Imeandikwa katika gazeti la mzalendo:
Kasi ya Rais Dk. Samia Suluhu kufanya mageuzi makubwa nchini inazidi kuleta neema kwa wananchi, safari hi Serikali imekuja na mpango wa kupanua huduma za afya, ikiwemo kujenga hospitali yenye ghorofa sita.
Jiji la Dar es Salaam ikiwemo eneo la Mbagala...