media

  1. Jamii Opportunities

    Accountant at Manufaa Media January, 2024

    Position: Accountant Accountant Responsibilities: Complying with all company, local, state, and federal accounting and financial regulations. Compiling, analyzing, and reporting financial data. Creating periodic reports, such as balance sheets, profit & loss statements, etc. Presenting data to...
  2. GENTAMYCINE

    Ni kwanini CMG (Clouds FM na Clouds TV) hupenda sana kujipendekeza katika birthdays za Marais nchini tofauti na Media zingine?

    Kazi yangu Kubwa GENTAMYCINE leo ni Kusoma tu Comments zenu kutokana na huu Uzi wangu.
  3. Pascal Mayalla

    On be the first to know, could JF be ni funga kazi zaidi ya mainstream media zote? Shuhudia hapa

    Wanabodi, Mimi ni miongoni mwa waraibu wa JF, usingizi ukinikatika, huingia JF, Alfajiri ya leo, usingizi umekata mapema, ile swalaa swalaa imenikuta macho, hivyo baada ya yale ya msingi baada ya kuamka, nikashuka if, nikakutana na bandiko hili: LIVE - Ziara ya Rais Samia katika Ikulu ya...
  4. Jamii Opportunities

    Production coordinator at BBC Media Action January, 2024

    Position: Production coordinator Location: Tanzania Reports to: Head of production Duration: 12 months (with possible extension) Special requirements: The right to live and work in Tanzania. Fluent in English and Swahili with ability to write reports and scripts in these languages. Candidates...
  5. chiembe

    Je, unajua mkoa wako umepanga kufanya nini katika dira ya maendeleo ya taifa 2025-2050? Ni muhimu wakuu wetu wafanye wasilisho katika media ili tujue?

    Taifa linatarajia kuwa na mpango wa maendeleo wa miaka 25, 2025-2050. Mpango huu naona kama haupati kutangazwa vya kutosha kwa wananchi ili wajue mkoa/wilaya yao inatakiwa kuwa namna gani katika kipindi cha miaka 25 ijayo. Wakijua ndipo watahoji kwa nini miaka 25 imepita na hakuna...
  6. Kijana LOGICS

    Kwanini watanzania wana tabia ya kukomenti kwa maneno ya ovyo kwenye mitandao ya kijamii?

    Watanzania wengi wana kaushamba ka kutoa maoni kwenye mitandao ya kijamii. Sehemu Pekee wanacomment kwa adabu ni post za Vifo vya ajali hususan ajali za barabaran Lakini post nyingine zote wanatoa maneno ya chuki na roho mbaya Wenzetu ulaya wanacomment kwa adabu hâta kwa wale wacheza picha za...
  7. Erythrocyte

    Mnyika kutoa somo la Katiba Mpya kupitia clouds Media

    Taarifa yake hii hapa . Ikumbukwe kwamba Clouds media ndio kile chombo cha habari kilichovamiwa kwa silaha za kivita na yule jamaa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM , jina lake limenitoka kidogo , mnaweza kunikumbusha .
  8. GENTAMYCINE

    Boss Mkuu wa Azam Media Company Mwamba / Mngwena Tido Dustan Mhando atangaza Kustaafu rasmi

    Huna baya Tido Dustan Mhando wala Deni kama Mdau Tukuka na Mwandamizi wa Tasnia muhimu katika Ubongo wa Mwanadamu yoyote yule ya Habari, Utangazaji na Mawasiliano ( GENTAMYCINE nikiwa ni Mdau ) Haya tuliobakia hapo sasa tuhakikishe tu tunapoenda Kuroga ili hiyo nafasi tuteuliwe Sisi turoge kwa...
  9. M

    AZAM MEDIA tafuteni njia nzuri za kurecord mechi katika uwanja wa UHURU, angle mnazo-record ni za ovyo

    Mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia matangazo yenu mubashara kutoka uwanja wa UHURU na kuangalia angles mnazorikodi mechi kwa camera zenu na kugundua kuwa hazimpi mtazamaji wa matangazo yenu ya mpira katika uwanja wa uhuru uwezo wa kuona mechi vizuri. Wito wangu kwa kampuni ya AZAM MEDIA ni kuwa...
  10. S

    Vipi kama enzi za Mfalme Sulemani kungekuwa na mitandao ya kijamii angekuwa anapata comments 1000 za wake zake

    Ongezea pia comments za watoto, ndugu wa upande wa wake na masulia pamoja na majirani. Jamaa angeupiga mwingi sana. Mtandao X wangempa blue ticks mpaka wakome. Halafu anatokea mtu katika zama hizi anawadanganya watu waoe mke mmoja! Aaah! Mfalme Sulemani wewe! Yaani jamaa angeishi zama hizi...
  11. GENTAMYCINE

    Majanga makubwa yakitokea nchi zenye vyombo vya habari makini kipaumbele huwa ni Tukio, ila kwetu kipaumbele ni Kuipamba Mamlaka!

    Binafsi nilitegemea baada ya Tukio la Hanang Mkoani Manyara Media ya Tanzania ingekuwa inatupa Elimu zaidi ya nini kimesababisha na hata kutoa tahadhari zaidi kwa eneo husika au maeneo mengine yenye Jiografia kama ya Hanang ili kujiepusha na Majanga makubwa mengine. Ila cha kushangaza na...
  12. sinza pazuri

    Jonijoo ni mtangazaji anaeongoza kuzipa media hasara. Ni mtangazaji mzigo

    Alianzia kuonekana pale Times Fm lakini wakubwa hakuwashawishi kumpa kipindi kikubwa hawakuridhika na kiwango chake. Baadae akatimkia Wasafi FM akapewa kipindi cha Block 89 akafeli kipindi kikafa ilikuwa hasara tu kipindi kilijaa kelele wadhamini hakuna. Akaletwa Lil Ommy pale Wasafi na akaja...
  13. mangiTz

    Azam Media wakataa shutuma dhidi ya rushwa ya kurusha vipindi vya tamthilia kutoka kwa wazalishaji binafsi

    Habari wana jamvi, kumekuwa na taarifa za chini kwa chini baada ya kuibuka sakata la wasimamizi wa televisheni kule Dstv sasa imehamia Azam nao wamejibu mapigo. Note; ukimshtumu mtu au kampuni hakikisha hiyo kesi una ushahidi nayo la sivyo inakugeukia, kesi kama hizi ikikugeukia utalipwa faini...
  14. GENTAMYCINE

    Kwanini Matangazo ya Kuhimiza Watu kupima UKIMWI / DALLY KIMOKO yamepamba moto sana katika Media za Tanzania?

    GENTAMYCINE nilipoikataa ile Ripoti ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mwaka Jana kuwa UKIMWI umepungua sana nchini Tanzania si mlijifanya Kutonielewa na mkamuunga mkono? Kwa hali ya Maambukizi ilivyo mbaya sasa na Watu wanavyopukutika kila Uchao nadhani taratibu mtaanza kunielewa GENTAMYCINE na...
  15. Relief Mirzska

    Graphic designer & social media expert

    Habarini wadau, Nimewakumbuka sana. Anyways, kuna nafasi ya kazi na anahitajika Graphic designer and social media expert. Vigezo : 1. Awe mwanamke 2. Asiwe na majukumu ya kifamilia 3. Muaminifu na asie muongomuongo 4. Awe tayari kujifunza new skills 5. Ajue kuzungumza kiingereza, akijua lugha...
  16. Restless Hustler

    Weka hapa screenshot ya screen ya Simu yako tujue social media platforms unazopenda zaidi

    Moja kwa moja Mimi naanza
  17. Ritz

    BBC na Media za Magharibi wamekataa kuwaita watoto wa Kipalestina, watoto.

    Wanaukumbi. BBC inakataa kuwaita watoto wa Kipalestina, watoto. BBC inakataa kuwaita watoto wa Kipalestina, mateka. Inavyoonekana, ni wakoloni wakatili wa Ulaya, pekee walio na watoto, na Waisraeli pekee ndio wanaoweza kutazamwa kama mateka. Hawa ni "wafungwa" wa Kipalestina wanaobadilishwa...
  18. G-Mdadisi

    TAMWA Zanzibar Calls for a halt of Abuse of Children through Social Media

    Tanzania Media Women’s Association, Zanzibar (TAMWA - ZNZ) urges the community to refrain from recording children and posting on the social media networks after they have been subjected to humiliating acts. By doing so, is to aggravate the problem and is humiliating them even more. Following...
  19. William Mshumbusi

    Wanasimba tuanze kutag kwenye kila media. Hatununui tiketi tunataka kocha na cadena out

    HAKUNA KUINGIA UWANJANI. Timu bila kocha, CADENA out. Kaua makipa wa Azam, kaua kiwango cha Ally Salum. Kafarakanisha timu, Anaitaka timu. Kama Mo kagoma dili la kipa basi MGUNDA in.
  20. chiembe

    Kama Jackline Ntuyabalile angeachiwa IPP Media, ingekuwa imeshakufa, anajipost muda wote yuko Dubai kumbi za starehe

    Kweli mahakama inaona mbali, kama wangekubali huyu dada awe msimamizi wa mirathi na amiliki IPP Media, angekuwa ameshaimaliza. Muda wote yuko mahotelini Dubai, kwa asiyemjua anaweza kudhani anafanya kazi ya uhudumu hotelini. Haijulikani anakaa na watoto wake saa ngapi.
Back
Top Bottom