hata Yesu alivyoomba alifumbua macho huku akiangalia juu mbinguni .. YOHANA 17:1
Usiku wa juzi nikiwa nikiwa kwenye maandalizi ya kulala, kama kawida yangu huwa ni lazima nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa afya, utimamu na amani aliyonipa. Kwa siku hio kabla ya kulala nikajiuliza swali kwanini huwa...
Kanisa la Anglican Tanzania ambao ndio wamiliki wa shule ya Sekondari Bunda Girls iliyopo wilayani Bunda mkoani Mara fanyeni uchunguzi wa kina kuhusu shule yenu.
Kwanza ni tatizo la uongozi, mkuu wa shule kwa sasa ni binti mdogo sana ambaye bado ana mihemko sana. 95%ya walimu hawampendi ila...
Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.
Kama ni...
"Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa na kwa kuwa umeyakataa maarifa na mimi nimekukataa."
Hili ndio neno lakutiongoza kama Taifa kuelekea mwaka 2023. Nikwanini Mungu analiambia Taifa juu ya maarifa majibu mnayo kwakuhisi au kwakuwa kile Manisha.
Mwaka 2023 ni mwaka wa maarifa ni mwaka...
DJ NIPE KWANZA NYIMBO YA SINA UBAYA SINA UBAYA NAE
UKWELI HALISI EO TUNAISHIA TAMATI TA MASHIDANO YA WCUP NAJUA WENGI WMECHEPUKA SANA KUSINGIZIA WCUP
KBW ZAIDI NDUGU YANGU MESSI KITU PEKEE ANAWEZA ONDKKA NACHO LEO N
MFUNGAJI BORA HII N 75%
MCHEZAJI BORA 90%
UBINGWA ASAHAU KABISA NA KAMA...
Habari za muda huu ndugu wana Jamii Forums? Natumaini mnaendelea vyema na ujenzi wa taifa letu hili pendwa Tanzania, changamoto zipo ila cha msingi ni kuzishinda huku tukimtanguliza Mungu mbele.
Napenda kujikita kwa mada huska kama ifuatavyo,
Afya yako ni jambo la msingi sana. Afya yako kuwa...
Bei ya vya vyakula ni mateso raia wa kawaida sasa ni mateso kuishi Tanzania kwa raia wa kipato cha chini. Maana kula imekuwa anasa.
Wale mabwenyeye CCM wasio na huruna na raia wanyonge wameshika hatamu. Maana umeme kero,.maji kero ajira kero na amayeumia ni mlalahoi.
Madeni ya taifa...
Habar wakuu,
Nadhani sisi wote tunatumia digital devices lakini shida ya hivi vifaa vinasababisha matatizo ya macho lakini ajabu ni kwamba wapo watu wameajiriwa kama secretary au developers muda mwingi wapo on screen na hawana miwani au matatizo ya macho, sasa najiuliza hawa wanawezaje...
Wakati unakuja watanzania wataishiwa uvumilivu kwa kuona Mali zao na nchi yao ikiuzwa pasina wao wenyewe kuridhia.
Ni kama kufumba na kufumbua maji hayapatikani tena wakati ilo jambo lilishasahaulika, umeme siyo wa uhakika tena sasa watanzania hawajui mwekezaji gani atakuja kuwekeza kwenye nchi...
Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani mkoani Mwanza, linawasaka Madereva zaidi ya 10 wanaoendesha magari ya mikoani na nje ya nchi waliokimbia kupimwa ulevi pamoja na macho katika kituo kikuu cha mabasi cha Nyegezi.
Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoani Mwanza Sunday Ibrahimu...
Chama changu cha Mapinduzi
Tukitaka kuendelea kuongoza nchi tubadili mbinu
Hakikisha hatuweki mtu anayetumia nguvu kubwa kijibrand badala ya kazi kumbrand, kuna Vijana ambao kwakweli tuwe wakweli wanapiga kazi na wanakubali wanapokosea, wako humble Kwa wananchi , na ni wasafi Narudia ni wasafi...
Chips ni chakula maarufu sana kinachotumiwa na watu wengi, hasa vijana. Baadhi ya watu huamini kuwa chakula hiki husababisha ugonjwa wa macho hasa kutoa machozi, maumivu ya mishipa ya macho pamoja na upofu.
Je, kuna ukweli wowote kuhusu madai haya?
Kiuhalisia Ukraine inachakazwa sana!! Ila vyombo vya magharibi vinapotosha ili kukwepa aibu ya kushindwa kuilinda ukraine kupitia air defenses walizopeleka huko!
Asilimia 80 ya mji mkuu kiev hauna maji, na umeme na kila jimbo la ukraine hali ni mbaya hawana maji na umeme!! Kisa dogo...
Wakuu poleni na majukumu naombeni msaada was kupata hi nyimbo ya bongo fleva yenye mistari ''sura yako inaiita kwako...macho yakoyananiita kwako sioni kasoro...
Asilimia 4 ya Watanzania wana matatizo ya macho huku zaidi ya asilimia 90 ya matatizo hayo ya macho yanatibika.
Amesema Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel alipokuwa akizungumza na wananchi mara baada ya ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassm Majaliwa kuzindua jengo la...
Wanaofahamu maana ya SMO watashangaa sana ,huu uvamizi kuitwa SMO, kwanza SMO lazima ifanywe na special force(SF).
Kwa putin tumeshuhudia kikosi ambacho kiukweli ni jeshi lisilo na mafunzo maalumu na isitoshe unafanya mobilazation kwenye SMO.
Ninavyofahamu SMO ikifeli ndipo jeshi kamili...
Nafunga macho naanza kuvuta picha kwamba kama ntafika mwaka 2100
1. Bangi imeruhusiwa karibu Kila nchi, ni bidhaa unayoweza kuipata hata Kwa Mangi na kutumia hadharani.
2. Jiji la dar limepanuka sana, Mlandizi pamebomolewa na kujengwa upya, maghorofa kibao
3.Smartphone zitakuwa kama...
Kumekuwa na tuhuma mbaya sana kuihusu LST na kwa muda mrefu.
Hii ni taasisi ya umma na yeyote afanyaye kazi pale ni dhamana tu.
Kwa mahitaji ya ufafanuzi tuhuma hizi ziliorodheshwa kwenye uzi huu hapa chini:
Dokezo - Tuhuma za Siasa chafu "Law School of Tanzania" wahusika wajitokeze kuzijibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.