hezbollah

  1. U

    IDF yaagiza wakazi kwenye vijiji na miji 25 Lebanon ya Kusini kuhama makazi yao mara moja kwa usalama wa familia zao

    Wadau hamjamboni nyote? IDF inaendelea na operesheni kubwa ya kijeshi nchini Lebanon Imeagiza wakazi kwenye vijiji na miji 25 huko Kusini mwa Lebanon kuondoka kwenye makazi yao kulinda Usalama wao. Magaidi ya Hezbollah mengi yamejificha maeneo hayo hivyo IDF inataka kuyashughulikia lakini pia...
  2. U

    Ndege hatari 100 za IDF zafanya mashambulizi makubwa na kusambaratisha maeneo 120 yaliyo ngome kuu za Hezbollah Lebanon kusini

    Wadau hamjamboni nyote? Siku ya leo Oktoba 7 ndege za Jeshi la IDF zaidi ya 100 zimefanya mashambuluzi makubwa zikilenga shabaha na kusambaratisha maeneo takribani 120 yaliyo ngome kuu za magaidi ya Hezbollah yaliyojichimbia Kusini mwa Lebanon Shambulizi hilo la hatari lilitumia takribani saa...
  3. Sodoku

    Naim Qassem akataa kuongoza Hezbollah na ajiuzulu, Sheikh Ibrahim Amin naye akataa Uteuzi kuongoza Hezbollah

    Mambo yamekorogana. Wayazuni walaaniwe kabisa.
  4. Venus Star

    'Iron Dome Imeshindwa': Bomu la Makombora 120 la Hezbollah la Fadi Kambi 3 za Jeshi la Israel huko Haifa na Tiberias

    Jeshi la Israel limekiri kuwa mifumo ya ulinzi wa anga ilishindwa kuzuia shambulio kubwa la roketi na kombora la Hezbollah. IDF ilisema kwamba inachunguza athari za roketi, hasara na uharibifu kwa Israeli kaskazini. Hezbollah ilifanya mashambulizi 18 dhidi ya wanajeshi wa Israel na vituo...
  5. Lupweko

    Vigogo hawa washirika wa Hezbollah hawajulikani walipo

  6. Shooter Again

    Jeshi la Israel laua magaidi 560 wa Hezbollah

    Mpaka kufikia siku ya Jana jeshi la Israel lilishatokomeza magaidi wa HEZBOLLAH 560 tunaendelea kuwaombea wakristo wenzetu Israel waendelee kufuta magaidi kwenye uso wa dunia kifuatacho ni kuifanya Iran iwe majivu sababu ndio nchi inayoongozwa na magaidi endapo ikitokea gaidi kajificha Kwa raia...
  7. Li ngunda ngali

    Hezbollah imepoteza mawasiliano na aliyetarajiwa kumrithi Nasrallah

    Kundi la magaidi la Hezbollah limetangaza kupoteza mawasiliano na aliyetarajiwa kuwa mkuu wake baada ya kifo cha Nasrallah anayefahamika kwa jina la Safi Al din na haieleweki hadi wakati huu alipo! Hivi karibuni Marekani ilitoa taarifa kuwa, Israel ilimlenga huyo mkuu taraji usiku wa Alhamis...
  8. Adolph Jr

    Nani anaiongoza Lebanon na Hezbollah ina nguvu gani?

    Lebanon imekuwa chini ya mashambulizi makali ya makombora kutoka kwa Israel katika muda wa wiki mbili zilizopita, ambayo yameua zaidi ya watu 1,000, na eneo lake limevamiwa na wanajeshi wa Israel. Hii ni kwa sababu ya mzozo wa sasa kati ya Israel na Hezbollah - chama cha kisiasa na wanamgambo...
  9. Ritz

    Israel imerejea kutoka kijiji cha Odaisseh nchini Lebanon kwa vifo MAJERUHI MAKUBWA baada ya wavamizi hao kukutana na jibu kali la Hezbollah

    Wanaukumbi. BREAKING: Israel imerejea kutoka kijiji cha Odaisseh nchini Lebanon kwa vifo MAJERUHI MAKUBWA baada ya wavamizi hao kukutana na jibu kali la Hezbollah. https://x.com/iriran_military/status/1842370522643886275?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw UP DATE….. ========================...
  10. D

    CHEKI: Kwa hakika Magaidi ya Hezbollah yalijiandaa

    (Hii ni kambi Moja tu) (Na mlengwa alikuwa Israel) ( Iran na Hawa jamaa walikuwa na agenda ya kuiangamizi na kuifuta Israel) Israel ashukuru sana Mungu aliyempa akili za ziada na akaendelea kusimama naye. Hiyo mitambo imeshateketezwa sehemu kubwa sana kwa uwezo wa Israel.
  11. FaizaFoxy

    Kipigo Kikubwa Kwa Israel Mossad Spy HQ, Na ngome muhimu ya IDF Zimeshambuliwa

    Hezbollah imeripoti kuwa imefanikiwa kubamiza vituo muhimu vya kijeshi vya Israel, ikiwa ni pamoja na makao makuu ya upelelezi ya Mossad na kambi muhimu ya IDF, wakati wa mgogoro unaoendelea kufuatia uvamizi wa ardhi wa mazayuni kusini mwa Lebanon. Jionee...
  12. Sodoku

    Viongozi watatu Wakuu wa Hezbollah waliouawa mpaka sasa, mmoja hajamaliza siku 5!

    Bado nakataa kuamini. Sitaki kabisa kuamini. Hivi ni kweli? Ama naota? inakuaje kuaje?haiingii akilini? Nadhani sasa Khayatollah ajishike vizuri. Hawa jamaa si watu wazuri. Akae kwa kutulia sana. Sisi tuliwategemea sana Hezbollah. Sasa tunashindwa kuelewa. Nini kinaendelea huko. Maana tulisema...
  13. M

    Kikundi cha Hezbollah ni nini na ilianzia wapi?

    HEZBOLLAH NI NINI HASA? Kwa haraka sana, Hezbollah ni chama cha siasa nchini Lebanon LAKINI KUMBUKA CHAMA NI CHAMA CHENYE JESHI LENYE SILAHA! Yaani, jenga picha mfano wa vyama vyetu hapa nchini. Sasa, moja ya vitu ambavyo ni vya kawaida sana pale Mashariki ya Kati, ni chama kuwa na jeshi kama...
  14. U

    Hofu dhidi ya Israel yasababisha Hassan Nasrallah aliyekuwa kiongozi mkuu Hezbollah, kufanyiwa maziko ya muda eneo la siri

    Wadau hamjamboni nyote? Hassan nasrallah aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Hezbollah amezikwa kwa muda eneo lisilojulikana wakihofia mazishi makubwa ya wazi upo uwezekano mkubwa wa Mossad na IDF kutumia hiyo fursa hiyo kufanya yao! Hivyo wanasubiri siku za usoni mazingira yakiwa sawa basi watamfanyia...
  15. G

    Kiongozi mpya wa Hezbollah aliemrithi Hassan Nasrallah alieuawa wiki iliyopita na yeye kauawa?

    Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un Rest in peace Wiki iliyopita Jeshi la Israel lilimuangamiza Nasrallah Israel ilitekeleza shambulio la kulenga huko Beirut usiku wa Jumatano kwa wakati wa eneo, dhidi ya mkuu wa kamati kuu ya Hezbollah, Hashim Safi al-Din, maafisa watatu wa Israel walisema...
  16. FaizaFoxy

    Kamanda wa vifaru wa mazayuni ajiuzulu baada ya kuchezea Kichapo cha Hezbollah

    Kamanda wa vikosi vya vifaru 8200 ambavyo kikawaida huwa mstari wa mbele kwenye mashambulizi, amelazimishwa kujiudhuru baada ya kutaka kunyayanyuwa bendera nyeupe ya kukiri kushindwa. Baada ya kikosi cha makomandoo kuchezea Kichapo cha Hezbollah, ambacho kikosi anachoongoza yeye ndicho...
  17. U

    Mayahudi wa Iran walazimishwa na Serikali kuomboleza kifo cha hassan nasrallah kiongozi mkuu wa magaidi wa Hezbollah aliyeuawa na Israel

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: Iranian Jews compelled to mourn Nasrallah's death amid oppressive climate Oct 1, 2024, 16:43 GMT+1 Updated Oct 2, 2024, 08:01 GMT+1 Jews in Iran are being pressured by the authorities to publicly mourn the death of Hezbollah...
  18. kimsboy

    LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran

    Nimeona nije na uzi maalum wa kupeana updates wa vita mpya inayotarajiwa kulipuka kati ya Iran na Israel muda wowote kuanzia sasa Inaonekana inayokuja mashariki ya kati itakua sio ya mchezo Yemen tayari keshaandaa wanajeshi laki 4 Iraq kuna wanajeshi laki 2 na nusu Hezbollah wapo zaidi laki...
  19. Ritz

    Walowezi watatu wa Israel wamejeruhiwa katika shambulizi la kombora la Hezbollah huko Tel Aviv

    Wanaukumbi. Baada ya Israel kumuuwa kiongozi wa Hezbollah wanadhani vitu vimeisha ndiyo kwanza kuna zaidi ya makombora 1000.0000 hayajagushwa. Walowezi watatu wa Israel wamejeruhiwa katika shambulizi la kombora la Hezbollah huko Tel Aviv Waisraeli waliamini kuwa wameivunja moyo Hezbollah kwa...
  20. Eli Cohen

    Timeline ya harakati za magaidi wa hezbollah tangu kuundwa kwake

    1982: Hezbollah iliundwa 1983: Mlipuko wa lori la kujitoa mhanga katika Ubalozi wa Merika huko Beirut, 83 waliuawa. 1983: Mashambulio ya mabomu katika kambi za Wanamaji za Marekani na Ufaransa huko Beirut, 299 waliuawa. 1984: Kulipuliwa kwa mgahawa karibu na kituo cha Jeshi la Wanahewa la...
Back
Top Bottom