. Kabla ya kukutana na huyu mwanaume wa ndoto zangu hapo nyuma nilikua na uhusiano na kaka mmoja asiejielewa.
Wakati tunaachana alinitolea mbovu na miapizo kibao. Asa nataka nimjulishe kua nipo na survive na nimempata mtu sahihi...
Nawasalimu katika jina la chama pendwa CCM.
Leo nimekuja kitofauti.
Leo ninatoa maoni yangu kuhusu mambo ya mapenzi na ndoa. Kabla sijaelezea nataka kila msomaji ajikumbushe ule msemo usemao "fuata maneno yangu sio matendo".
Leo nitaongelea kitendo cha madhehebu yetu hasa ya kikristo...
Ni kawaida kukuta reservation kwenye mabar, ma pub na maeneo mengi mashuhuri. Hawa wanaokutana as if ni jambo la maana Sana hivi mdg zangu wanachangia au Ndio mambo ya kifahari.
Naenda Zang maeneo nakuta Kuna reservation imewekwa🧐💅💅baada ya Muda naona mabox ya keki yakiingia. Ukiuliza ni nn eti...
Last week jamaa angu alikua anaoa,so kwenye sherehe nikachapa tungi sana then nikakamatia mtoto flani wa kike nikaruka nae debe sana, kumbe mle ukumbini wife alikua na makachero wake ambao walimtumia picha za kila tukio nililofanya.
So baada ya kuona picha zangu nimekamatia kiuno cha mtoto wa...
Unakuta haamini Kama kaolewa?
Anajua anaenda kulala uchi (popo) kila usiku?
Anajua msela atabandua papuchi Bila malipo?
Au Huwa nimaigizo?
Maana nimeshindwa kuelewa machozi yanahusikaje pale
Vijana wengi tunaogopa kuingia kwenye ishu za ndoa rasmi Ila tunda tunapata adi Basi.
Sababu gharama za harusiNni changamoto mno.
Je, wewe uliye ingia katika ndoa kwa kufanya harusi Ni Jambo gani linakufanya huitamani hiyo siku kila siku Bila kuisahau.
Wakuu Kwema!
Leo sina mengi!
Ujumbe huu unawahusu zaidi wasomi hasa kutoka dini ya kikristo.
Vijana acheni kusubiri Embe kwenye Mnazi!
Msichelewe, ikiwa Una mwenza wako, na una miaka 27-30 amueni kuzaa ikiwa mnaona mambo Yenu bado hayajakaa Sawa.
Msisubiri embe dodo kwenye mnazi. Safari ya...
Mwanamuziki wa zamani Patrick Balisidia alizaliwa mwaka 1946, mwaka uliofuata yaani 1947 alizaliwa dada yake aliyepewa jina la Ndyanao.
Patrick na Ndyanao walielewana sana na walikua kama mapacha. Siku ya harusi ya Ndyanao, kaka yake Patrick alimuimbia mwimbo wa harusi ambao wengi mnaufahamu...
Kapo pendwa kunako Bongo Fleva, Billnass au Nenga na Nandy ‘The African Princess’ wanatarajia kufunga ndoa Juni 25, mwaka huu.
Hiyo ni kwa mujibu wa Baba wa Nandy, Charles Mfinanga alipokuwa akizungumza mara baada ya hapo jana Billnass kumvisha Nandy pete ya uchumba.
Utakumbuka hiyo ni mara ya...
Stori ya kushangaza nchini Rwanda imetokea, Bi harusi aliyetambulika kwa jina la Nadine anadaiwa kurogwa na Ex wake ambaye walipendana kwa muda mrefu na ndiye aliyemsomesha.
Inaelezwa kuwa jamaa alikuwa akimgharamia kila mahitaji yake yote, alimnunulia gari, viwanja ila mwishowe Nadine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.