meli

Meli is an Italian surname and a given name. Notable people with the name include:

View More On Wikipedia.org
  1. K

    Yemen yashambulia tena Meli Vita ya USA na meli ya mizigo ya biashara huko Red Sea

    Utawala wa Houthi unaoongoza sehemu kubwa ya Yemen umeshambulia tena Meli Vita ya USA pamoja na meli ya mizigo, huu ni muendelezo wake wa kujibu mashambulizi ambayo USA alifanya wiki 2 zilizopita kwenye ardhi ya Yemen lakini pia ni muendelezo wa ahadi ya Yemen kushambulia kila meli za Israel na...
  2. MK254

    Meli ya Iran yatekwa na magaidi Somalia na kuokolewa na jeshi la India

    Mumechanganyikiwa hadi mnatekana wenyewe kwa wenyewe, mbwa kala mbwa.... Indian Navy warship rescues Iranian vessel hijacked off Somalia coast The Indian Navy's INS Sumitra on Monday safely rescued fishermen hijacked by pirates along the East coast of Somalia and the Gulf of Aden, defence...
  3. shadow recruit

    Meli 13 zinahudumiwa muda huu bandari ya DSM Januari 28/2024

    Hizi hapa dondoo 15 muhimu za kuzingatia dhidi ya propaganda hasi kwa bandari ya DSM 1. Magati yote 12 pamoja na maeneo ya kuhudumia shehena za mafuta yanahudumia meli hadi kufikia muda huu wa leo tarehe 28 Januari 2024, tofauti na wapotoshaji wanaoposha kwa makusudi kuwa ni magati mawili (2)...
  4. Ritz

    Meli ya Uingereza yalipuliwa na Houthis ilikuwa imebeba mafuta ya ndege

    Wanakumbi. Kumekucha tena bahari nyekundu imechafuka Wayemeni wanapambana na Magaidi Marekani na Uingereza safi sana. Biden, anaomba msaada China kupambana na Yemen anaulizwa kwa wao wanapigana sababu gani anasema tu hawa ni magaidi China kamwambia basi endelea na vita. Yule Muhindi wa...
  5. Roving Journalist

    Baada ya maboresho kukamilika, Bandari ya Tanga imeanza kazi, shehena na meli zaongezeka

    Baada ya kukamilika miradi ya maboresho katika bandari ya Tanga, kumepelekea tija kubwa kuonekana katika nyanja tofauti ikiwemo kuongezeka kwa shehena na meli zinazohudumiwa katika bandari hiyo jambo ambalo linachangia ongezeko la mapato. Hayo yamesemwa Jumanne tarehe 23 Januari, 2024 na Meneja...
  6. V

    Mwarabu kafunga njia Red Sea, meli zinazungukia Afrika, watawala wa dunia wamekwama

    Hakatishi mtu. Kwa amri na utekelezaji wa wanamgambo wa Houthi wa Yemen. Nia na madhumuni wamesema ni kuzuia usafirishaji kwenda Israel. Lakini kwa sababu baharini huwa ni vurugu mechi, li meli la Ukraine lina bendera ya Tanzania, wafanyakazi wa Uturuki, waendeshaji wa Ufaransa, na mzigo wa...
  7. uran

    Picha: Meli kubwa ya abiria, Norwegian Dawn imetia nanga Dar 16.01.2024

    Imekuja na Watalii zaidi ya 2,000. Mama anafungua Nchi. #VisitTanzania#
  8. I

    UAE yashutumu mashambulizi yanayofanywa na wanamgambo wa Houthi dhidi ya meli mbalimbali katika bahari ya sham.

    Serikali ya Falme Za Kiarabu (UAE) imelaani vikali mashambulizi yanayofanywa na magaidi wa Houthi dhidi ya meli mbalimbali katika bahari ya sham. Pia wanamgambo hao wanaoungwa mkono na Iran wamekiri kuuwawa kwa viongozi wake wapatao watano ktk shambulizi lililofanywa siku kadhaa zilizopita na...
  9. MK254

    Magaidi ya Houthi yapiga meli ya Urusi mabomu, yamechanganyikiwa tangu kipigo cha USA

    Urusi wajifunze kwa ujinga wao wa kutaka kushikamana na mazombi wa dini ile... Houthi militants mistakenly targeted a tanker carrying Russian oil in a missile attack on Friday off Yemen, British maritime security firm Ambrey said. The United Kingdom Maritime Trade Operations (UKMTO)...
  10. Webabu

    Iran yashika meli ya Marekani jirani na Oman. Ni kulipiza kisasi dhidi ya ubabe wa US

    iran imeendelea kurekeleza sera ya jino kwa jino dhidi ya Marekani kwa kuiteka meli iitwayo St Nicholas wakati ikiwa na shehena ya mafuta iliyopakia kwenye bandari ya Iraq kuelekea Ururuki. Meli hiyo zamani ikiirwa Suez Rajan na ndiyo iliyotekwa na Marekani mwaka jana ambapo shehena ya mafuta...
  11. Ritz

    COSCO ya China yasitisha usafirishaji wa meli kwenda Israel

    Wanaukumbi. BREAKING: ⚡ 🇮🇱 Pigo jingine kubwa la kiuchumi kwa Israeli Cosco yasitisha usafirishaji wa Israel huku kukiwa na mvutano wa Bahari Nyekundu. Cosco, inadhibiti 5.2% ya uwezo wa usafirishaji wa kimataifa. Hii inajiri baada ya kampuni zingine kama vile MSC, CMA CGM, Maersk, na...
  12. Webabu

    Bahari imechafuka.India wameingia kuokoa meli karibu na Somalia.

    MV Lila Folk nusura ichukuliwe na wanamgambo wanaodhaniwa wa Somalia.Wanamaji wa India walipata mwito wa shida baharini kutoka meli hiyo na haraka kwenda kuiokoa. Meli hiyo ilikuwa ikipeperusha bendera ya Liberia na ilikuwa iko masafa ya 460 nautical miles kutoka Somalia katikati ya bahari ya...
  13. MK254

    Hongera Iran kwa kushtukia huu mchezo, ilikuwa ifutwe tukiiona, haya meli ya Marekani imeondoka

    Iran hapa wametumia akili sana kwa kukunja mkia na kunyamaza ndani licha ya kila jitihada kufanywa kuwashika hadi masharubu. Iran ilisema Israel wakiingia Gaza watakua wamevuka mstari, aisei Marekani wakaleta gumeli kama lote na kuweka pale na kusema mwenye kifua ajaribu hata kujikuna, Israel...
  14. MK254

    Houthi wajaribu kuteka meli, wauawa 10 na jeshi la Marekani

    Hawa jamaa walidhani kila siku itakua sikukuu At least 10 Houthi rebels were killed today and two wounded when US forces struck their boats in the southern Red Sea, two sources at Yemen’s Hodeida port say. The US military earlier said it had destroyed several small boats operated by the...
  15. MK254

    India yaapa kulipiza kisasi kwa shambulizi lililofanywa kwa meli yenye mizigo yake - Iran ijiande

    Ugaidi wa kidini unaifanya Iran izidi kutengeneza maadui hata kule ambapo hakukua na ugomvi. Ikumbukwe India ni ya nne kwa ubabe wa kijeshi duniani. New Delhi’s defense officials vowed to bring those responsible for the recent attacks on two predominantly Indian-crewed merchant vessels to...
  16. MK254

    India yapeleka meli tatu za kivita, hii ni baada ya lile shambulizi la drones za Iran

    Muhimu sana dunia ikawa tayari kupambana na haya magaidi ya kidini yakiongozwa na kubwa lao Iran... India has said it is sending three warships to the Arabian Sea after a drone hit an "Israel-affiliated" merchant vessel off its western coast last week. MV Chem Pluto was attacked about 200...
  17. M

    Meli ya uvuvi ya Iran yatekwa na maharamia ya kisomali

    Mzuka wanajamvi, Naanza kwa kucheka hahaha kwikwikwi. Meli ya uvuvi ya Iran Almeraj 1 imetekwa na maharamia ya Kisomali ambao wanadai usd 400000 ili kuichia pamoja na wavuvi wake. Kumbuka Kwenye hiyohiyo bahari nyekundu Iran wanatumia wanamgambo wa Houthi kuteka meli za wateule Israel na...
  18. MK254

    Meli yenye Wahindi yapigwa na drone ya Iran

    Mnapenda kulazimisha ugomvi kote kisha mnalia lia kwamba mnaonewa, fahamuni kwamba Wahindi nao ni kama Wayahudi, hupiga sana, temaneni nao, yaani kwenue maugomvi yenu temaneni na Wayahudi, Wahindi, Wachina. Shobo zenu tufanyieni sisi. ===== https://www.youtube.com/watch?v=tdcWFEf-zQI A...
  19. Webabu

    Iran yatishia kuziba mfereji wa Gibraltar ambako meli zinazozunguka Afrika Kusini hupita kwenda Israel

    Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu wakati vita vikiendelea,mori wa vita sasa umepanda kwa Iran na kusema iwapo vita havitasimama basi dunia ijitayarishe kuona taifa hilo likiuziba mfereji wa Gibraltar. Mfereji huo kama ilivyo kwa mfereji wa Sueza na bahari nyekundu nao ni njia kubwa ya baharini...
  20. Webabu

    Oman yasema hawaoni haja kuwabembeleza Houth kutozilenga meli huku vita Gaza vikiendelea

    Kumbe jumuiya ya kimataifa ilitaka kuitumia Oman kwa maslahi yake pekee bila kuzingatia athari nyengine.Jambo la kufurahisha ni kuwa katika mazungumzo baina yao ikiwajumuisha wanamgambo wa Houth,Oman imejitenga na harakati hizo. Kwa mujibu wa msemaji mmoja wa Oman ambaye hakutaka kujitokeza...
Back
Top Bottom