Nyumba mbili zinauzwa Sengerema Mjini Mwanza, zote ni nyumba zenye vyumba vitatu na sebule, jiko, dining na master bedroom moja ambayo ni selfu!
Nyumba Moja imekamilika, nyingime haijakamilika, kama inavyoonekana kwenye picha
Zote zina mfumo uliokamilka wa maji taka,!
Maji na umeme vipo...