Utawala wa Houthi unaoongoza sehemu kubwa ya Yemen umeshambulia tena Meli Vita ya USA pamoja na meli ya mizigo, huu ni muendelezo wake wa kujibu mashambulizi ambayo USA alifanya wiki 2 zilizopita kwenye ardhi ya Yemen lakini pia ni muendelezo wa ahadi ya Yemen kushambulia kila meli za Israel na...
Mumechanganyikiwa hadi mnatekana wenyewe kwa wenyewe, mbwa kala mbwa....
Indian Navy warship rescues Iranian vessel hijacked off Somalia coast
The Indian Navy's INS Sumitra on Monday safely rescued fishermen hijacked by pirates along the East coast of Somalia and the Gulf of Aden, defence...
Hizi hapa dondoo 15 muhimu za kuzingatia dhidi ya propaganda hasi kwa bandari ya DSM
1. Magati yote 12 pamoja na maeneo ya kuhudumia shehena za mafuta yanahudumia meli hadi kufikia muda huu wa leo tarehe 28 Januari 2024, tofauti na wapotoshaji wanaoposha kwa makusudi kuwa ni magati mawili (2)...
Wanakumbi.
Kumekucha tena bahari nyekundu imechafuka Wayemeni wanapambana na Magaidi Marekani na Uingereza safi sana.
Biden, anaomba msaada China kupambana na Yemen anaulizwa kwa wao wanapigana sababu gani anasema tu hawa ni magaidi China kamwambia basi endelea na vita.
Yule Muhindi wa...
Baada ya kukamilika miradi ya maboresho katika bandari ya Tanga, kumepelekea tija kubwa kuonekana katika nyanja tofauti ikiwemo kuongezeka kwa shehena na meli zinazohudumiwa katika bandari hiyo jambo ambalo linachangia ongezeko la mapato.
Hayo yamesemwa Jumanne tarehe 23 Januari, 2024 na Meneja...
Hakatishi mtu.
Kwa amri na utekelezaji wa wanamgambo wa Houthi wa Yemen.
Nia na madhumuni wamesema ni kuzuia usafirishaji kwenda Israel. Lakini kwa sababu baharini huwa ni vurugu mechi, li meli la Ukraine lina bendera ya Tanzania, wafanyakazi wa Uturuki, waendeshaji wa Ufaransa, na mzigo wa...
Serikali ya Falme Za Kiarabu (UAE) imelaani vikali mashambulizi yanayofanywa na magaidi wa Houthi dhidi ya meli mbalimbali katika bahari ya sham.
Pia wanamgambo hao wanaoungwa mkono na Iran wamekiri kuuwawa kwa viongozi wake wapatao watano ktk shambulizi lililofanywa siku kadhaa zilizopita na...
Urusi wajifunze kwa ujinga wao wa kutaka kushikamana na mazombi wa dini ile...
Houthi militants mistakenly targeted a tanker carrying Russian oil in a missile attack on Friday off Yemen, British maritime security firm Ambrey said.
The United Kingdom Maritime Trade Operations (UKMTO)...
iran imeendelea kurekeleza sera ya jino kwa jino dhidi ya Marekani kwa kuiteka meli iitwayo St Nicholas wakati ikiwa na shehena ya mafuta iliyopakia kwenye bandari ya Iraq kuelekea Ururuki.
Meli hiyo zamani ikiirwa Suez Rajan na ndiyo iliyotekwa na Marekani mwaka jana ambapo shehena ya mafuta...
Wanaukumbi.
BREAKING:
⚡ 🇮🇱 Pigo jingine kubwa la kiuchumi kwa Israeli
Cosco yasitisha usafirishaji wa Israel huku kukiwa na mvutano wa Bahari Nyekundu.
Cosco, inadhibiti 5.2% ya uwezo wa usafirishaji wa kimataifa.
Hii inajiri baada ya kampuni zingine kama vile MSC, CMA CGM, Maersk, na...
MV Lila Folk nusura ichukuliwe na wanamgambo wanaodhaniwa wa Somalia.Wanamaji wa India walipata mwito wa shida baharini kutoka meli hiyo na haraka kwenda kuiokoa.
Meli hiyo ilikuwa ikipeperusha bendera ya Liberia na ilikuwa iko masafa ya 460 nautical miles kutoka Somalia katikati ya bahari ya...
Iran hapa wametumia akili sana kwa kukunja mkia na kunyamaza ndani licha ya kila jitihada kufanywa kuwashika hadi masharubu. Iran ilisema Israel wakiingia Gaza watakua wamevuka mstari, aisei Marekani wakaleta gumeli kama lote na kuweka pale na kusema mwenye kifua ajaribu hata kujikuna, Israel...
Hawa jamaa walidhani kila siku itakua sikukuu
At least 10 Houthi rebels were killed today and two wounded when US forces struck their boats in the southern Red Sea, two sources at Yemen’s Hodeida port say.
The US military earlier said it had destroyed several small boats operated by the...
Ugaidi wa kidini unaifanya Iran izidi kutengeneza maadui hata kule ambapo hakukua na ugomvi.
Ikumbukwe India ni ya nne kwa ubabe wa kijeshi duniani.
New Delhi’s defense officials vowed to bring those responsible for the recent attacks on two predominantly Indian-crewed merchant vessels to...
Muhimu sana dunia ikawa tayari kupambana na haya magaidi ya kidini yakiongozwa na kubwa lao Iran...
India has said it is sending three warships to the Arabian Sea after a drone hit an "Israel-affiliated" merchant vessel off its western coast last week.
MV Chem Pluto was attacked about 200...
Mzuka wanajamvi,
Naanza kwa kucheka hahaha kwikwikwi.
Meli ya uvuvi ya Iran Almeraj 1 imetekwa na maharamia ya Kisomali ambao wanadai usd 400000 ili kuichia pamoja na wavuvi wake.
Kumbuka Kwenye hiyohiyo bahari nyekundu Iran wanatumia wanamgambo wa Houthi kuteka meli za wateule Israel na...
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu wakati vita vikiendelea,mori wa vita sasa umepanda kwa Iran na kusema iwapo vita havitasimama basi dunia ijitayarishe kuona taifa hilo likiuziba mfereji wa Gibraltar.
Mfereji huo kama ilivyo kwa mfereji wa Sueza na bahari nyekundu nao ni njia kubwa ya baharini...
Kumbe jumuiya ya kimataifa ilitaka kuitumia Oman kwa maslahi yake pekee bila kuzingatia athari nyengine.Jambo la kufurahisha ni kuwa katika mazungumzo baina yao ikiwajumuisha wanamgambo wa Houth,Oman imejitenga na harakati hizo.
Kwa mujibu wa msemaji mmoja wa Oman ambaye hakutaka kujitokeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.