Kiwanja kipo Mahoma Nyika (kitalu BD), Dodoma.
Kiwanja kimepimwa, ukubwa ni 514 m².
Sifa za Eneo kiwanja kilipo.
Kipo karibu na stendi ya mabasi ya mkoani, soko la ndugai , Magufuri City, Ring road na uwanja wa ndege wa Msalato International Airport. Yaani kimezungukwa na hivi vitu.
Sababu ya...