Sekta ya Madini imekuwa miongoni mwa Sekta zilizopata nafasi ya kunadi fursa zake za uwekezaji kwa ujumbe wa Wawekezaji kutoka Jimbo la Haryana nchini India.
Ujumbe huo wa wawekezaji takribani 150 unashiriki katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara SabaSaba yanayoendelea jijini Dar Es...
Habarini wakuu, naomba kuelimishwa juu ya mada tajwa hapo juu. Tumezoea mara nyingi Watanzania wakikosa huduma fulani kwenye hospitali zetu za ndani basi kimbilio lao ni India, hii inamaanisha katika mataifa yote duniani India imekuwa namba moja kwenye masuala ya afya au vipato vya Watanzania...
INDIA: WATU ZAIDI YA 300 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI YA TRENI
Taarifa za awali zinaeleza idadi ya waliopoteza maisha ni 288 huku wengine 850 wakijeruhiwa katika hiyo iliyotokea Jimbo la #Odisha, lakini kumekuwa na ongezeko la idadi ya waliofariki kwa kuwa zoezi la kutoa miili iliyonasa kwenye...
Kiswahili sanifu kugida ni kuruhusu maji kutoka ndani ya chombo kidogo kidogo.
Hivyo ndivyo ilivyotokea huko India baada ya bwawa moja kukaushwa ili kuipata simu iliyotumbukia humo wakati wa kupiga selfie.
Simu hiyo ilikuwa ni ya aina ya Samsung yenye thamani ya dola 1200 mali ya bwana Rajesh...
Study MBA Online program at India Top University Recognised by TCU
Duration: 2 Years
Registration fee $500 ( One time
Tuition fee per Year 750 USD
For more :
Call: 0678650509
Email: Info@elidamentors.co.tz
Balozi wa Tanzania Nchini India, Anisa Mbega ametoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu msamaha uliotolewa kwa Watanzania baada ya mazungumzo maalum yaliyofanyika pamoja na Serikali ya India kwa kupitia Wizara ya Mambo ya Nje ya India.
Balozi Mbega anasema “Ubalozi kwa kushirikiana na Mamlaka...
Ndauli.
Basi baada ya ile ripoti ya kuonyeshwa mapesa yamechotwa ovyo.
Basi yule montress akasema mada hiyo itajadiliwa mwezi wa saba huko.
Wananchi huko india wamempiga risasi mbele ya TV mbunge mmoja kwa madai ya kupora mali na tabia za ubabe ubabe.
Tukio hilo lilirushwa mubashara kwenye...
Nchi ya India imeipiku nchi ya China kwa population.
Population:
1. India [emoji1128] 1,426,409,584
2. China [emoji630] 1,425,731,257
3. USA [emoji631] 339,688,556
4. Indonesia [emoji1129] 277,148,717
5. Pakistan [emoji1191] 239,693,115
6. Nigeria [emoji1184] 222,914,017
7. Brazil...
Abiria mmoja Mtanzania amekamatwa juzi katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Indira Gandhi nchini India, baada ya kukutwa akiwa amebeba dawa za kulevya aina ya cocaine.
Msafiri huyo aliwasili akitokea Addis Ababa, Ethiopia na dawa hizo zilikuwa zimewekwa kwenye chupa tatu za pombe kali aina ya...
In the year 1877, India was hit by a severe famine, known as the Madras famine, which lasted for two long years. This famine was caused by a severe drought that caused widespread crop failure and led to a shortage of food and water. Millions of people were affected, and many lost their lives as...
India wanadai ni mkoa wao na wameupa jina "Arunachal Pradesh", Mchina naye ameupa jina "South Tibet" na wote kila mmoja anaamini ni mkoa waliopokezwa na mababu zao na hawapo tayari kuachia hata kipande, na mataifa yenyewe na makubwa na kila moja lina silaha za nyuklia.
Hawa wanyukane tu maana...
India became fifth largest economy last year and today its economy expected to grow at 6.9 for 2023 fiscal year according to the IMF economic review.
India's status as the fifth largest economy is the world came following data from...
WABUNGE 35 KWENYE MAFUNZO YA APSEZ NCHINI INDIA
Wabunge 35 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka kamati mbalimbali za Bunge hilo wapo katika ziara ya mafunzo Nchini India, kujifunza kuhusu ushirikishaji wa Sekta binafsi katika Uwekezaji, Usimamizi na Uendelezaji kwenye shughuli za...
Hawa jamaa wamekua wakifanya matendo ya kinyama mika na miaka na wanaendelea bila hofu yoyote.
Hii ni hali ilivyokuwa mitaani kipindi cha sikukuu zao za Holi majuzi.
Halafu Watu wakipiga miripiko waitwe magaidi.
Kwa kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.
Katikati ya uhasama usiothamini tena maisha ya watu wengine, Urusi iliingizana G20 mkutanoni na kichekesho cha mwaka:
Kumbe Urusi inapambana kuisimamisha vita iliyoanzishwa na Ukraine dhidi yake. 🤣🤣
Kwamba huo haswa ndiyo uelewa wa akina...
Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imetengaza fursa kwa wakulima na wauzaji wa mbaazi nchini, matokeo ya kupatikana kwa soko hili ni kuimarika kwa diplomasia ya uchumi kati ya Tanzania na India. Ikumbukwe mbaazi hizo zitaingia nchini India bila ushuru.
Kampuni moja imeanzisha utaratibu huo maalum kwenye mfumo wa kompyuta za ofisini ambao dakika 10 kabla ya muda wa kazi kumalizika unatokea ujumbe ulioandikwa “Muda wa kazi umeisha, mfumo utazima baada ya dakika 10 NENDA NYUMBANI” na ukifika muda huo mashine zinazima.
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya...
Karibu.....
........
UTOFAUTI WA HULKA NA MIFUMO YA MAISHA, ISIWAFANYE MKAISHI KWA KUTETEA MIFUMO KWA "KILA MMOJA NI TOFAUTI NA MWENZAKE "
TUMEKUWA MANABII NA TUNAOISHI KWA NGUVU ZA MISEMO NA USHUHUDA PAMOJA NA TAFSRI ZA NDOTO "SI KWA UHALISIA WA MAISHA TENA"
TUNAHITAJI ZAIDI YA CHAKULA NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.