Ni hivi nyongeza ya mshahara kwa 23.3% inaanza kwa watumishi wa Umma wenye kima cha chini 300,000.. so approximately mtu huyo anapokea 70,000 extra!! Hizo asilimia zinakuwa zinapungua kadri mshahara unavyopanda!! The purpose is kulinda gap kwa wafanyakazi lisiwe kubwa.
Hivyo basi hii...