kiswahili

  1. Pascal Mayalla

    Usiyoyajua Kuhusu Samia UN: Kumbe alitaka kuhutubia Kiswahili! Baada ya Kiswahili kuwa Lugha ya Afrika, Rais Samia kukipaisha kuwa Lugha ya Dunia

    Wanabodi, Baada ya Rais Samia kuhutubia Kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jijini New York nchini Marekani kwa kutumia lugha ya Kiingereza safi kilichonyooka, kuna wajinga fulani huku kwenye mitandao ya Kijamii, walimpongeza Rais Samia kwa kuhutubia kwa Kiingereza safi na huku wakimponda...
  2. F

    SoC01 Je, Watanzania wataajirika nje ya mipaka kama wakifundishwa kwa Kiswahili tu?

    Nyanja: Haki za Binadamu Taswira kwa hisani ya: https://www.google.com/intl/en/permissions/using-product-graphics.html Mabadiliko ya sera ya elimu ya Feb 2015 yanalenga matumizi ya lugha ya taifa Kiswahili kuwa ndiyo lugha ya kufundishia kwy taasisi zote za elimu. Hii ni sahihi kabisa na nia...
  3. F

    Kiswahili kuwa lugha ya kufundishia

    Nyanja: Utawala Bora/Haki za Binadamu. Imekuwa ni tabia kuwa chaguzi zinapowadia huwa serikali nyingi mahala pengi duniani zinafanya mabadiliko ya baadhi ya sera, mikakati na mipango yake ili kuakisi mahitaji ya kisiasa ya ushindi katika chaguzi mbalimbali hasa uchaguzi mkuu ambao ndiyo unaweka...
  4. Zules

    Mtu anayezungumza kiswahili mwenye lahaja ya kiunguja

    Natafuta mzaliwa wa unguja anayezungumza kiswahili fasaha kwa ajili ya kurekod sauti analipwa vizuri ilimradi awe mzungumzaji mzuri mwenye uwezo wa kuongea dakika tano nonstop
  5. Keynez

    Baraza ka Kiswahili (BAKITA) badilisheni rangi zenu zinatuchanganya

    Huko twittani nimekuwa nakumbana na post mbalimbali za Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA). Inaonyesha wanaongeza kasi ya kuonekana katika mitandao. Nawapongeza kwa hilo. Tatizo moja ninaloliona ni kuwa kila mara nikiziona post zao, mara moja nadhania ni habari kutoka Mamlaka ya Mapato, TRA...
  6. Keynez

    Idhaa za Kiswahili hazina wasikilizaji wengi kama tunavyodhani

    Hii ni mada nimetaka kuileta kwa muda mrefu sana ila naona kama ni muda muafaka kufanya hivyo. Kwa muda mrefu kumekuwa na dhana kuwa mtu ukihojiwa na BBC au DW Idhaa za Kiswahili basi dunia nzima imekusikia. Naomba leo nitoe mwanga kidogo kuhusu suala hili. Kuna vituo mbalimbali vya kimataifa...
  7. Suley2019

    Maana na aina za sentensi katika lugha ya Kiswahili

    1 Sentensi Shurutia. ni sentensi inayohuundwa kwa viambishii kama -ngeli-, -nge-, na -ngali-. kwa mfano: (1) ningelikutana naye angelinisaidia sana. vilevile aina hii ya sentensi hutumia kiambishi -ki-; kwa mfano: (1) ni kimwona tu nitakwambia. 2 Sentesi-Sahili Sentesi sahili ni kifungu cha...
  8. longokaka

    SoC01 Umuhimu wa Kiswahili kutumika kama lugha ya kufundishia Shuleni Tanzania

    Kiswahili kiwe lugha ya kufundishia Shuleni . Mfumo wa utoaji elimu ndio kitu pekee kitachopelekea elimu kupokelewa vizuri na wahusika katika mahala sahihi . Jamii yetu ya Tanzania imetawaliwa na lugha ya Kiswahili na kwa upande wa pili ni kwamba Kiswahili kimeidhinishwa kuwa ni lugha ya taifa...
  9. M

    Jana nimeona BBC Swahili usiku wakizidi kuudhalilisha upinzani Afrika

    Kikeke alimuuliza swali repota wake kutoka Dar kuwa huyo rais wa Zambia je unadhani atashirikiana na viongozi wengine wa vyama tawala ambavyo ni vya ukombozi akiwa na maana vyama kama CCM, ZANU PF na ANC. Jamaa wa BBC akajibu kuwa ni swali zuri sana hila siwezi lijibu mpaka tuje tumuone...
  10. Mtafiti77

    Ndiyo kusema Kiswahili hakitambuliki kiasi hiki? Makala kama hii kutotaja Kiswahili ni dhambi

    Researchers want to expand scientific terms in African languages including Luganda, which is spoken in East Africa. Pictured: student-teachers in Kampala.Credit: Eye Ubiquitous/Alamy There’s no original isiZulu word for dinosaur. Germs are called amagciwane, but there are no separate words for...
  11. Mtafiti77

    Ukisoma makala hii, unaweza kusema Kiswahili hakijawahi kuwepo. Ni kweli mabeberu hawajui uwepo wa Kiswahili kiasi hiki?

    Researchers want to expand scientific terms in African languages including Luganda, which is spoken in East Africa. Pictured: student-teachers in Kampala.Credit: Eye Ubiquitous/Alamy There’s no original isiZulu word for dinosaur. Germs are called amagciwane, but there are no separate words for...
  12. Mwanza kwetu pia

    #COVID19 Neno UVIKO-19 wamelipata wapi?

    Habari zenu wana Jamiiforums, poleni na majukumu ya kutwa nzima. Bila kupoteza muda, ugonjwa wa Corona baada ya kuonekana kutokuwa kwenye mjumuisho wa magonjwa hatari yanayotambulika na shirika la afya dunia yaani WHO, Hivyo WHO waliamua kuuingiza kwenye orodha ya magonjwa hatari na kuutafutia...
  13. Red Giant

    Sehemu ya maji iliyoingia nchi kavu Dar, pale unavuka na feri au daraja la Kigamboni inaitwaje kwa Kiswahili?

    Eti wandugu sehemu kama ile kwa kiswahili inaitwaje?
  14. M

    Maana ya dhana hizi za Kiuchumi kwa Kiswahili

    Naomba kujua kiswahili Cha Cost Benefit Analysis Cost effectiveness Value for Money Cost effeiciency
  15. Itovanilo

    Naomba ufafanuzi wa msamiati Kunyambuka

    "Kunyambuka" inawezekana likawa siyo geni kwako mwanabodi, lakini Mimi kwangu ni geni .naomba ufafanuzi ndugu wataalamu wa lugha na msamiati wa Kiswahili. Kunyambuka nyambuka, ndiyo kufanyaje? Ikiwezekana members wote, kusanyeni comments zote kwa pamoja halafu mnijibu, siyo comments zinakuja...
  16. fundi bishoo

    Kuna app ambayo naweza kuweka makala ya Kiingereza initafsirie?

    Habari wakuu kwema? Nataka nijue kama kuna app ambayo naweza nkapaste stori au makala fulani ya Kiingereza halafu initafsrie nataka nitafute ujuzi tofaut tofauti tatzo lugha nayo inakua ngumu naomben msaada kwa anaeijua hyo app #yesbishoohaswaaaa
  17. Bakari China

    Ufundishaji wa Kiswahili na Taaluma za Kiafrika nchini China

    2021年4月23日至4月26日,上海外国语大学东非研究中心主任、东方语学院斯瓦希里语专业负责人马骏老师,东非研究中心副主任、斯瓦希里语专业宁艺老师率领斯瓦希里语专业5名同学赴京参加“全国非洲语言教学研讨会暨首届中国高校非洲语言学科竞赛”,随后前往清华大学国际与地区研究院参加交流研讨活动。...
  18. Nijosnotes

    SoC01 Utofauti computer developer vs programmer vs coder [Kiswahili]

    Habari wana JF Leo nina mada fupi juu ya utofauti wa kazi za hawa watu watatu tajwa hapo juu kwenye kichwa cha habari katika sekta ya TEHAMA (Teknolojia ya Habari na Mawasiliano) . Mada hii itachochea wale ambao wanahitaji kuwa na uelewa wa maswala ya TEHEMA na pia kwa wale walio ndani ya...
  19. Suley2019

    Vishazi katika lugha ya Kiswahili

    Salaam Wakuu, Leo tuendelee kujikumbushia masuala mbalimbali yanayohusu lugha. Baada ya kuangalia maana ya Virai na aina zake katika somo lililopita (Soma: Fahamu zaidi kuhusu Virai, muundo na aina zake) leo tutatazama kwa kina kidogo kuhusu vishazi. Katika somo hili tutatazama maana ya...
  20. R

    TANZIA Mwandishi wa vitabu vya kiswahili na kiingereza Greyson Mhilu amefariki dunia

    Mhilu, alifariki jana akiwa ARUSHA baada ya kuugua muda mfupi. Msiba uko UKUN, BAGAMOYO. Wakati wa uhai wake amewahi kuwa Mkuu wa Shule EAGLES, Bagamoyo na kufundisha shule mbalimbali zikiwemo LILIAN KIBO na MBEZI BEACH za DAR es SALAAM. Ameshiriki kuandika vitabu vingi na kuedit vingine...
Back
Top Bottom