kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Pre GE2025 Dkt. Slaa: Wananchi watazuia Uchaguzi, CHADEMA ni mhamasishaji tu!

    Mwanasiasa mkongwe na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Wilbrod Slaa, ametoa ufafanuzi kuhusu kauli ya No Reform, No Election, akisema kuwa si msimamo wa CHADEMA kususia uchaguzi bali kuzuia uchaguzi, na ni wananchi wenyewe ndio watakaoongoza zoezi...
  2. T

    Pre GE2025 RC Makonda amsapoti muuza nyanya kwa kumpa shilingi laki moja

    Paul Makonda ni kama anaendelea kujitengenezea jina huko Arusha kwa ajili ya ubunge. === Mkuu wa Mkoa, Paul Makonda, akimshika mkono kijana mjasiriamali anayeuza nyanya mitaani, ishara ya kutambua na kuthamini juhudi za vijana katika kujitafutia riziki. Serikali inaendelea kushirikiana na...
  3. upupu255

    Pre GE2025 Makalla: Tundu Lissu ameingia kuiua CHADEMA, Chama kinaenda kuvunjika

    Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayehusika na Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, ameyasema hayo leo katika Mkutano wa viongozi wa chama na jumuiya ngazi ya shina, Tawi, Kata na Wilaya, Ambapo amewataka watanzania kupuuza madai ya Chama cha Demokrasia na...
  4. The Watchman

    Pre GE2025 Mbunge Bukoba Mjini: Bilioni 47 kutumika ujenzi wa soko kuu la kisasa la Manispaa ya Bukoba

    https://www.youtube.com/watch?v=jkX7xU7oW0A Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini mkoani Kagera, Stephen Byabato, amesema ujenzi wa soko kuu la kisasa la Manispaa ya Bukoba ni miongoni mwa miradi minne iliyopo katika miradi mikubwa ya TACTIC, ambayo itagharimu zaidi ya shilingi bilioni 47, ambapo...
  5. upupu255

    Pre GE2025 Makalla: Uchaguzi Mkuu utafanyika kama ilivyopangwa, hakuna wa kuuzuia

    Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amesema uchaguzi mkuu mwaka huu utafanyika kwa mujibu wa katiba na sheria kwani mabadiliko yameshafanyika, hivyo hakuna atakayezuia uchaguzi. Makalla ameeleza hayo leo Machi 4, 2025 wakati...
  6. T

    Pre GE2025 No refom No election inawapelekesha sana CCM, Makalla anadai CHADEMA imeanza kushindwa kabla ya uchaguzi mkuu

    Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayehusika na Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, amewataka Watanzania kupuuza madai ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwamba uchaguzi hautafanyika bila mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi. Akizungumza siku ya...
  7. T

    Pre GE2025 Makalla: Lissu na wenzake hawana ubavu wa kuzuia uchaguzi

    Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayehusika na Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, amewataka Watanzania kupuuza madai ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwamba uchaguzi hautafanyika bila mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi. Akizungumza siku ya...
  8. T

    Pre GE2025 Luhaga Mpina: Unakuta waziri mwizi, katibu mkuu mwizi ukimbana kwenye wizi anasema wewe huipendi CCM

    Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, ameeleza kuwa baadhi ya viongozi serikalini wamekuwa wakitumia mizengwe dhidi ya watu wanaoibua ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Soko la Idarafuma kata ya Nyakafuru Wilaya ya Mbogwe Mkoani...
  9. T

    Pre GE2025 Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amewataka wananchi mkoani Kigoma kuutambua na kuuthamini mchango wa Serikali katika maendeleo ya huduma za kijamii

    Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amewataka wananchi wa Kijiji cha Kasumo wilayani Buhigwe mkoani Kigoma kuutambua na kuuthamini mchango wa Serikali katika maendeleo ya huduma za kijamii wilayani humo. Makamu wa Rais amesema hayo alipotembelea ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Kahimba...
  10. Rozela

    Pre GE2025 Paul Christian Makonda ni chaguo lao kwenye nafasi ya Waziri Mkuu

    Mama umepigaje hapo? Zile timu 2 zitauawa kwadizaini hiyo. Yule wa Cuba pia anarudishwa chamani kuchukua nafasi ya ndugu marangi(kwa kiingereza marangi ni ma.....) Pole sana kaka Gambo kumbe umeshtukia dakika za mwisho. Makonda anajua kuendesha hisia za watu kwa namna atakavyo yeye, si unaona...
  11. Waufukweni

    Pre GE2025 Mwenyekiti BAVICHA, Mahinyila: Vijana wanaoikosoa Serikali hawataisha, watu wanaokupinga huwezi kuwamaliza

    Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), Deogratius Mahinyila, amesema kuwa Serikali inapaswa kutambua kwamba vijana wanaoikosoa hawataisha milele. "Watu wanaokupinga huwezi kuwamaliza" Soma, Pia Mwenyekiti BAVICHA, Deogratius Mahinyila anatoa tamko muda...
  12. Mindyou

    Mbunge wa Viti Maalum Jacqueline Ngonyani: Wanawake kuwa na kipato sio chanzo cha kumnyanyasa mumeo

    Wakuu, Akiongea na wanawake wa mkoa wa Ruvuma katika kongamano la wanawake wa mkoa huo Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Ruvuma, Mhe Jacqueline ngonyani Msongozi amesema mwanamke kuwa na kipato sio kigezo cha kumvunjia heshima mume wako ni wajibu wa mwanamke kumuheshimu mwanaume hata kama...
  13. Waufukweni

    Pre GE2025 Mwenyekiti BAVICHA, Deogratius Mahinyila anatoa tamko muda huu sakata la Utekaji nchini

    Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Deogratius Mahinyila anazungumza na Vyombo vya Habari muda huu akizungumzia sakata la utekaji nchini huku akianza kueleza namna ambavyo Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, alivyotekwa na kupotea tangu...
  14. T

    Pre GE2025 Lema awataka watu kuendelea kuchangia tone tone hata kama wanakutana na changamoto, asema mwisho wa uhuni umekaribia

    "Msikate TAMAA kabisa , endeleeni kutuma pesa hata kama mnakutana na changamoto kama hizi. Mwisho wa uhuni umekaribia sana." - Godbless Lema Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
  15. M

    Pre GE2025 Cyprian Musiba: Taasisi ya Global Watch ya Malawi imeonesha kuwa Rais Samia anakubalika kwa asilimia 91. Lissu ni watu 2 kati ya 10

    Tanzania ikiwa inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, Mwanaharakati huru Cyprian Musiba amesema kuwa tafiti zinaonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), anaungwa mkono kwa asilimia 91 katika...
  16. Waufukweni

    Pre GE2025 Kijana wa Kigoma achora tattoo ya sura ya Waziri Mkuu, Majaliwa kifuani mwake

    Wakuu Costa Boy amesema hana mpango wa kuifuta tattoo aliyochora kwa upendo wake kwa Waziri Mkuu Majaliwa == Kuelekea Uchaguzi 2025: Vijana tunafanya nini kuongeza ushiriki wenye tija na kuwapata viongozi bora wasioendekeza uchawa? Kijana mmoja maarufu kama Costa Boy, kutoka Kigoma ameibua...
  17. T

    Pre GE2025 Odero: Leo hii Mbunge akisimama kuzungumza Bungeni jambo la kwanza ni kumshukuru Rais kwa kuleta Fedha, Fedha za umma zimegeuka Mali za Rais

    Wakuu aliyekuwa mgombea wa nafasi ya mwenyekiti CHADEMA Taifa, Odero Odero alipofanya mahojiano na Edwin Odemba amegusia suala la wale wa kila jambo tunamshukuru mama, tunamshukuru Rais, yani hotuba anaijaza shukrani lukuki kuliko hoja za msingi. ==== “Leo hii Mbunge akisimama kuzungumuza...
  18. Waufukweni

    Pre GE2025 Kinondoni patachimbika! Wanaotaka Ubunge kibao, yumo Iddi Azzan, Tarimba na mjukuu wa Bakhresa

    Wakuu Unaambiwa joto la ubunge Kinondoni linazidi kupanda! Wengi wanapanga kurusha karata zao, lakini kwenye mchuano wa wakali, majina yanayotajwa kwa nguvu ni pamoja na mbunge wa zamani Idd Mohamed Azzan anayetaka kurudi bungeni tena, kigogo wa siasa na biashara Tarimba Gulam Abbas, na sasa...
  19. Bams

    Pre GE2025 Serikali Za Mitaa Ilikuwa Sauti Ya Mungu Kudhihirisha Uharamia wa CCM. Watanzania Tuamke

    Kuna wakati, mambo mabaya hutokea yakiwa yamebeba dhamira njema. Watu wa imani wanalifahamu hili. Yawezekana ukawa unataka kusafiri kwa basi, usiku ukaugua ghafla, ukasikitika sana kwa sababu hutaweza kusafiri. Lakini basi hilo hilo ulilotaka kusafiri nalo likapata ajali. Wewe ukawa umesalimika...
  20. Waufukweni

    Pre GE2025 Rais Samia awafuturisha watoto yatima, wenye mahitaji maalumu Ikulu

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu, Machi 3, 2025 amefuturisha watoto yatima na watoto wenye mahitaji Maalum, Ikulu jijini Dar es Salaam. Pia, Rais Samia amepata fursa ya kuzungumza na watoto hao.
Back
Top Bottom