kuku

  1. farmersdesk

    Jifunze umuhimu wa chanjo kwa kuku

    * MATUMIZI YA CHANJO KWA KUKU* 👉Kwanza Kabisa ifahamike chanjo Kwa kuku sio chaguo ni lazima kwa usalama wa KUKU wako 👉Pia kuchanja kuku sio Kwa vile unavojiskia Ila Kwa Ratiba maalumu inayowekwa kutokana na umri wa kuku HATUA ZA KUFUATA ZA KUTUMIA CHANJO IPASAVYO 👉Nunua chanjo, kama...
  2. farmersdesk

    Tatizo la kuku kudonoana

    Habari wafugaji!!watu wengi wameuliza kuhusu tatizo la kuku kukudoana.kuku kudonoana husababishwa na vitu vingi sana kwa uchache kwa kuvitaja ni hivi. 1. Kuku kubanana au banda kua dogo ukilinganisha na idadi ya kuku. 2. Kuchanganya kuku wa umri tofauti 3. Upungufu wa madini 4. Vyombo vya...
  3. farmersdesk

    Jifunze namna gani uongeze utagaji kwa kuku wako

    SULUHISHO LA KUKU KUPUNGUZA KUTAGA 1. Wakague kuku wako na ukiwakuta wana utitiri au viroboto waogeshe kwa FIPROFARM AU TUMIA AKHERI POWDER 2. waongezee GLP katika chakula chao na Tumia LAYVITA (vitamin mahususi kwa kuku wanaotaga) kwa ajili ya kuzuia tatizo la upungufu wa virutubisho 3...
  4. farmersdesk

    Sababu za kwa kwanini kuku hushusha utagaji

    Sababu 10 Za Kuku Kupunguza Utagaji Mayai Na Nini Ufanye Kuongeza Uzalishaji Wa Mayai | Mshindo media. Kupungua kwa mayai yanayo zalishwa kwa siku katika shamba lako la kuku watagao mayai ni dalili moja wapo inayo onesha kwamba kunatatizo katika kundi lako la kuku. Kulingana na utafiti ulio...
  5. farmersdesk

    Hatua za kufuata ili kuanzisha mradi wa kuku kwa faida zaidi

    HATUA ZA KUFUATA ILI KUANZISHA MRADI WA KUKU: 👆Kutokana na wengi sana kunitafuta kuomba ushauri, hasa wafugaji wageni au wapya wanao anza kwamba waanzaje mradi wa kuku 👇Zifuatazo ni hatua sahihi za kufuata ili kuwa na mradi endelevu wa kuku 1.Moja Jenga banda la kufugia kuku wako, Kabla ya...
  6. Mwamuzi wa Tanzania

    Nahitaji kuku wa kienyeji Dar es Salaam kwa ajili ya ufugaji

    Anayejua wanapouzwa kuku wa kienyeji kwa bei ya jumla kwaajili ya ufugaji anijuze. Nahitaji kuku kama 30-50 hivi nianze ufugaji.
  7. Kabende Msakila

    CCM - baada ya kifo, maombolezo na mazishi ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli - tutawakabili CHADEMA, ACT, NCCR, CUF - Ofisi zao watafugia kuku

    Ndugu Wana - CDM, ACT, NCCR, CUF hii ni taarifa kwenu kwamba baada ya kuhitimisha siku 21 za maombolezo ya kiongozi wetu Hayati Dkt John Pombe Magufuli sasa tutaelekeza nguvu zetu ktk kuwashughulikia kisiasa. Demokrasia mnazoimbia Tanzania, Ubelgiji na Canada hatutataka kuzisikia - mkitaka...
  8. farmersdesk

    Je, unajua tatizo la kuku kula mayai, kudondoana na kunyonyoka manyoya?

    TATIZO la kuku kuwa na TABIA zisizo faa/cannibalism limekua shida kubwa kwa WAFUGAJI wengi wa kuku aina zote, ilaa limekua likijitokeza sana hasa kwa KUKU wa MAYAI. Tatizo hili pia limekua likijitokeza kwa kuku wa rika tofauti tofauti..ilaa linazidi pale kuku wanapo anza kutaga mayai CHANZO...
  9. Peasant educator

    Mr. Kuku kuanza tena biashara

    Habari wadau. Mwaka jana kulikuwa na taharuki juu ya uendeshwaji ya biashara ya Mr. Kuku mpaka kupelekea kushtakiwa kwa kosa la upatu na kupelekea wawekezaji wengi kupoteza fedha zao. Mwisho wa kesi ile ilikuwa ni kutaifisha fedha za mr. Kuku zilizoshikiliwa na serekali na kumtoza faini ya...
  10. N

    Huyu kuku anaumwa ugonjwa gani?

    Anatoa mapovu machoni, dawa yake nini ipi? Pia kuna kuku wanatagia sehemu moja unawatenganisha vipi ili kila kuku atagie sehemu yake. NB: Wanaishi banda moja
  11. Rion Jr

    Nauza bata, kuku na sungura nipo Chanika

    Habari za jioni wana jamvi kwa anaehitaji bata aina ya Muscovy (bata wa kawaida), kuku wa kienyeji na sungura Napatikana Chanika kwa Singa. Call 0746696878
  12. E

    Jirani yangu kaenda Sumbawanga kisa kuku wake kapotea

    Kama kichwa kinavyojieleza wakuu, Kuku wa jirani Yangu amepotea sasa jirani yangu huyu yeye badala ya kuniuliza kasafiri Kimya Kimya kwenda Sumbawanga sasa Matatizo huwayanatatuliwa hivyo Jamani. Jana jioni ndio napata taarifa yake kuwa amekwenda Sumbawanga kwa ajili ya swala la kuku wake.
  13. F

    Kuku wa kienyeji kutoka Singida wanauzwa

    Nauza kuku wa kienyeji kutoka singida. Nauza jumla na reja reja. Pia napokea oda kwa wale wenye mahoteli na migahawa 📞0719805851
  14. M

    Ugonjwa gani huu?

    Wakuu salamu za asubuhi Naomba mnitoe tongotongo, huu ni ugonjwa gani kwa kuku na dawa yake ni nini? Kuku anakuwa kama amepaniki, anaangalia juu na mara chini, anazungukazunguka, anarudi kinyumenyume, yaani fujo tupu. Hata kula anashindwa ni kama amepata kichaa. Mimi siuelewi huu...
  15. Bilionea Asigwa

    Wafugaji wa kuku wa nyama na mayai wasiosajiliwa kuchukuliwa hatua

    Wafugaji wa kuku wa nyama na mayai wametakiwa kujisajili kisheria ili waweze kutambulika na kufanya kazi ya ufugaji kwa ufuata sheria zilizowekwa. Imeelezwa kuwa wote ambao hawajasajiliwa lakini wanafanya kazi ya ufugaji kuku, hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao. Mpaka sasa takwimu...
  16. S

    Tofauti kati ya kuku aina ya croiler na broiler ni nini hasa?

    Hawa croiler tunaambiwa wanakaribiana na kuku wa kienyeji tofauti na broiler ambao ni pure kuku wa kisasa. Ukifuatilia utagundua tofauti yao inatokana na jinsi wanavyozalishwa(cross breeding) ila kwakweli hawa kuku kiuhalisia ni wale wale tu na tofauti ni ndogo sana. Kwa mfano, nyama ya...
  17. S

    Msaada ugonjwa wa kuku

    Huu ni ugonjwa gani..kuku anakua kazubaa na akisinzia kuna mda kichwa kinageuka kama hivo..hizo dalili amekaa nazo kwa siku 2-3 hivi Kinyesi chake ni cha njano chenye maji mengi picha ipo hapo. Ni kifaranga chotara.
  18. MamaSamia2025

    Nilichojifunza kupitia sakata la Mr Kuku

    Habari wapendwa Nami leo nimeona niandike machache kuhusu nilichojifunza kupitia sakata la Mr Kuku. Nimepata msukumo zaidi baada ya kuona lawama ni nyingi zaidi hasa kwa Serikali (DPP) na wengine kwenda mbali kwa kukilaumu Chama Cha Mapinduzi. Niseme tu kwamba serikali hii ya Mh Dr John...
  19. Papaa Mobimba

    Mr. Kuku ahukumiwa kulipa fidia TSh. Bilioni 5.4, faini Tsh. Milioni 5 au jela miaka 5

    Mahakama ya Hakimu Mkazi, imemhukumu mfanyabiashara Tariq Machibya maarufu Mr Kuku, kulipa faini ya sh. milioni tano au kwenda jela miaka 5, baada ya kutiwa hatiani kwa makosa mawili ambayo ni kujihusisha na biashara ya upatu kwa kukusanya fedha kutoka kwa umma na kukubali kupokea miamala ya...
  20. Afrika_Bora

    Ni wapi au kampuni gani inajishuhulisha na uuzaji wa kuku aina hii ya Chotara Kuroiler ambao ni uzao wa kwanza F1?

    Kuroiler ni kuku Chotara ambae hupatikana kwa kupandishia kuku wa jamii mbili tafauti ili kupata matokeo mazuri zaidi ukilinganisha na kuku wa kawaida. Matokeo hayo ni pamoja na kutaga mayai mengi au/na pia kuwa na miili mikubwa kwaajili ya nyama. Hivyo kumfanya mfugaji wa kibishara kupata...
Back
Top Bottom