Muungano wa Ulaya umeachia orodha iliyoimarishwa ya mashirika ya ndege yanayodhaniwa kuwa hatari, na kuyakataza kufanya kazi ndani ya anga la EU. Sasisho hili la hivi karibuni linajumuisha Air Tanzania, ambayo imeongezwa kwenye orodha kufuatia wasiwasi wa usalama ulioangaziwa na Shirika la...
Kusema kweli katika siku ambayo nitachafukwa basi ni siku ambayo Mwamba ataamua tena kurudi ulingoni na kugombea muhula wa tano. Nitachafukwa sana niwe mkweli.
Kama kuna siku nitampa Mwamba heshima yake basi ni ile siku atakayosema kuwa this time inatosha naomba nipishe damu mpya nibakie kuwa...
Ukweli usemwe. Kilichowaponza kina Mdee ni ule utawala wa mabavu wa awamu ileee. Ulishapita, Chadema ni muhimu ijengwe kuanzia ilikoishia kabla ya awamu hii.
Prime Zone is looking for Marketing & Logistic personnel in:
01. Sales And Marketing Officer– Dar es salaam (03 Positions)
WORKING STATION: DAR ES SALAAM
Job Type: Full-time.
Key responsibilities:
· To prepare marketing and sales strategies.
· Ensuring the company meets the sales targets.
·...
Hakuna jambo jema kama kufanya kazi ya halali hapa duniani na haijalishi iwe na hadhi gani, bali kikubwa ni halali na inakidhi mahitaji yako hata kwa kiasi fulani
Na kamwe usijisikie mnyonge kwa hiyo kazi ambayo unayo sasa kwani ndio kazi yako,endelea kupambana mpaka pale utakapo fikia katika...
Habari zenu,
Naomba kufahamu kwa mtu alekuwa akifanya kazi shirika zisizo za Kiserikali kisha akahamia taasisi za umma, akiwa shirika binafsi alikuwa akichangia kwenye mfuko wa jamii la NSSSF.
Je, akihamia Serikalini huyu mtu ataweza kutoa mafao yake NSSSF?
Salam ndugu zangu natanguliza shukrani kwa Muumba wetu.
Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 22,
Kama kichwa cha habari kilivyojieleza hapo juu ninahitaji mtu mwenye koneksheni ya kazi za migodini,migodi za wachimbaji wadogo pia hata wakubwa.
Natafuta maisha ndugu zangu kwa atakaeguswa au kwa...
Hii kampuni ya kudownload music naona Kila nikidownload inaishia nusu tatizo nini wadau naombeni msaada wenu maana usiku vanny boy anaachia album nataka niamke nayo halafu wananiletea habari nyeusi
Habari,
Mimi ni binti wa miaka 23 naishi Dar es Salaam. Level yangu ya elimu nina degree ya Information systems Management. Npo hapa kuomba kazi yoyote kama vile barista cafe, kuuza duka, kuuza Supermaket, na kazi nyingine yoyote mnayoweza nisaidia.
Asante
Alipokuwa akiwaapisha viongozi "wapya" tarehe 10/12/2024, Rais wa JMT, Mh. Samia Suluhu Hassan, alisikika akimpongeza Masauni kwa kazi nzuri aliyoifanya akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani!
1. Mchengerwa naye alipongezwa kwa kazi nzuri iliyofanywa na TAMISEMI?
2. Kati ya Mchengerwa na Masauni nani...
Naitwa Yusuph , umri miaka 20 natafuta Ajira au kazi yoyote ile ya halali.
Elimu yangu kidato cha nne.
Aina ya kazi , naweza kufanya Kazi mbali mbali , zakutumia akili pamoja na nguvu
Napatikana DSM wilaya ya TEMEKE
Mawasiliano +255696993834
Anahitajika kijana mwenye ujuzi na elimu ya masuala ya biashara hususani kwenye sekta ya miamala ya benki na simu.
MAJUKUMU
-Kusimamia ofisi inayojishughulisha na masuala ya huduma za fedha (Financial services)
-Kuandaa ripoti na hesabu za ofisi
-Kubuni na kuteleza mikakati ya kuipanua na...
Habari ya Uzima wanaJF!
Nimekuja mbele yenu kuomba msaada wa kibarua chochote Cha halali.
✅Nna shahada kwenye real estate management (hiki kisiwe kigezo Cha Mimi kupewa kazi)
✅Najua vema kutumia kompyuta kwenye program zote.
Naishi DSM, Asanteni sana
Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) imetangaza kuwa itapiga mnada magari mbalimbali ambayo hayatumiki ikiwemo Range Rover Wagon siku ya Ijumaa Desemba 13, 2024.
Mnada huo utafanyika katika Jengo la TSN lililopo Mtaa wa Isimani Upanga, Dar es Salaam utahusisha pia pikipiki, vifaa vya TEHAMA...
Kuna kazi ambayo ni kituko yaani kama za kiwandani unakuta mtu analipwa 5000 nauli humo humo kula humo humo halafu hapo hapo matusi ya wachina au wahindi koko yanamkabili wakina dada wanaliwa na wachina na kutumikishwa kama mbwa
Kuna viwanda vipo huko kibaha watu wanalambwa viboko wakizingua...
WAZIRI WA UJENZI MHE. ABDALLAH ULEGA AANZA KAZI, ASISITIZA USHIRIKIANO
Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Abdallah Ulega, amepokelewa wizarani na kulakiwa na watumishi wa Wizara, wakiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Mhandisi Aisha Amour na watendaji na wakuu wa taasisi na kusisitiza...
Natumaini mu wazima wa afya.
Natafuta kazi ya online.
Si kwamba hata ya kufika eneo la kazi siiwezi,bali jukumu limetaiti sana.
Kwa sasa nipo na watoto wawili wadogo,na kila kitu kuhusu wao ni mimi tu. Hapo nyuma kidogo mambo yalienda ovyo, mama yao akaamuwa kuwaacha. Ni bado wadogo,miaka...
Kipindi cha nyuma, mabasi yalikuwa yanazuiwa kufanya safari usiku.
Sababu za alinacha zilitolewa na baadae kupinduliwa bila juhudi zozote za kuondoa sababu hizo za alinacha tulizokuwa tunaaminishwa.
Hivi Sasa mabasi yanasafiri 24 hours na safari za usiku ndio zenye mwitikio mkubwa wa wateja...
Uhamiaji na Changamoto za Kijamii Wilaya ya Chunya
Katika kipindi hiki, tumeweza kushuhudia mabadiliko makubwa katika hali ya uhamiaji nchini Tanzania, hasa katika maeneo ya vijijini kama Kijiji cha Itumbi, Kata ya Matundasi, Wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya. Katika muktadha huu, ni muhimu...
Katika usafiri wa Sgr, umelenga watu wanafanya kazi maofisini tu.
Kwa mfano mtu kama fundi Umeme au Fundi makenika Hawa watu wanavifaa vya chuma au Mafundi Bomba.
Ukifika katika ukaguzi wanazuia Vifaa. swali Je wanaopanda Sgr ni watu wa Ofisini peke, pia katika mabehewa Kuna Abiria na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.