leo ndio mtambo wa ulinzi wa anga wa THAAD unaanza kufanya kazi Israel.
Huku kundi la Hezbollah wakijibu kauli ya msemaji wa Idf aliyesema watashambulia benki na mali zinazohusiana na Hezbollah,,
Kundi la Hezbollah wamesema watarusha makombola ambayo hawajaanza kuyatumia Tel Aviv huku...
Japo katika kujibu swali hili kutahitaji historia, naomba tujitahidi tusilete udini bali chanzo halisi cha mgogoro huu wa Palestina na Israel.
Ninachokijua kime-base kwenye dini na ndio maana nashindwa kukiweka hapa, nawaomba wataalamu wa Historia ya Israel na Palestina watusaidie, pia mtu...
Chombo cha habari Maariv kutoka Israel kinaripoti kuwa tayari Iran imepokea silaha za kisasa ikiwemo ndege vita Chapa SU 35 kutoka Russia na air defense system S-400 , Hali kadhalika Iran imepokea kutoka China Laser Anti -drone system. Habari hii pia imeripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari...
Nimeisikiliza mara mbilimbili hii Clip, imenifikirisha Sana.
Imenifikirisha kwa kuwa hivi karibuni aliyekuwa Rais wa Iran, Mahmoud Ahmedinejad, alisema kuwa, kuna wakati walianzisha kitengo Cha kuipeleleza Israel, lakini mwisho wa siku wakaja gundua kuwa kiongozi wa kitengo hicho ni mtu wa...
Daaaaaaaah...... Nakosa la kusema kabisa. Sielewi. Nadhani Hezbollah na Hamas sasa wabadilishe mbinu. Nani anakuwa anavujisha uwepo wao? Hii wadau imekaaje kitaalamu,kimbinu na kimedani?
Adiosamigo Ritz na wenzetu wengine. Sasa hapa tunafanyaje? Sisi mpaka sasa tumemuua Mkuu wa Majeshi wa...
"History doesn't repeat itself but it often ryhmes" Mark Twain
Kabla ya mwaka 1914, Ujerumani na Austro-Hungary walikuwa ni mataifa ambayo hayawezi kutenganishwa kwa lolote lile. Mkubwa alikuwa Ujerumani na mdogo alikuwa ni Austria.
Austro-Hungary lilikuwa ni taifa linalotawaliwa na familia...
Ndani ya wiki moja tumeshuhudia makombola ya Hezbollah yakitwanga kambi ya jeshi ya Israel na kusababisha vifo vya wanajeshi kadhaa na majeruhi wengi. Leo kumeripotiwa shambolio jingine lililolenga makazi ya Netanyahu.
Haya makombora yanapita wapi ikiwa taifa hili linasemwa kuwa na mifumo...
https://youtube.com/shorts/ieBLRTPg-xE?si=Mf1qykB9kyqh8kt3
Ujumbe ndio huo leo kutoka kwa Ayatollah Khomen, asema Israel ni watoto sana mbele ya Hezbulla. Hawaiwezi Hezbullah. Hivi kuna kuna dharau kama hi tena.
Ayatollah anasema Israel lazima wakuze akili zao wasifikirie hata siku moja...
Haya anayoeleza Huyu Mchungaji Mchungaji Israel Ernest Ngatunga kama ni kweli basi CCM hawataaci madaraka kamwe kwa njia ya amani kupitia boksi la kura
Pia soma: LGE2024 - Vijana wa CCM wamshambulia Mjumbe wa Kamati Tendaji ya CHADEMA katika Kituo cha Uandikishaji
Wadau hamjamboni nyote?
Jeshi la Israel halipoi hata kidogo na muda tayari yule Naibu kamanda alihusika na kurusha roketi Israel keshaliwa kichwa
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
3min ago
IDF says deputy commander of Hezbollah’s Bint Jbeil district killed in airstrike yesterday
The...
Hii ni kwa ajili ya kupambana na magaidi wa Houthi wenye mlengo wa uislamu.
Japo sijajua imekaa vipi maana huko Somaliland si ndio wale wale ambao wameathirika na uzombi pia.....
=================================
Israel is interested in establishing a military base in northern Somalia in...
Kiongozi wa kundi la Hamas Yahya Sinwar, ameuawa na Israel.
Duru za habari zinatabanaisha Sinwar aliuawa mapema usiku wa leo huko Gaza.
---
Senior U.S. Officials, including President Joe Biden, have been notified by Israeli Officials that Yahya Sinwar, the Leader of Hamas, was likely...
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Tunasubiri kauli ya taasisi na jumuiya za Kiislamu tanzania kupinga dhulma ya Israel dhidi ya ndugu zetu Wapalestina ikiwemo mauaji ya Viongozi wao Yahya Sinwar, Hassan nasrallah na Ismael hanniyeh
Ndugu zetu hao wameishi kwa mateso na...
Wadau hamjamboni nyote?
Mjisomee wenyewe hapo chini:
October 18, 2024
IDF says Hezbollah commander in Taybeh area of southern Lebanon killed in airstrike
Today, 8:12 am
2
The military says that it killed the commander of Hezbollah’s Taybeh compound Mohammad Hussein Ramal in an...
Ni huzuni kuu kwa Hamas na washirika wake na ni furaha kwa Israeli na washirika wake
Siku 5 zilozipita Netanyahu alitangaza mauaji (assasination) ya viongozi wa Hamas na Hezbollah.
Leo IDF wamemuua kiongozi mkuu wa Hamas pamoja na majenerali kadha wa kadha wa Hamas. Yahya Sanwar ameongoza...
Wadau hamjamboni nyote?
Hamas nyoosheni mikono mjisalimishe!
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
---
Gallant calls on Hamas fighters to surrender, release hostages following Sinwar killing
Defense Minister Yoav Gallant calls on Hamas fighters to release the hostages and surrender following...
Urusi imerudia kutoa onyo kwa Israel isithubutu kushambulia nuclear facilities ya Iran ⚡️BREAKING
Russia warned Israel against striking Iranian nuclear facilities
We have repeatedly warned and will continue to warn Israel against even hypothetically considering the possibility of a strike on...
Wanakumbi.
🚨🇱🇧VYA HABARI VYA LEBANE: HEZBOLLAH YADAI KUTEKWA KWA ASKARI WA ISRAELI
Kulingana na ripoti kutoka LBC Lebanon Kitengo Maalum cha Al-Radwan cha Hezbollah kilikamata kundi la maafisa na wanajeshi wa Israeli.
Katika taarifa ya awali kitengo hicho kilionya kuwa huo ni mwanzo tu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.