Haya mambo hayana formula lakini tunachoangalia ni pattern, wanawake wengi wa kundi hili kuna vitu vingi wanafanana kwenye maisha ya ndoa.
Conditions:
Kwao wawe wawili au zaidi, watoto wa baba moja mama moja
Awe kalelewa na wazazi wote, sio baba na mama walifarakana
Kutakuwa kuna...
Wakuu Habari zenu!
Kiukweli wanawake wamezidi sana kuomba pesa yaani ukienda WhatsApp ni hatari, ukikaa kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela.
Jamani tabia hii kwa wanawake imekuwa kero kuliko hata wale wanaoomba msaada barabarani. Bora hela yangu nimpe yule mtoto mdogo...
Ukiachalia mbali wanawake, tatizo la harufu mbaya sehemu za siri ni changamoto inayowasumbua wanaume wengi pia duniani. Harufu mbaya kwenye sehemu za siri kwa mwanaume inaweza kusababishwa na mambo mbalimbali.
Leo katika mada yetu ya blogu hii tutazungumzia sababu kadhaa zinazochangia harufu...
Habarini ndugu Wananzengo!
Miongoni mwa vitu vinavyonishangaza na kunichukiza sana binafsi ni habits za wanaume kupenda ku post post status nyiiiiiiiingiii WhatsApp.
Kwa nini inanichukiza? Kwa sababu usipo view, ama uki mute, more of them go angry with you. Au la, wanalalamika sana hali ambayo...
ASSETS ZA ASILI ZA MWANAMKE NA MWANAUME. HIZI UKIZIJUA ZITAKUSAIDIA PAKUBWA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Assets ni rasilimali aliyonayo mtu au kampuni, taasisi au shirika, au taifa ambayo inaweza kutumika kuleta faida kiuchumi.
Siku hizi Istilahi hiyo "Assets" hatimiliki tuu kiuchumi...
Wakuu thread tajwa izingatiwe.
Hata nikijaribu kujifariji, ila ukweli unasimamia kua, kuoa kunaongeza utegemezi Kwa mwanaume. Ili limepelekea wengi , hasa tunaotoka familia duni na uwezo wa kati kutopiga hatua mara baada ya kuoa.
Kuna wimbi kubwa sana la kijana wa kiume kubebeshwa majukumu...
Hakikisha ngozi yako inanukia pesa (imenawiri, na vinyweleo vimesimama na kutoa jasho)
Mwili wako unukie vizuri, sio ile harufu kali ya kutisha
Uwe na biashara yako/ofisi yako inayoeleweka.
Uwe ni mtu wa kuongea maneno machache ila vitendo viwe vingi
Usiwe mtu wa makundi, ishi mwenyewe mwenyewe...
Siku ya Jana kupitia mtandao wake WA kijamii, maarufu Kama X , Bilionea Elon Musk ameandika kua Anampenda Raisi Donald Trump Kama vile mwanaume anavyoweza kumpenda MWANAUME mwenzake.
Aisee,
imekaaje hii wakuu au mi ndo sijaelewa🤔
Kama mwanaume, inakuwaje unakubali na kuamua kuwa watoto wako walelewe na mke wako pekee na si wewe pia kama baba katika familia?
Nadhani ni muhimu kuuliza, kwa nini mwanaume angeweza kuchukua maamuzi ya kumwacha mke wake peke yake kubeba jukumu la malezi ya watoto kwenye ulimwengu huu...
Hili ni angalizo kuelekea wikendi.
Mabinti, msiwaamini sana wanaume! Kama mna hela, hakikisheni mnakabeba. Sio kila mwanaume anayeenda chooni anaenda kujisaidia, wengine huenda kuangalia salio lililobaki. Wengine wakiona bili ni kubwa, wanatafuta njia ya kutokea karibu na choo.
Nawaambia...
Hakuna Urafiki Kati ya Mwanamke na Mwanaume..
Kama Mwanamke Wako Ana Rafiki Wa Kiume, Achana Naye..
Wanawake Kuna Kipindi Wanakua Wadhaifu na Wanalijua ili..
Siku Ukimkorofisha Anajua Ni Sehemu Gani Atapata Faraja. Atakazwa Tu.
Huu Ndo Ukweli Wazee..
Habari za wakati huu ndugu wana Jamiiforums,
Nimepokea kesi nyingi sana kutoka kwa vijana wakiume january hii, wengi wao malalamiko yako ni kuwa Wanawake/wake wanaoishi nao wanataka watoto wakasome shule za gharama (wengi ada ni 2.5M+), ilihali wao uwezo wao kiuchumi ni wastani na wakijikamua...
Tupu ya mwanamke inatabia ya kujisafisha yenyewe napia ina bakteria walinzi wa kuilinda hata kama utaingiza ulimi hao bakteria walinzi watajua ni adui kaingia hivyo watakushambulia, Japo kuna wanawake wengine wanaiosha kwa kulazimisha ili kutoa mauchafu waliyomwagiwa na kila mwanaume au...
Habari za asubuhi.
Kila mwanaume mwenye homoni za kiume ni mtu mwenye kutamani wanawake Muda wote.lakini haikupi uhalali wa kuwa nao.
Wapo utatamani kushiriki nao ngono ,lakini mwingine utamuacha aende tu .
Bahati mbaya wanawake wengi wamejenga dhana kwamba mwanaume ni mtu mwenye kutamani...
Mnawapa stress dada zetu kwa statement za aina hii mnafanya waanze kufakamia chakula kutafuta unene wengine wanafika mbali mpaka kutumia dawa za kuongeza mwili wakati kina Babamorgan ni wadau wakubwa wa Skinny girls.
Kila Mwanamke ambaye huwa anampiga matukio mwanaume mwema sana kwenye jamii huwa anazitumia njia hizi zifuatazo, vilevile mwanamke mwema sana kwenye jamii huwa anajikuta kwenye mahusiano na mwanaume ambaye hapendeki.
ZIFUATAZO NI NJIA AMBAZO MWANAMKE AMBAYE HAPENDEKI HUWA ANAZITUMIA KUMPATA...
Inakuwaje wanajamvi.
Inawezekanaje kweli mwanaume mwenzako anakununulia zawadi na kukupa halafu wewe unapokea? Haingii akilini kabisa.
Eti dume mwenzako anakutoa out lunch ama dinner na unaenda tu.
Pia mwanaume hutakiwi kusema nampenda mwanaume flani sema namkubali.
Kuna vitu vingine kwa...
Wanaume mpo?
Kuna huyu mgombea wa nafasi ya Urais huko CHADEMA, Romanus Mapunda amesema kuwa kama akishinda kuwa Rais atabadilisha mfumo wa kupeana talaka.
Mapunda amesema kuwa atabadilisha mfumo wa talaka kwamba usimuumize mwanaume.
Amesema kuwa mfumo wa uliopo wa kugawana 50/50 na mwanamke...
Habari zenu wana JF
Nimekuwa nikileta story ya huyu mwanaume ni kama huu ni uzi wake wa 4 ama wa 3 nikihitaji ushaurii kuhusu mahusiano yetu mimi na yeye.. ninafikiri Leo Hii ndio itakuwa mara ya mwisho kumjadili humu na maamuzi nitayafaya kupitia huu uzi wa Leo Hii ( kuachana ama kubaki nae )...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.