Habari za muda huu ndugu wana Jamii Forums? Natumaini mnaendelea vyema na ujenzi wa taifa letu hili pendwa Tanzania, changamoto zipo ila cha msingi ni kuzishinda huku tukimtanguliza Mungu mbele.
Napenda kujikita kwa mada huska kama ifuatavyo,
Afya yako ni jambo la msingi sana. Afya yako kuwa...