Wadau hamjamboni nyote?
IDF inaendelea na operesheni kubwa ya kijeshi nchini Lebanon
Imeagiza wakazi kwenye vijiji na miji 25 huko Kusini mwa Lebanon kuondoka kwenye makazi yao kulinda Usalama wao.
Magaidi ya Hezbollah mengi yamejificha maeneo hayo hivyo IDF inataka kuyashughulikia lakini pia...
Wadau hamjamboni nyote?
Siku ya leo Oktoba 7 ndege za Jeshi la IDF zaidi ya 100 zimefanya mashambuluzi makubwa zikilenga shabaha na kusambaratisha maeneo takribani 120 yaliyo ngome kuu za magaidi ya Hezbollah yaliyojichimbia Kusini mwa Lebanon
Shambulizi hilo la hatari lilitumia takribani saa...
Jeshi la Israel limekiri kuwa mifumo ya ulinzi wa anga ilishindwa kuzuia shambulio kubwa la roketi na kombora la Hezbollah. IDF ilisema kwamba inachunguza athari za roketi, hasara na uharibifu kwa Israeli kaskazini.
Hezbollah ilifanya mashambulizi 18 dhidi ya wanajeshi wa Israel na vituo...
Mpaka kufikia siku ya Jana jeshi la Israel lilishatokomeza magaidi wa HEZBOLLAH 560 tunaendelea kuwaombea wakristo wenzetu Israel waendelee kufuta magaidi kwenye uso wa dunia kifuatacho ni kuifanya Iran iwe majivu sababu ndio nchi inayoongozwa na magaidi endapo ikitokea gaidi kajificha Kwa raia...
Kundi la magaidi la Hezbollah limetangaza kupoteza mawasiliano na aliyetarajiwa kuwa mkuu wake baada ya kifo cha Nasrallah anayefahamika kwa jina la Safi Al din na haieleweki hadi wakati huu alipo!
Hivi karibuni Marekani ilitoa taarifa kuwa, Israel ilimlenga huyo mkuu taraji usiku wa Alhamis...
Lebanon imekuwa chini ya mashambulizi makali ya makombora kutoka kwa Israel katika muda wa wiki mbili zilizopita, ambayo yameua zaidi ya watu 1,000, na eneo lake limevamiwa na wanajeshi wa Israel. Hii ni kwa sababu ya mzozo wa sasa kati ya Israel na Hezbollah - chama cha kisiasa na wanamgambo...
Wanaukumbi.
BREAKING: Israel imerejea kutoka kijiji cha Odaisseh nchini Lebanon kwa vifo MAJERUHI MAKUBWA baada ya wavamizi hao kukutana na jibu kali la Hezbollah.
https://x.com/iriran_military/status/1842370522643886275?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
UP DATE…..
========================...
(Hii ni kambi Moja tu)
(Na mlengwa alikuwa Israel)
( Iran na Hawa jamaa walikuwa na agenda ya kuiangamizi na kuifuta Israel)
Israel ashukuru sana Mungu aliyempa akili za ziada na akaendelea kusimama naye.
Hiyo mitambo imeshateketezwa sehemu kubwa sana kwa uwezo wa Israel.
Hezbollah imeripoti kuwa imefanikiwa kubamiza vituo muhimu vya kijeshi vya Israel, ikiwa ni pamoja na makao makuu ya upelelezi ya Mossad na kambi muhimu ya IDF, wakati wa mgogoro unaoendelea kufuatia uvamizi wa ardhi wa mazayuni kusini mwa Lebanon. Jionee...
Bado nakataa kuamini. Sitaki kabisa kuamini. Hivi ni kweli? Ama naota? inakuaje kuaje?haiingii akilini? Nadhani sasa Khayatollah ajishike vizuri. Hawa jamaa si watu wazuri.
Akae kwa kutulia sana. Sisi tuliwategemea sana Hezbollah. Sasa tunashindwa kuelewa. Nini kinaendelea huko. Maana tulisema...
HEZBOLLAH NI NINI HASA?
Kwa haraka sana, Hezbollah ni chama cha siasa nchini Lebanon LAKINI KUMBUKA CHAMA NI CHAMA CHENYE JESHI LENYE SILAHA!
Yaani, jenga picha mfano wa vyama vyetu hapa nchini.
Sasa, moja ya vitu ambavyo ni vya kawaida sana pale Mashariki ya Kati, ni chama kuwa na jeshi kama...
Wadau hamjamboni nyote?
Hassan nasrallah aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Hezbollah amezikwa kwa muda eneo lisilojulikana wakihofia mazishi makubwa ya wazi upo uwezekano mkubwa wa Mossad na IDF kutumia hiyo fursa hiyo kufanya yao!
Hivyo wanasubiri siku za usoni mazingira yakiwa sawa basi watamfanyia...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
Rest in peace
Wiki iliyopita Jeshi la Israel lilimuangamiza Nasrallah
Israel ilitekeleza shambulio la kulenga huko Beirut usiku wa Jumatano kwa wakati wa eneo, dhidi ya mkuu wa kamati kuu ya Hezbollah, Hashim Safi al-Din, maafisa watatu wa Israel walisema...
Kamanda wa vikosi vya vifaru 8200 ambavyo kikawaida huwa mstari wa mbele kwenye mashambulizi, amelazimishwa kujiudhuru baada ya kutaka kunyayanyuwa bendera nyeupe ya kukiri kushindwa. Baada ya kikosi cha makomandoo kuchezea Kichapo cha Hezbollah, ambacho kikosi anachoongoza yeye ndicho...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Iranian Jews compelled to mourn Nasrallah's death amid oppressive climate
Oct 1, 2024, 16:43 GMT+1
Updated Oct 2, 2024, 08:01 GMT+1
Jews in Iran are being pressured by the authorities to publicly mourn the death of Hezbollah...
Nimeona nije na uzi maalum wa kupeana updates wa vita mpya inayotarajiwa kulipuka kati ya Iran na Israel muda wowote kuanzia sasa
Inaonekana inayokuja mashariki ya kati itakua sio ya mchezo
Yemen tayari keshaandaa wanajeshi laki 4
Iraq kuna wanajeshi laki 2 na nusu
Hezbollah wapo zaidi laki...
genocide
hamas
hezbollah
houthi
idf
iran
iraq
israel
kamanda
kiarabu
kuishambulia
lebanon
maalumu
majeshi
nato
nchi za kiarabu
palestine
shambulizi
syria
uzi maalumu
wanajeshi
wanajeshi wa israel
wapenzi
Wanaukumbi.
Baada ya Israel kumuuwa kiongozi wa Hezbollah wanadhani vitu vimeisha ndiyo kwanza kuna zaidi ya makombora 1000.0000 hayajagushwa.
Walowezi watatu wa Israel wamejeruhiwa katika shambulizi la kombora la Hezbollah huko Tel Aviv
Waisraeli waliamini kuwa wameivunja moyo Hezbollah kwa...
1982: Hezbollah iliundwa
1983: Mlipuko wa lori la kujitoa mhanga katika Ubalozi wa Merika huko Beirut, 83 waliuawa.
1983: Mashambulio ya mabomu katika kambi za Wanamaji za Marekani na Ufaransa huko Beirut, 299 waliuawa.
1984: Kulipuliwa kwa mgahawa karibu na kituo cha Jeshi la Wanahewa la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.