kiswahili

  1. Red Giant

    Niccolo Machiavelli na kitabu chake The Prince (Of principality). Kwa kiswahili; kuhusu Uongozi. Tusome na kujadili

    KIONGOZI (nimeonelea ndiyo iwe title) Sasa kitabu hiki kinapatikana ndani ya maktaba app (by pictuss). Inapatikana playstore. Kimeandikwa na: Niccolo Machiaveli, 1513. Kimetafsiriwa na: Pictuss, 2021. Email: Pictuspublishers@gmail.com. ©Pictuss2021 Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu...
  2. S

    SoC01 Changamoto za Waswahili kwenye Kiswahili na utatuzi wake

    Kiswahili ni lugha adhim inayotumika sana katika ukanda wa afrika ya mashaliki, Asili yake ni inchini Tanzania ambako ndiko kuna waswahili wenyewe hasa, Pamoja na juhudi za Kiswahili kama lugha kukua na kuendelea zikiendelea, kiswahili kinapitia changamoto zifuatazo kutoka kwa waswahili wenyewe...
  3. ndege JOHN

    Kwanini tusisome shule kwa Kiswahili?

    Hata maneno na michoro ni biashara na fahari kubwa me nadhani imefika muda kama taifa kuanza kusoma elimu zote kwa kiswahili na inawezekana msikariri kwamba lugha yetu haiwezi kutuletea mapinduzi kwenye maeneo yetu. Tunachelewa bure tunaua vipaji vingi kwa utumwa wa kijinga. Naombeni CHADEMA...
  4. Kidagaa kimemwozea

    SoC01 Unavyoweza kuuza Kiswahili Kidigitali na kujiingizia kipato

    Je Kiswahili ni bidhaa? Kwa vipi Kiswahili kinaweza kuuzika? Swala hili linaweza kuwa geni kwako hasa kama hujawahi kupata fursa yakutangamana kimazungumzo au maandishi ya manguli hawa walugha yakiswahili kuhusu ubidhaishaji wa Kiswahili, ambao ni prof, Clara Momanyi, Dkt Mahenge, Wallah bin...
  5. Underthesea

    Midlife Crisis: Life Begins at 40

    Miaka ya sabini ilitoka series moja nchini Uingereza iitwayo The Fall and Rise of Reginald Perrin. Reginald (au Reggy) alikuwa na umri wa miaka 46. Alikuwa na mke na watoto wawili ambao walishaondoka nyumbani. Reggy alikuwa meneja kwenye kampuni anayofanyia kazi. Kadri siku zilivyoenda Reggy...
  6. Suley2019

    Taasisi ya Elimu yakanusha taarifa zilizoenea kuhusu sababu za kuahirishwa kwa somo la Historia ya Kiswahili

    Salaam Wakuu, Taasisi ya Elimu Tanzania TET yaibuka na kukanusha habari zilizoenea kuwa waliahirisha somo la historia ya kiswahili kwa sababu vitabu vilivyoandaliwa kwa somo hili vilijikita kusifia watawala. Soma: Mitaala ya somo la Historia iliyositishwa ilijaa propaganda za kumsifu Magufuli...
  7. Phrasal Verbs

    Maana ya baadhi ya maneno kwa kiswahili

    Naomba kufahamishwa maneno yafuatayo yanayotumika kumu"address" viongozi mbalimbali wa kiimla na wakisiasa. Emperor na empress Chief Prince na princess Crown prince na crown princess His/her majesty His/her highness Duke His/her worship His/her Excellency Na mengineyo mengi. Unaweza...
  8. Lycaon pictus

    SOFTWARE Jisomee vitabu vya Kiswahili bure ndani ya App hii?

    Sasa ndani ya App yetu ya maktaba unaweza kujisomea vitabu vyote vilivyomo bure kabisa. Ingia playstore na install Maktaba by pictuss APP. Unaweza kusoma vitabu hata ukiwa offline. Link ya app inapatikana katika post no 16. Vitabu vilivyopo mpaka sasa. 1. Hekaya za Abunuwasi na hadithi...
  9. Red Giant

    Naomba kujua vitabu vya science fiction vilivyoandikwa na Watanzania/ kwa Kiswahili

    Kama kuna mtu anafahamu kitabu cha aina hiyo, kilichoandikwa na Mbongo au kwa Kiswahili, naomba anijuze.
  10. Suley2019

    Picha: Tazama mchanganuo wa nafsi katika lugha ya kiswahili na Kiingereza

  11. Suley2019

    Aina za Viwakilishi (W) katika lugha ya Kiswahili

    Salaam Wakuu, tuendelee na somo letu pana la aina za maneno. Katika andiko hili tutasonga zaidi kwa kutazama kiundani Viwakilishi na aina zake. Twende pamoja. VIWAKILISHI Viwakilishi ni maneno yanayotumika badala ya nomino(vibadala vya nomino). Nomino husika huwa haitajwi katika sentensi. Kwa...
  12. Suley2019

    Aina za Vitenzi (T) katika lugha ya Kiswahili

    Wakuu salaam, tunaendelea na mada yetu ya aina za maneno katika andiko hili tutatazama vitenzi kwa upana wake. Tutaangalia dhana ya vitenzi kwa ujumla pamoja na aina zake. Twende pamoja tujadili. Ruksa kuongezea maarifa. VITENZI Vitenzi ni maneno yanayoarifu kuhusu jambo linalotendwa au...
  13. Suley2019

    Aina za Nomino (N) katika Lugha Kiswahili

    Subalkheir ndugu zangu, Baada ya andiko lililopita kufafanua aina mbalimbali za maneno (Soma hapa: Aina za maneno katika lugha ya Kiswahili) nikaona si vyema kuwaacha hewani. Kama nilivyoahidi kuja na ufafanuzi wa undani wa aina moja moja ya maneno, katika andiko hili tutaangalia aina za...
  14. Suley2019

    Aina za maneno katika lugha ya Kiswahili

    Salaam Wakuu, Leo turudi shule kidogo tujikumbushe aina mbalimbali za maneno katika lugha. Mada hii itaeleza kwa ufupi aina mbalimbali za meneno zilizopo halafu mada zijazo ntagusia aina moja moja kwa upana wake. twende kazi hapa chini: Kabla hatujaenda kiundani kuelezea aina za maneno kwanza...
  15. M

    Kuharibika kwa kiswahili fasaha

    Habari wapendwa natumai wote ni wazima wa afya! nawsalimu kijamhuri ya muungano wa tanzania....! kiukweli sidhani kma naongea jambo geni au lisilojulikana, ila napenda tu kugusia kwa kuona halipungui zaidi ya kuongezeka. Llugha ya kiswahili inamchanganyiko wa lugha kubwa ya biashara ambayo ni...
  16. Z

    Je, matumizi ya lugha ya Kiswahili katika Mahakama zetu yanatekelezwa au yamepuuzwa?

    Jitihada za kipekee zilizo fanywa na hayati JPM kataka kuhakikisha vyombo vyetu vya utoaji Haki yaani; Mahakama, DPP na Polisi vinatumia kiswahili badala ya kiingereza. Msukumo mkubwa ulifanyika na kisha sheria zilibadilishwa ili kuhakikisha Lugha ya Kiswahili inatumika kikamilifu ktk...
  17. Wildlifer

    Utofauti wa Vipaumbele vya habari katika Magazeti ya Kiingereza na Kiswahili

    Haya ni magazeti kutoka kampuni moja yaliyotoka leo June 16th. Lakini vipaumbele vya habari vimetofautiana sana. Habari kuu kwenye kiswahili[Mwananchi], ni Kesi ya Sabaya [Siasa] huku kwenye la kiingereza [The citizen] ni habari ya Usafirishaji (Biashara & Uchumi), huku habari ya Sabaya ikiwa...
  18. M

    Tukutane inbox kama unahitaji 'huduma hii' kwa bei nafuu

    Ndugu wanaJF, unahitaji kuhaririwa habari au ripoti yako kwa Kiingereza au habari, ripoti, dissertation (BA, MA, PhD), paper au translation kutoka Kiswahili kwenda Kiingereza au Kiingereza kwenda Kiswahili kazi nzuri kwa bei nafuu. Kama jibu ni ndiyo, basi tukutane inbox.
  19. jiwe gizani

    Msemo gani wa kiswahili unakukera?

    Aisee binafsi nakerwa sana na msemo Nyani haoni kundule Sababu: hilo neno kundule naona kama nimetukanwa vile [emoji2] Wewe ni msemo gani wa kiswahili una kukera? Na kwanini?
  20. Tripo9

    Simu nikitype message kwa Kiswahili nataka yale maneno automatically yawe saved ili next time nikitumia hayohayo kwenye kutype nichague tu

    Hii naamini ni settings tu Nataka Simu nikitype message kwa Kiswahili nataka yale maneno automatically yawe saved ili next time nikitumia hayohayo kwenye kitype nichague tu Aina ya simu Redmi Nisaidieni.
Back
Top Bottom