Najaribu kuingia YouTube lakini inagoma, kama nusu saa iliyopita nilikuwa naipata.
Kuna yeyote anapata tatizo kama langu?
Natumia Mtandao wa Tigo
PIA SOMA
= >...
Watumiaji wa mtandao wa twitter, Telegram, wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.
PIA SOMA
= > Leo Mitandao ya kijamii Tanzania Bara imekuwa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter na Telegram zimeguswa
Zamani ukijiunga dakika unakula na MB 500 au hata GB 1.
Offer nyingi zilikuwa zinaenda sanjari Dakika na Vifurushi ya Internet.
Sasa imekuwa tofauti kabisa. Eti Tsh. 1000 ukicheza kama hujui kuifukua menu ya Vifurushi unaweza kununua MB 100.
Nini kimetokea?
For the past 4 months Tanzania has witnessed two of her sons i.e. Diamond Platnumz and Millard Ayo clocking 1 bln views on youtube and one wonders why has Kenya not achieved that success?
Going by the number of arguments i have put foward before that Tanzania with a broader fiber optic covarage...
Nimenunua simu LG V20 natumia line ya halotel 4G nimeset Access Point zile ikakubali ina browse internet fresh youtube unaangalia vizuri na app ya jamii forum inafanya kazi ila tatizo haitumi picha wala txt za whatsapp facebook telegram na Twitter pinterest hazirefresh ilivoload siku ya kwanza...
Kuna watu wanazibeza takwimu zinazotolewa mitandaoni. Takwimu ambazo nyingi kila mara zinaonyesha kuwa Tundu Lissu anamshinda Magufuli.
Binafsi ninaweza kusema kuwa hizi takwimu (polls) zinaweza kuwa credible (zenye kuaminika) zaidi nyakati hizi za sasa kuliko baadhi ya watu wanavyodhani na...
Sijui nifanyaje wadau maana simu yangu ina laini ya halotel na internet inasumbua hadi nisubiri usiku. Msaada kwa wataalam wa IT kama kuna cha kufanya ili irudi kuwa bomba.
Wakuu Igweeeee!
Kwa muda kama wa miezi miwili hivi niko sehemu nimejishikiza. Baada ya muda wa kazi naona nina muda mwingi ambao nina access na internet ambayo nahisi nikipata kitu constructive inaweza kunisaidia kuniingizia kipato. Ungekuwa wewe ungeitumiaje?
Au fikiria hivi, umefungiwa ndani...
Naombeni msaada wadau,
Nimetuma kimakosa application za ualimu, nilienda internet cafe kufanya application bahati mbaya aliyenihudumia akawa amechanganya taarifa zangu na mtu mwingi kwenye vyeti sasa tatizo linakuja nashindwa kuviondoa vyeti vya mtu mwingine kwenye account yangu.
Habari wadau, nauza 3G router za internet
AINA YA ROUTER: D-Link DWR-730
SPECIFICATIONS
Integrated SIM card slot
HSPA+ with up to 21.6 Mbps download
Up to 5 hours battery life
microsD card for storage expansion
Wireless N150 (150 Mbps on 2.4 GHz
BEI : 40000/= Tsh kwa rejareja, 30000/= Tsh kwa...
‘People think that data is in the cloud, but it’s not. It’s in the ocean.’
How the Internet Travels Across Oceans
The internet consists of tiny bits of code that move around the world, traveling along wires as thin as a strand of hair strung across the ocean floor. The data zips from New...
Kwa mujibu wa Taarifa za TCRA ambazo zimenukuliwa katika mtandao maarufu wa Wikipaedia, idadi ya Watanzania wenye kumiliki vyombo vya mawasilaino kwa maana ya Simu ni milioni 43.5 kati ya wananchi milioni 53.8
Hii inamaanisha kuwa takriban asilimia 80.8 ya wananchi wanaweza kupashana habari na...
Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (T-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika...
Betty Kyallo stepped out with Alinur for the much anticipated FA Cup final between Arsenal and Chelsea.
Betty broke the internet earlier in the day as she adorned Chelsea colors. Netizens could not keep calm and they took sides on who would come out on top between the two teams.
Her fellow...
Hello wakuu hii post ni mahususi kwa ajili ya kushare screenshot za matumizi yetu ya vifurushi vya internet kwa mwezi unaoisha (mwezi wa 6)
Labda kupitia hii post watu wa makampuni ya simu waliopo humu Jamiiforums wakipitia post hii na kuona matumiz ya wateja wao kwa upande wa data ni makubwa...
Nipo hapa nimeshajaribu kupiga huduma kwa Wateja lakini ninachokutana nacho, mtandao unasumbua Ata anayeongea humsikii, unaskiliza mikoromo tu mpaka masikio yanauma.
Internet ndo kabisa Kwenye kudownload utakesha Inaenda slowly sana, Mida yake mpaka uivizie saa nne usiku Mpaka saa mbili humo...
Habari yako,
PC yangu kwa muda sasa kila nikijaribu kuconect internet kupitia simu yangu inasema "Limited" na status yake inasema "unidentified network" na "no internet access", natumia windows 8.
Nimekuja hapa kuomba msaada wenu wa jinsi ya kulitatua tatizo hili.
Wakuu nauliza hivo maana kilichotokea wala sijaamini
Yaani 1GB imeisha kwa kudownload apps mbili tu na kutumia whatsapp ndani ya dakika 10
Hii kali sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.