Moja kwa moja kwenye mada maana nimevurugwa.
Kulingana na mkwamo wa uongozi uliopo madarakani na msimamo wake wa kuziba masikio ili kutosikiliza maoni ya Raia wake (mimi pia nikiwemo), ninaomba Chama chetu pendwa cha Mapinduzi (CCM) kijitafakari na kutuangalizia mbadala atakayebeba mikoba ya...
Hello wapendwa! Nina ujuzi wa kutengeneza mkaa mbadala wa kupikia!
Lakini tatizo sijui wapi nitapata wateja!
Naomba mawazo nifanyeje ili nipate wateja ili nianze kuzalisha bidhaa hii.
Ujuzi ninao, vifaa na mashine zipo lakini shida ni wapi nitauza hii bidhaa!
Kwasasa napotaka kuanza...
Tuunde kampuni ya bandari,
Tuandae mpango wa kuunganisha nchi za "east and central africa" na bandari yetu.
Hapa tutazungumza na nchi kama zambia, kongo, burundi, uganda, afrika ya kati.
Halafu tutengeneze master plan itakayojumuisha upanuzi wa bandari, ujenzi wa njia za kusafirisha mizigo...
Kwa Africa Macadamia inalimwa sana South Africa na Kenya, ingawa pia hata Zambia wanakuja kwa kasi ya kutisha. Macadamia kwa Tanzania sio sana ingawa kuna Wazungu wanalima kitambo ila sio sana kama Kenya.
Bei ya Macadamia kwenye soko la Dunia inatisha sana hata kwa hapa Tanzania bei ya...
Tumeshazoea Rais wetu akibanwa anampeleka Mwinyi kumuwakilisha katika shughuli na vikao vya nje ya nchi,
Mfano leo Dk. Hussein Ali Mwinyi ameondoka Zanzibar kuelekea nchini Qatar kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Jukwaa la Kimataifa la tatu la...
Suala la nishati ni muhimu sana katika maendeleo ya nchi na ustawi wa wananchi. Hata hivyo, nishati ya mafuta na gesi imekuwa ikileta changamoto kubwa katika suala la mazingira na afya ya binadamu. Kuna haja ya kuangalia chanzo mbadala cha nishati ambacho kitakuwa salama kwa mazingira na afya ya...
Wadau poleni na majukumu ya kulijenga taifa.
Kama Mtanzania mwenye ndoto na malengo ya kufika mbali nimewaza na kuona njia mbadala ya kuwekeza kwa Dunia ya sasa ni kununua dhahabu. Hii imetokana na hizi siku chache kutokana na kuadimika kwa Dollars kitu ambacho sio ishara nzuri kwa wanauchumi...
Kwa mara ya kwanza Afrika, teknolojia mpya ya mbadala wa dawa za maumivu, imeanza kutumia katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI).
Hadi Aprili 28, 2023 jumla ya wagonjwa 18 wamepata huduma hiyo, ili kuepuka maumivu ya mishipa ya fahamu, ambapo huduma hiyo...
Hapa ninapoandika umeme umekata, Sijui ni lini umeme kukatika itakua historia, at least kwa mwezi ukatike mara moja.
Kwa mfano eneo ninapoishi,
Ndano ya siku kumi (10)
1. Wameka umeme kuanzia asubuhi hadi jioni giza laanza kuingia mara tatu (3).
2. Wamekata umeme usiku kuanzia mida ya saa nne...
Ni hivi, barabara zote za kuelekea barabara ya Morogoro zina marundo ya vifusi. Geti pekee kwa wakazi wenye magari la kuingia Magomeni Kota ni lile lililo mkabala na Turiani Sekondari. Kwa maelekezo ya TBA na walinzi wake, geti hilo sharti lifungwe saa 6 usiku.
Hawa ni watu na siyo mifugo wa...
Waziri Nape alitoa maelekezo watu kutoa taarifa polisi endapo watapokea jumbe za matapeli wanaokwambia tuma kwenye namba hii ama jumbe za waganga na kushinda jackpot ambapo kupata zawadi hiyo unaambiwa upige simu kwa maelekezo zaidi.
Badala ya watu kwenda kutoa taarifa polisi, kuwe na njia ya...
Dunia ni kijiji kinachoendeshwa kwa teknolojia
Tumwache Tundu Antipas Lisu aishi sehemu anayohisi yuko salama zaidi, Tusimpangie
Ameshapitia magumu mengi ikiwemo kuchungulia kaburi
Dominica njema
Nimeisikiliza kwa makini ile interview ya Tundu Lissu na ITV jana jumatatu saa tatu jioni. Tundu Lissu naona kama amekuwa confused. Namwonea huruma kwa jaribio la maisha yake, si hali nzuri binadamu kuipitia kamwe.
Lakini yote bin yote, Lissu hajonyesha ni kwa vipi CHADEMA inaweza kufanya...
Habar wadau !!!
Hope wote mpo poa niende moja kwa moja kwenye mada nadhani wengi kati yenu mnatuia outlook na karibu ofisi nying zinatuia outlook for person and office work
Mi kinachoniudh kwenye outlook ni WHITE BACKGROUND kwenye inbox hiki kitu sio kigeni wngine wanakiita themes means...
Ndugu zangu Watanzania,
Siku yaja na miaka yaja ambapo wapinzani watakubali kuwa CCM ndio chama pekee kinachopaswa kuungwa mkono na kupewa ushirikiano katika kuliongoza taifa letu, watakubali kuwa Sera ajenda Dira na muelekeo wa CCm ndio sahihi na unatosha kutuvusha Watanzania kuelekea nchi ya...
Daily na waambia hapa Muda ni mwalimu mzuri sana mpaka tunafika 2030 Mungu atuweke ndo watu wataanza kushangaa kwamba pamoja na baadhi ya CCM wenye misimamo mikali huwa hata Chama kiteteleke vipi hawakimbii kwingine ? Ni kwasababu huko kwingine ni mzaha hakuna nia ya dhati ya kumkomboa Mtanzania...
Oktoba 13, 2022, nilipita katika Taasisi ya Ocean Road (ORCI) na kushuhudia wagonjwa wakiendelea na matibabu.
Baadhi walikuwa waliowahi matibabu ugonjwa ukiwa bado katika hali ya chini na wengine wakiwa wamechelewa na ugonjwa ulikuwa juu.
Nje ya ukuta wa jengo hilo watu wawili walikuwa...
Hofu ya uwezekano wa ongezeko la maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU) kwa miaka ijayo inazidi kutanda mitaani kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya vipimo vya haraka (HIV Rapid test) vya kubaini maambukizi hayo kwa kupima damu.
Uchunguzi uliofanywa kwa zaidi ya wiki mbili katika maeneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.