Pamoja na ukiritimba wa vibali vya ujenzi kuwa bei juu ukiambata na mazingira ya rushwa kuanzia wapimaji katika halimashauri nyingi Tanzania!
Lakini haiondoi haki na wajibu wa kila mtu!
Taratibu za ujenzi katika halmashauri zote zinataka mtu yoyote anayehitaji kufanya ujenzi Tanzania lazima...
Wakuu!
Niende moja kwa moja kwenye mada, natafuta mafundi seremala au mtu yeyote mwenye uwezo tajwa hapo juu.
Niko Mafinga mjini, eneo la kazi ni Mufindi wilayani si hapa mjini. Ni kazi ya muda tu, ni kazi ya kujenga Chinese Camps.
Malipo ni TSH 25,000/= Per day.
Ni muhimu na haraka sana...
Waungwana naomba kujua bei ya jumla ya nondo sasa hivi maana sisi tunaoishi mbali mafundi wanatupiga sana. Natanguliza shukrani.
Ndugu zangu naomba msaada wa kujua bei za jumla za nondo Dar
Nimeamua kuanzisha group ili liwe msaada kwetu mafundi na wateja kwa pamoja.ili litakua group la kusaidiana kutatua matatizo ya kiufundi na ushauri vifaa vinapopatikina kwa urahisi ila la kuzingatia tusiwe wajanjawajanja tufanyeni kazi.
Simu software vs hardware tutakua tunaweka solution...
Hiko kifaa ni saparet meter maswali yangu ni haya,,
1/ Nikinunua, kimoja kinatumika, kwa, mpangaji mmoja tu?
2/ Kama ni kwa, mpangaji mmoja tu je ile buku ya kila mwezi nikitaka kununua, umeme nikiweka itakatwa?
3/ Vipi kuhusu meter kuu kama wenzangu hawajaingiza umeme na tuko giza mimi wangu...
Kwema Wakuu? Mafundi simu upande wa software na wadau wote mnaofahamu matatizo ya software za simu,nisaidieni utatuzi.
1:Vida k242(voda kitochi) APP ya contact inafunguka lakini haiwezekani kuchagua majina(bar ya kijani inayozunguka eneo la search pichani inagoma ku move kushuka chini).
2:APP ya...
Ndugu zangu tunajaribu kupambana na maisha ili siku ziende, ukishika hapa unajaribu na pengine, naomba wenye kujua namna ya kupata vifaa vya kucholea marembo kwenye nguzo na madirisha anisaidie tafadhali.
Wadau,
Leo tumekuja na fursa ya kazi (paid opportunity) kwa mafundi waliopo Dar es Salaam. Inaweza ikakufaa wewe au mtu unayemfahamu. Mfikishie taarifa hii.
Tunahitaji Mafundi 5 wenye ujuzi wa kushona nguo za aina zifuatazo:
1. Suruali
2. Makoti ya wapishi wa hoteli
3. Mashati
4. Apron
5...
Kutokana na uhuni unaofanywa na mafundi ujenzi, wizi na ubora wa chini wa kazi serikali ianze kutoa leseni kwa mafundi ili tuweze kuwa hold accountable pale wanapohalibu kazi kwa makusudi au kuhujumu project ya mtu wawe wanapigwa faini na leseni kufungiwa pia kuwe kuna records zao ili watu...
Habari wakuu.
Hapa nimeleta mchanganuo wa KuJenga Apartment yenye nyumba Tano (mbili za vyumba viwili, sebule, jiko na Choo na Tatu za chumba kimoja, sebule, jiko na choo)
Tofali za msingi = 2856 (kwa kozi sita)
Tofali za Boma = 5015
Bati (za 0.9m X 3m) = 175 pc
Nime’attach picha yenye...
Mafundi wa Wizara ya Afya wanaidai kata ya Ipera kiasi cha Tsh. 16,900,000 baada ya kujenga kichoma taka yaani "Medical waste incinerator" Katika Kituo cha afya Ipera.
Kituo hiki kipo Kata ya Ipera wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma.
Kwa mujibu wa maelezo ya Diwani wa kata ya Ipera Mh...
Isecure Technology ni kampuni inayojishughulisha na kufunga mifumo mbali mbali ya ulinzi maofisini na majumbani. Hii mifumo ni kama CCTV camera, Electric fence, Bio-metric time attendance and Access control. Pia tunajishughulisha na ufungaji wa GPS kwenye magari na Pikipiki
Kwa sasa tunahitaji...
Niseme kwamba mafundi tuliojenga majengo haya ya uviko hasa madarasa tumeteswa sana na bado tunateseka sana.
Kwa hii wilaya niliyopo tuliingia mkataba na serikali kujenga haya majengo tukakubaliana bei na kamati ya kujenga madarasa yakamilike kwa muda japo muda ulikua mdogo sana yani wiki 3...
Wakuu mimi ni fundi simu katika kuimarisha huduma nazotoa nimeamua kununua ultrasonic cleaner kwa ajili ya kusafisha saketi zilizoingia maji nilikua naombaa msaada wa zile liquid za kusafishia na zinapatikana wap niko dodoma
Kwa wale wataoweza mikoani Mimi nipo Dodoma nauza sponge za kutengeneza masofa wanaziiita SHEET kitaalamu hizi ni zile chakavu tunauza kwa kilo kama wewe ni fundi hii kutasaidia kukupunguzia matumizi makubwa ya pesa kwenye kukununua sheet special sisi tunauza kg sh 6000 kwa kilo popote...
Nafikiri watu wengi huchanganya choo na bafu kwasababu ya bajeti.
Lakini huyu kweli alikuwa na shida ya budget?
Ni mafundi mmekremisha? Ukosefu wa ubunifu? Au wenye nyumba wenyewe wanapenda hivi? Me nimecheka Kweli, nafikiri ni fundi maiko kafanya yake.
Hakuna kitu nachukia kama chooni...
Habari wakuu, nimejaribu kuja na baadhi ya options za ramani za nyumba unazoweza kujenga kwa gharama nafuu.
Kwanza tulewe kuwa Gharama ya ujenzi wa nyumba haitegemei sana idadi ya vyumba kama baadhi ya watu wanavyochukulia, bali hutegemea zaidi ukubwa (builtup area) na muundo wa jengo husika...
Wakuu habar za uzima najua tupo kwenye pilika pilika kwa ajili ya maandalizi ya sikukuu. Nilikua naombeni msaada wa kisheria kwenye ufundi simu upande wa software je kuremove password kwenye simu ni kosa kisheria?
Na kipi ukifanya ni kosa na kipi so kosa wakuu. Ngoja niwape kisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.