Yafuatayo ni mapendekezo yangu kwa serikali kuhusu viwango vya mishahara vya watumishi wa umma.
1. Watumishi wenye stashahada/diploma basic salary iwe 1,200,000/=
2. Watumishi wote wenye shahada ya kwanza\degree basic iwe 1,700,000/=
3. Masters na PH D, hizi ziachwe tu kwenye vyuo vikuu na...