machinga

For the town in Malawi, see Machinga, Malawi. For the district of Malawi, see Machinga District.The Machinga are an ethnic and linguistic group based in Lindi Region on the southern Indian Ocean coast of Tanzania. In 1987 the Machinga population was estimated to be 36,000 people.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Vipi vitambulisho vya machinga havina muendelezo? Basi walipe ushuru kwa halmashauri

    Wakuu habari, Kama mnavyojua Rais Magufuli alileta kitu kilichoitwa Vitambulisho vya Machinga mwaka 2019 Vitambulisho hivi ambavyo vililipiwa 20,000 vilipelekea ushuru ambao machinga walikuwa wakilipa kwa Halmashauri kufutwa, na badala yake wangelipa hiyo 20k kila mwaka. Sasa ni miaka 3...
  2. Valencia_UPV

    Machinga warejea upya Mwenge

    Pamoja na Kampeni iliyogharimu pesa nyingi ya kuhamisha machinga sehemu maalum. Kwa Sasa wamerudi upya wakiupiga mwingi
  3. Meneja Wa Makampuni

    Ushauri kwa Serikali: Baada ya kuwashughulikia machinga sasa ni zamu ya wauza simu feki wa Kariakoo na Makumbusho

    Serikali baada ya kuwashughulikia machinga naomba tuwashughulikie wauza simu feki wa Kariakoo, Makumbusho na maeneo mengine. Saivi kuna sumsung, iphones na nyingine nyingi, zote hizo ni feki. Serikali iangazie jicho pale Makumbusho, Kariakoo na maeneo mengine mwaga vijana wa TCRA na TBS...
  4. JanguKamaJangu

    Mwanza: Mgambo Waliowapora Machinga ndizi wasimamishwa, Waziri aingilia, Halmashauri yaomba radhi

    Kufuatia Video iliyosambaa mitandaoni ikionyesha Mjasiriamali mdogo wa ndizi akichukuliwa bidhaa zake na mgambo wa Halmashauri ya Mwanza, kuna matamko kadhaa yametolewa, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Innocent Bashungwa WAZIRI AAGIZA MKUU WA MKOA AINGILIA "Nimeona video inayosambaa...
  5. Stroke

    Askari wa jiji wapokea kipigo toka kwa machinga mtaa wa Samora

    Baada ya kuchoshwa na uonevu wa askari wa jiji ambao wamekua wakiwavamia machinga na kuharibu mali zao. Leo askari hao wameonja joto ya jiwe baada ya kupokea kipigo na kuamua kukimbia na virungu vyao. Hiyo ni salamu tosha kabisa kwa wahusika kuachana na utaratibu huu unaokiuka utu kwa raia...
  6. P

    Wamachinga wavurugana kuhusu Machinga SACCOS

    Wakuu Habari, Hali isiyokuwa ya kawaida uongozi wa taifa wa Shirikisho la Machinga umeingia katika mgogoro mkubwa juu ya nani wa kuzamini na kusimamia Machinga SACCOS Kati ya NMB na CRDB kutofautiana huko kumesababisha kutokea mpasuko mkubwa wa kimaslahi Kati ya Pande hizo kinzani na...
  7. Madihani

    Wahusika mko wapi hadi hali imekuwa hivi hapa Mbezi?

    Habari JamiiForums. Update 25/02/2022 Hali inazidi kuwa mbaya watu wanakoswa koswa na magari kisa Machinga. Serikali iko wapi watu wanajiamulia mambo bila kufuata Sheria. ============ Hapa Mbezi Louis machinga wamerudi na kuwa kero tena kwa watembea kwa miguu. Sina maelezo mengi ila kuna...
  8. Suley2019

    Waziri Dkt. Gwajima: Machinga wanasaidia mahitaji ya haraka

    Picha Dkt. Dorothy Gwajima Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maaalum Dkt. Dorothy Gwajima, amesema, masuala ya changamoto za Machinga ikiwemo kuhamahama, watazungumza na Mamlaka za Mikoa ili kuona namna Bora ya kutatua tatizo hilo, na hii itakuwa ni kwa nchi nzima. Waziri...
  9. Analogia Malenga

    Machinga Mkoani Iringa wagoma kuhamia maeneo elekezi

    WAFANYABIASHARA wadogo wadogo (MACHINGA) mkoani Iringa wameugomea uongozi wa manispaa ya Iringa kuhama katika eneo la mashine tatu na miomboni ambalo wanafanyia biashara zao hivi sasa. Akizungumza na waandishi wa Habari katibu wa MACHINGA mkoa wa Iringa Joseph Kilienyi alisema kuwa uongozi wa...
  10. Crocodiletooth

    Kutokana na machinga kuuza bidhaa zinazolingana na za madukani, TRA watatenganishaje?

    Kutokana na machinga kuuza bidhaa zenye ukubwa pengine na hadhi inayofanana na bidhaa za maduka yanayotoa risiti ambayo ndiyo kampeni ijayo, TRA watatofautishaje? Bidhaa hizi? (Ipo haja ya kutengeneza machinga receipts) #kwa ukweli machinga wanavuruga mfumo wa ukusanyaji kodi.
  11. kavulata

    Machinga wanahitaji sera, sio zimamoto na matamko ya hivi

    Machinga sio kikundi cha watu ambao ukishawasikiliza wao na kuwatekelezea kilio chao basi umemaliza, hapana. Watu wanaweza kudhani kuwa machinga ni vijana tu, hapana, ndani ya machinga kuna watoto, vijana, watu wazima na wazee. Mbaya zaidi wadau wa machinga wamo watu wenye wenye ajira zao na...
  12. Analogia Malenga

    Rais Samia awataka machinga walipe kodi ipasavyo

    Rais Samia Suluhu Hassan ametaja mipango ya kuboresha mazingira ya kufanyia kazi kwa wafanyabiashara wadogo ikiwemo kuwa na vitambulisho ambavyo vitakuwa na taarifa zote za mfanyabiashara. Amesema ili waendelee kuboresha mazingira ya wamachinga Zaidi ni muhimu machinga walipe kodi kadiri...
  13. Replica

    Ikulu, Dar: Rais Samia aongea na viongozi wa Machinga Dar es Salaam. Machinga Watambuliwa kama kundi Maalum

    Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Samia Suluhu leo aanaongea na viongozi wa mkoa wa Dar es Salaam pamoja na viongozi wa wamachinga Ikulu ya Dar es Saam. Kumekuwa na badiliko la sera ya wamachinga karibuni kutoka utawala uliopita kwa 'kupangwa upya' ama kwa wengine kuondolewa na vibanda...
  14. M

    Baadhi ya bidhaa za machinga zifuatiliwe kwa umakini

    Wadau Habari, Niende moja kwa moja kwenye mada, juzi nikiwa kwenye mizunguko ya kutafuta shilingi jijini Dar (coz nowadays siishi Dar) nikapita mtaa mmoja wenye machinga wengi usiku kama saa moja na kidogo hivi. Nikaona jamaa anatangaza, “sabuni sabuni huku jero huku mia saba” sasa...
  15. Mpinzire

    Mikocheni Dar: Machinga wapigana na mgambo

    Mapigano yameibuka Mikocheni eneo la Viwandani Barabara ya Siwa Jijini Dar es Salaam baina ya raia wawili na Mgambo ambao walikuwa wakitekeleza zoezi la kuwaondoa wafanyabiashara ambao wamesalia katika maeneo yasiyo rasmi ambapo chanzo cha mapigano hayo kinadaiwa kuwa raia hao wawili walikuwa...
  16. Determinantor

    Huyu "Shuhuda" wa matukio ya moto ahojiwe na chombo huru, ana mengi moyoni mwake

    Kuna huyu jamaa ana trend kwenye mitandao, yeye amekua kwenye matukio mawili makubwa, pale Kariakoo na sasa amejitokeza Tena Jana kuwa alishuhudia moto ule na kwamba chanzo Cha moto ule ni mshumaa uliowashwa na mateja. Kama umewahi kufuatilia documentaries za crime unaweza kupata ABCs kuhusu...
  17. Mpinzire

    Dar es Salaam: Machinga wa Karume waandamana kuelekea ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Wasema hawana imani na Viongozi. Mabomu ya machozi yarindima

    Wafanyabiashara ndogondogo maarufu machinga wa soko la Karume (Mchikichini) wameandamana hadi kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla kushinikiza kiongozi huyo atoe tamko la kuwaruhusu waendelee kufanya shughuli zao kwenye soko hilo. Wafanyabiashara hao wameandamana leo...
  18. U

    Kwanini Karume isijengwe mall ya gorofa 3/4 ya machinga kama Kenya/Uganda?

    Pale Karume lijengwe mall/soko la kisasa ambalo Lina design nzuri siyo Kama machinga complex, Ili liweze Kuacommodate machinga, soko liwe zuri hata China yapo mazuri sana, machinga aliedesign like soko ni baya sana wasitengeneze Kama like. Liwekewe vidhibiti moto, na features zote. Tuache siasa...
  19. J

    Machinga wa Karume waitaka Serikali iwaachie wajenge soko lao lililoungua, Waziri Bashungwa aunda Tume ya Uchunguzi

    Waziri wa Tamisemi Mh Bashungwa ametoa siku 7 kwa tume ya uchunguzi kukamilisha kazi na kutoa taarifa ya chanzo cha moto soko la Karume. Nao wamachinga wamemtaka RC Makalla awaruhusu wajenge soko lao wao wenyewe kwa gharama zao. Source: East Africa tv Maendeleo hayana vyama!
  20. At Calvary

    Vipi kuhusu suala la Machinga; bado utaratibu unazingatiwa na je, kuna miundombinu wezeshi?

    Habari zenu wakuu. Bila shaka mnafanya vyema katika ujenzi wa taifa. Tuwe wazalendo, tupendane. Haya moja kwa moja kwenye mada. Kuhusiana na machinga. Hapo mwanzoni mwa utawala wa Samia sakata la machinga lilichukua taswira pana. Kukatokea movement kibao na matamko ya kutosha toka kwa...
Back
Top Bottom