Kungelikuwa na serikali tatu, taabu yote hii isingelitokea. Kwa haya sasa serikali tatu ni LAZIMA.
1. Zanzibar wawe na vyao,
2. Tanganyika tue na vyetu na
3. vya Muungano viainishwe!
Leo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.
Kama una jibu au...
Kujenga vijana kifikra ni muhimu sana katika kuwawezesha kuwa na mawazo na mtazamo mzuri wa maisha. Hapa kuna hoja kadhaa za kujenga vijana kifikra:
Elimu yenye ufahamu: Badala ya kuzingatia tu kujifunza kwa ajili ya mitihani, ni muhimu kuhamasisha vijana kufikiri kwa kina, kuuliza maswali, na...
Hapo zamani za kale pembezoni mwa upwa wa bahari ya hindi kulikua na familia ya wabantu. Familia hiyo kwa umaarufu wake wa kumiliki kila aina ya vito vya thamani hata vile visivyoweza kupatikana kwa malimwengu yote yaani tanzanite, vilipelekea familia za walowezi kutumia mabavu kujimilikisha...
Salaamu kwanza nianze kujitetea katika makosa ya uandishi sababu ni kwamba natumia simu ndogo nashindwa kuweka aya vizuri! Hivyo basi tuvumiliane na nitaandika kwa kifupi. Mimi ni muhitimu wa ngazi ya shahada X katika chuo X tangu nimalize mwaka 2021 sijawahi kupata kufanya kazi kokote hata...
1: Maombi yatakufanya uangalie mambo kama Mungu anavyoaangalia sio kama watu wa kawaida wanavyoona. Hivyo huamasisha uthubutu.
Mwanzo 18:14
Kuna neno gani lililo gumu la kumshinda BWANA?
2: Maombi yatabadilisha mtazamo wako juu ya ukubwa na ugumu wa lengo lako. Yatakufanya uone inawezekana...
Wanabodi
Nipashe la leo,
Kama kawaida yangu kila Jumapili, huwaletea makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, kuzungumzia jambo lolote la kisiasa, kiuchumi na kijamii lenye maslahi kwa taifa. Mada hizi huwa zina, swali , na hoja, kisha jibu, utalitoa wewe msomaji mwenywe. Swali la leo ni kutuhusu...
Habari wakuu
Mpangilio sahihi wa mawasiliano ya umeme ni hatua muhimu zaidi katika nyumba yako.
Ni kwamba haiwezekani kuanza ufungaji wa wiring bila mpangilio na hatua sahihi,
Hatua na mpangilio sahihi wa wiring sio tu kwa majengo mapya hata ambayo sio mpya.
kusudi kuu la wiring...
Balozi Polepole anesema Wahuni ni Watu wa hovyo sana
Polepole ambaye kwa sasa ni mwakilishi wa Rais Samia nchini Cuba alikuwa anahojiwa na East Africa Radio
Jumaa kareem!
Kazi zenye hadhi/staha (decent work) ni kazi zinaofuata misingi ya haki, usawa, usalama, na fursa za maendeleo kwa wafanyakazi. Mpango wa Kazi zenye Hadhi ni wazo lililopendekezwa na Shirika la Kazi Duniani (ILO) na linalenga kuhakikisha kuwa kila mtu anapata kazi bora na inayostahili, ambayo...
Habarini nahitaji mtu mmoja aliye karibu na ofisi za Halmashauri ya Sikonge tabora mwaminifu nahitaji anisaidie kuchukua nyaraka pale ofisi ya halmashauri nitagharamia na kumuwezesha tafadhari nichek 0626402722 muhimu sana leo au kesho ikifika tarehe 21/6/2023 zoezi hili litakuwa limefeli asanteni
Teknolojia imekuwa ni sehemu muhimu katika maendeleo ya dunia. Kwa kufanya mabadiliko katika nyanja mbalimbali kama vile afya, elimu, kilimo, sheria, malezi, sanaa, na uongozi, tunaweza kuchochea uwajibikaji na utawala bora katika jamii.Kwa kutumia teknolojia, tunaweza kuleta mabadiliko ya kweli...
Hello This is a very good afternoon to everyone.
Nije kwenye kiswahili.
Hii nchii toka Mwamba toka Chato aondeke Mawaziri wamekuwa ovyo sana.
Zipo wizara ambazo zina umuhimu mkubwa sana katika nchi yetu kwa mstakabili wa kukuza uchumi lkn wala hao mawaziri sijawahi kuwaelewa nini wanazifanyia...
Nawasalimu natumaini tuko poa na wagonjwa Mungu atujaalie afya zetu ziimarike.
Leo imekuwa siku nzuri ya kumbukumbu nzuri maishani mwangu
Kama kitu nilibahatika ni kuwa mtoto wake.
Mama aliwahi kunambia kabla ya kuzaliwa kwangu baba yangu alikuwa asiyejali kabisa kuhusu future yake ila baada...
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa anazungumza na viongozi wa dini mbalimbali kuhusu mkataba wa ushirikiano wa kiuchumi na kijamii wa bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai.
Mkutano huo unafanyika kwenye Ukumbi wa Kurasini Centre, TEC Jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu...
bandari
dubai
kanisa
kanisa katoliki
katoliki
kitima
kitu
kuhusu
kujiridhisha
kuunga mkono
mambo
mambo muhimu
mikataba
mkataba
mkataba wa bandari
mkono
muhimu
padre
prof. mbarawa
tabia
tanzania
uwekezaji
viongozi wa dini
waache
wabunge
waziri
Habari za wakati huu wanajukwaa,
Nina mdogo wangu kamaliza kidato cha nne Alipata ufaulu wa Division 2 na alisoma masomo ya Sanaa(arts) Kapata selection ya chuo cha uhasibu Dar es salaam (TIA) lakini kwa uchumi wangu sasaivi sijasimama kwaio itakua changamoto kidogo kumudu ada ya 890,000/= kwa...
Nimevutiwa kuandika Makala hii kutokana na mjadala unaoendelea hivi sasa, kuhusu mchakato wa bandari ya Dar-es-Salaam kuingia mkataba wa uendeshaji na kampuni ya DP World ya Dubai. Ni habari ambayo imetawala vyombo vingi vya habari!
Kielezo Na. 1: Bandari ya Dar-es-Salaam
Chanzo: KWELI -...
NYOTA KADHAA WA KIMATAIFA YANGA WATAIKOSA FAINALI TANGA, Klabu ya Yanga itawakosa Fiston Mayele na Stephen Aziz Ki ambao wameitwa kwenye timu zao za taifa kuelekea kalenda ya FIFA, huku wakiwa wameondoka mapema leo kwenda kwenye majukumu yao.
Kama hivyo haitoshi Yanga ilipambana kuhakikisha...
Wanabodi hii Makala ya Nipashe ya leo 11/06/2023
Makala ya leo ni wito kwa Watanzania wenzangu, tujifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani ambayo wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Hivyo hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote, taasisi yoyote, ana nchi yoyote kusaidiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.