Mahitaji ya ardhi yameongezeka wakati wawekezaji wanatafuta maeneo ya kupanda chakula cha kuuza nje, au kukuza nishati ya mimea, au tu kupata faida.
Hii hupelekea unyakuaji wa ardhi kutoka kwa jamii za hali ya chini ambao ni wamiliki wa asili wa ardhi hizo.
Unyakuaji wa ardhi huwaathiri...
Mwekezaji anayetaka kununua
hisa atafuata taratibu zifuatazo:
a) Kuwasiliana na dalali wa soko la hisa na kumweleza kusudio lako la kununua hisa
b)Kujaza fomu maalum za kununua hisa na kulipia hisa unazotaka kununua
c) Dalali ataweka fedha kwenye akaunti maalum ya benki kwa ajili ya kununua...
Price yangu ni affordable na ya makubaliano.
Nina Business Centric Approach, yenye lengo ya kuipush idea yako ifanikiwe kwenye market ikiwemo na ushauri wa bure jinsi gani inaweza fanikiwa.
Technologies ninazotumia;
1. Laravel (version 6 up to 8)
2. Vuejs(Version 2 up to 3)
3. Database(Mysql)...
Wajasiriamali House tumekuwa kwa zaidi ya miaka 10. tukiwasaidia Watanzania walio na mitaji isiyozidi laki 5 ,mbinu za kuanzisha au kuboresha bidhaa zao sambamba na mbinu za mauzo ya bidhaa zao. Kwa leo tutaangalia jinsi ya kuwa na kiwanda kidogo nyumbani cha utengenezaji sabuni bila kuhitaji...
UTANGULIZI
Mahindi ni zao muhimu la chakula, na ni aina ya nafaka inayotumiwa zaidi kama chakula,uhususani katika matifa ya Afrika, na yamekuwa yakitumika zaidi na nchi zilizopo kusini mwa jangwa la Sahara. Ni chakula cha matumizi ya nyumbani kwa idadi ya watu inayokadiriwa kuwa asilimia 50. Ni...
Tatizo la kusaga meno kwa kitabibu huitwa bruxism, hali hii inaweza kusababisha meno kuharibika na matatizo mengine ya kiafya kwenye kinywa yanaweza kutokea
Kwanini Watu Husaga Meno?
Hali hii husababishwa na vitu kama msongo wa mawazo, hasira na magonjwa ya usingizi
Unawezaje kugundua ikiwa...
JIFUNZE SOFTWARE ZA UCHORAJI VITU KAMA RAMANI ZA NYUMBA, BARABARA , RELI N.K
TUNAFUNDISHA SOFTWARE ZIFUATAZO
1.AUTOCAD
2.ARCHICAD
3.CIVIL 3D
4.REVIT ARCHITECTURE
5.EPANET
6.PROKON
7.PROTA
8.MASTERSERIES
JIFUNZE UJIAJILI , PESA YAKO ITARUDI KWA PROJECT MOJA TU
WASILIANA NASI KWA SIMU 0767 267...
"Yani nimejiunga kifurushi cha gb 1 baada ya dakika 5 kimeisha, makampuni ya simu wezi"
Hizo ni baadhi ya kauli za watu wanaodhani wanaibiwa bila kujua kwamba lawama zipo upande wao
Computer zetu hizi za windows zimetengenezwa katika namna ya kwamba endapo kutakuwa kuna updates basi zitaji...
Kama kichwa Cha habari hapo juu Kinavyojieleza hapo juu ni kwamba lugha imekua sio tatizo tena kwa mtu kujipatia maarifa kutoka kwenye vitabu na nakala mbalimbali. Sasa mm leo nimekuletea video mbili part 1 inayohusu jinsi ya kutafsiri hardcopy na part 2 inayohusu kutafsiri softcopy kwa Tshs...
Kila mwaka watoto takribani milioni 15 huzaliwa kabla ya miezi tisa yaani njiti na idadi hii imekuwa ikiongezeka siku hadi siku. Ni moja kati ya sababu inayochangia kwa wingi vifo vya watoto walio chini ya miaka mitano duniani.
Shirika la Afya Duniani (WHO) lilikadiria takribani watoto milioni...
Unajua ujasiriamali ni Kitu pana yenye inahitaji elimu kila siku jinsi ya kui master na kujua nini ufanye na nini usifanye ili kuepuka kile watu wanaita HASARA,hamna mtu anapenda hasara kila mtu anafungua biashara ili apate faida na hii faida huwa huwezi kufungua tu droo ukakuta hela...
ENGLISH TUTORIAL
Mate, tatizo la kuelewa kuandika na kuongea na lugha ya kingereza ni suala mtumbuka. Wengi wetu hasa tuliopita shule za uswahilini bado lugha yetu haipo sawa. Hivyo basi ningependa kushea nanyi module hii japo kwa uchache. Nitazungumzia zaidi upande wa sentesi.
NB. Ili...
Habarini wapendwa Kama kichwa Cha huu uzi kinavyojieleza kuhusu Facebook ads. Kwahivyo sisi tumeamua kukufundisha hii huduma kwa kupitia video zitakazo rushwa via WhatsApp messenger. Huduma itatolewa kwa gharama ya Tsh 1000/= na kutukua na full technical support.
Napatika kwa
WhatsApp no-...
Maana ya Usalama wa Barua Pepe (Email Security)
Usalama wa Barua pepe ni hatua zote muhimu ambazo zinatumia kulinda mawasiliano na taarifa zinazokuja au kutumwa kutoka kwa Mtu mmoja hadi mwingine. Ulinzi huu unahakikisha hakuna Mtu asiyemlengwa au kuhusika / mdukuzi anayepata fursa au nafasi ya...
Wasalaam wajumbe humu!
Leo hii kila jimbo ambapo CCM wamechukua form za ubunge na udiwani maeneo mengi nchini wameandamana kwenda ofisi za NEC.Lakini huyu OCD wa mji wa Mbeya sijui kaishia darasa la ngapi, nimeona live akiongea maneno yaliyojaa chuki dhidi ya SUGU eti akidai ana heshima gani...
Nyayo za Kidigitali au Digital Footprint hizi ni taarifa za kipekee zinazokusanywa kutoka kwa mtumiaji wa Mtandao anapofanya shughuli mbalimbali kwenye mtandao, anapofanya mawasiliano, miamala katika vifaa au majukwaa ya mtandaoni
Taarifa hizi zinaweza kutumika kufuatilia vitu anavyofanya na...
Hello World.
Huu uzi ni special kwa Junior front-end developers au experienced back-end developers ambao wanataka kujifunza mawili matatu kuhusu Front-end designs
Pia, ni special kwa wale wote complete beginners wenye interest ya kujifunza web development
Siku ya leo nita introduce new CSS...
Leo nakuomba sana sana ukumbuke kuwa wale wapinzani wote mliowanunua na kuwapa mavyeo au kuwashindisha kwenye uchaguzi wa marudio hawakuwa wamefanyiwa vetting ama ya kiserikali ama ya kichama. Mngekuwa mmewafanyia vetting watu kama akina Protabas Katambi, Kafulila, Cecil Mwambe, Karanga, Mollel...
Tabia ya kuamka Usiku na kuzunguka Nyumba na Mazingira ni tabia unayopaswa kujifunza tangu ukiwa na geto sio unakoroma tu hadi Asubuhi unapoteza nafasi kubwa kuja kuwa Mshua Uliyechangamka.
Na nimeenda😜🏃🏃
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.