For the town in Malawi, see Machinga, Malawi. For the district of Malawi, see Machinga District.The Machinga are an ethnic and linguistic group based in Lindi Region on the southern Indian Ocean coast of Tanzania. In 1987 the Machinga population was estimated to be 36,000 people.
Kwa kuzingatia yakua machinga na wafanya biashara ndogo ndogo nao huchangia katika pato la Taifa na la kwao moja kwa moja, ni vema kufikiria na kuweka njia nzuri ambayo itawafanya waendelee kutumia maeneo hayo kwa shughuri zao za kiuchumi.
Mfano, unakuta migambo na askari wa jiji wakipambana...
Rais sema nao hao, wamevuruga biashara za watu zaidi ya mia mbili wa mji mdogo (kijiji kilichochangamka) wa Usagara na hawajawapa maeneo mbadala ya kufanyia biashara licha ya eneo kuwepo.
Takiribani miezi miwili Mkuu wa wilaya, Mkurugenzi na mwenyekiti wa halmashauri wanaleta danadana tu na...
Najua jana katika kulazimisha wapate fedha za kufungia mwaka askari manispaa walivunja godown mnakohifadhi mali zenu na kupora na kuharibu mali na kutaifisha.
Kwa kuwa wakati wa tukio mali zilikuwa hazijatolewa wala kupangwa sehemu wanazokatalia msifanye biashara hasa jioni, ni vyema kwa...
Wakuu kwema.?
Nimeanza kuamini zile hisia za kwamba gazeti hili ni new version ya gazeti la Musiba.
Hii baada ya leo kusikia kuwa wameandika kwamba Polepole hayuko sahihi kuhusu suala la machinga juu ya kile ambacho Polepole juzi kuwahusu.
Good morning.
1. Tathmini ya kuondoa Machinga ikoje?
2. Zoezi limefanikiwa?
3. Kama halijafanikiwa kikwazo ni nini?
4. Kama limefanikiwa nini cha kujifunza kwa baadaye?
5. Miji imekuwa misafi sasa?
6. Foleni zimepungua?
7. Wenye maduka wako huru?
8. Mitaa ya katikati ya miji inapitika?
9. Mitaro inaweza...
13 November 2021
MACHINGA WAVAMIA ENEO LA KANISA BAADA YA KUHAMISHWA, TAHARUKI KUBWA YAIBUKA
Mgogoro mkubwa umeibuka kati ya Kanisa la Orthodox lililopo Mbuyuni, Salasala jijini Dar es Salaam na wafanyabiashara ndogondogo wa eneo hilo maarufu kama wamachinga, ambapo uongozi wa kanisa hilo...
Kwa maoni yangu operations za kuondoa machinga zimepitiliza japo msingi wake wake ulikuwa mzuri tu kupanga miji visuri.
Hakuna haja ya kuondoa machinga wote mji mzima iliapaswa kuishia maeneno ya katikati tu ya mji. Kwa mfano kwa mwanza sioni ulazima wa kuondoa wamachinga hafi maeneo ya...
Naandika haya wakati vijana wamachinga wakianza kujenga mabanda yao upya pembezoni mwa barabara.
Ni ukaidi kwa maelekezo ya Rais. Ni uvunjaji sheria uliopitiliza kwa watu kuonywa na kutolewa eneo husika kwa sababu husika na kukaidi.
Je, wamachinga wa maeneo mengine waliotolewa sio wa muhimu...
Wakuu jana nilishudia askari wa uhamiaji wakifanya ambush kukamata wafanya biashara wadogo wadogo pale mbuyuni. Picha lilianza baada ya bus moja likiwa na watu walio valia sare za uhamiaji kufika km vile picha ya MAFIA VS NINJA likisdinidkizwa na gari ndogo. Walipofika waliwaweka chini ya...
Napendekeza mamlaka kuliangalia pia suala la kuenea Karakana za magari, mafundi mbao, aluminiam na kuchomelea vyuma.
Nakubali kuwa kazi hizi ni chanzo Cha mapato kwa wengi na zinasaidia watu kujikwamuwa kimaisha. Hata ivyo, kumekuwa na uholela wa maeneo ya kuwekeza shughuli hizo.
Nashauri...
Mheshimiwa spika, nitalisema kwa upole sana suala la machinga maana nikizungumza kwa ukali nitasemwa mimi sio mtanzania lakini nilivyolisea mwanzo nahisi watu hamkunielewa. Niliposema niliambiwa mimi ni mrundi sio Mtanzania.
Mimi natoka vijijini na ni mkulima wa mpunga, gunia la mpunga ndani ya...
Kama tunawaza sawa sawa na Kama miradi tunayojenga tunatambua thamani yake naamini leo tusingesikia kauli ya Rais kujenga soko Jangwani. Haya ni matumizi mabaya ya fedha. Uwepo wa machinga Karikoo unapaswa kufanyia utafiti na siyo kufanya- siasa. Koko bearch Kuna sunami, Jangwani Kuna mkondo wa...
Rais Samia amerudi leo kutoka Scotland na ameingia kazini moja kwa moja.
Alipotoka kukagua ujenzi wa Daraja la Tanzanite (Lile la juu ya Bahari pale Salenda) alienda kuongea na wananchi wanaofanya biashara pale Coco Beach.
Akiwa hapo ameeleza nia njema ya Serikali katika zoezi la kuwapanga...
Neno Machinga linasimama hapa kwa niaba ya kada yote ya chini, yaani wavuja jasho.
Humo kuna Boda boda, wapiga debe, mama lishe, makuli, vibarua, nk, wakiwamo pia machinga wenyewe.
Machinga wanapotoa Somo, Makamanda tunakwama Wapi?
Agenda #1: (Si maneno yangu)...
Kufuatia wafanyabiashara wadogo kuandika barua TAMISEMI wakiomba kutumia majengo ya Shirika la Nyumba la Taifa yaliyopo mitaa ya Tandamti na Msimbazi kwa ajili shughuli zao, Wizara ya Ardhi imeridhia ombi hilo lakini kwa kuwapa majengo matatu yaliyopo mtaa wa Nyamwezi na Mkunguni karibu kabisa...
Naombeni tofauti ya hao niliowataja hapo juu. Zoeni lililopita lilikuwa la "Kuondoa wa Machinga" ukiingia kwandani utapata maswali.
Kwa mujibu wa Mamlaka ya Mapato, kuna viwango vilivyotajwa ili apewe kitambulisho cha wafanyabiashara ndogondogo.
Mzunguko wa mauzo ghafi kwa mwaka yasizidi...
Machinga waote wanaofanya biashara zao barabarani na maeneo yote yasio rasmi jijini Arusha wamebakiza siku moja kuondoka maeneo yote yasiyo rasmi na kuelekea maeneo waliopangiwa.
Maeneo waliotengewa ni pamoja na Kilombero,soko kuu, Mbauda, Samunge. Stand ya Kilombero.
Kuanzia kesho tarehe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.