Ukitafakari bila woga wala uzwazwa dhana mbili yaani mungu na shetani, unagundua yafuatayo:
Mosi, wote wawili waliumbwa au kufinyangwa na binadamu.
Pili, shetani ana nguvu sana kuliko mungu.
Tatu, shetani ana akili sana kuliko mungu. Kwa sababu, pamoja na kupigwa vita na kila mmoja, hana...