Sio Kila point ya JITU BANDIA NI BANDIA!
Wahunii!.... Niaaje!
Siku hizi mazee ndoa nyingi zinaishia kuvunjika tu kimasihara...msemo wa rickyboy... kutokana na sababu shazi tu ( nyingi), hususan kutokana na ugomvi ndani baina ya wanandoa.
Japo haipaswi kuwa siri kiviile baina ya wanandoa...
Gordon Moore amefariki ijumaa 24.03.2023 akiwa na miaka 94.
Moore alianzisha intel mwaka 1968 akiwa na mwenzake Robert Noyce.
Kabla Moore aliwahi kufanya KAZI kwenye kampuni ya Shockley semiconductor kampuni ya mvumbuzi wa transistor na baadae wakamsaliti kisha kuanzisha kampuni ya Fairchild...
Habari za wanga! Muda ni 1:00 usiku wa manane, mbalamwezi na nyota zinaonekana vizuri kabisa. Nimeamua kuzima kabisa main switch, ili kuwe na giza totoro.
Nimechukua mahitaji yangu ambayo niliambiwa lazima uwe nayo, yaani kichana, tufani na kioo. Mimi nikaongeza mishumaa, uwaridi nyekundu na...
Ewe mwanaume, kamwe mwanamke asikwambie kuwa hawezi kukutunuku mpaka pale mtakapofunga ndoa. Usikubali.
Inaweza tokea mkashindwa ku match code. Unaweza kuwa aina ya mwanaume unayesukuma ukuni kwa muda mrefu, kumbe mkeo akawa ni wa dakika tatu hoi ukajikuta ishakula kwako. Hii ilinifanya nioe...
Wazee hakuna binadamu amezaliwa na roho mbaya tunafundishana nimeamini.
Leo ndoa haikaliki kisa tu msaada na huruma yangu iliniponza, kiukweli nilimla siku 1 ila sasa anaharibu nyumbani. Hela yangu ameshanilipa sasa balaa ni hapo anasema nilimhonga na anatamba kwa mke wangu yeye ni mke mwenza...
Mwambie :-
1. Umepata kansa au kisukari au ukimwi.....ukiona anaanza kukukwepa vunja uchumba haraka sana.
2. Mwambie umepoteza kazi au biashara yako imekufa. Hata Kama anaijua biashara yako ilipo mpige saundi kwamba imechukuliwa na inaendeshwa na waliochukua. Ukiona anapoozesha mapenzi vunja...
Salaam wana fikra pevu.
Je, unaweza kueleza ni eneo gani ulikutana na mwenza wako kwa mara ya kwanza, pia je ni kweli kwamba tabia na mwenendo wa mwenza (mke/mume) hutegemea zaidi na sehemu (mf. Kanisani, sokon, baa...etc) mlipokutana kabla ya kuanzisha mahusiano?
Mwisho kabisa, ni sehemu...
Mada ya leo inawagusa walio katika ndoa na wale wanaotarajia kuingia. Unapoingia kwenye ndoa kitu cha kwanza ni kufikiria jinsi ya kuilinda kwa gharama yoyote. Kuingia kwenye ndoa na kutoka baada ya muda mfupi ni kujitafutia gundu lisilo na sababu.
Tunapogeukia suala la ulinzi wa ndoa yako...
Habari za majukumu,
Nimewah Kupost hapa kutafuta Mwenza lakini bado sijapata na naendelea kuwa mpweke wa mahusiano.
Mimi ni mwanaume wa miaka 35, mferu kiasi sio mnene sio mwembamba, nafanya biashara za kawaida na naishi maisha ya kawaida.
Najua kupenda na napenda kupendwa pia.
Nitafurah...
Ukisoma threads nyingi hapa jukwaani zinahusu mahusiano ya wanandoa, utagundua kwamba wengi waliingia bila kujua ni nini hasa walipaswa kufanya kabla ya kufikia maamzi mazito ya kuoana.
Niwaombe mliopo kwenye ndoa mtusaidie mambo kadhaa tunayotakiwa kujua hasa wakati wa uchumba na je, uchumba...
Bwana yesu asifiwe!
Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.
Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro. Nina Bachelor Degree ya Medicine niliyoipata Chuo cha Muhimbili na pia nina Masters Degree ya Medicine specialise kwa watoto kwa...
Nina miaka 40+, elimu Shahada ya miaka 15 iliyopita. Nina shughuli zangu binafsi, naishi DSM, na wakati mwingine husafiri kwenye shughuli zangu za kikazi.
Nahitaji mwenzi ambaye kadri tutakavyofahamiana ndivyo tutajua kama tunaweza kuwa wachumba au laah. Kwa maana tunahitaji kuamua kwa pamoja...
Kwema Wakuu!
Leo sina mengi ya kuandika,
Watoto wanaimani kuliko watu wazima. Sio ajabu wakaona mambo ni rahisi. Imani ndio kitu pekee kitakachokufanya uone maisha ni Rahisi. Ukiona unayaona maisha ni magumu basi elewa tayari ushaanza kukomaa kiakili. Hiyo ni ishara Namba moja ya mtu...
Sina nia ya kutiririka wala kuperform kazi ya motivational speakers ila kwa niliyojionea, ningependa kufikisha ujumbe fulani.
Niliachana na mwanamke wangu sababu alikuwa mkavu hadi kero. Baada ya round 1, nyingine zote ni mwendo wa kujichubua tu, a perfect no 11 shape. Nikaanza harakati za...
Habari wadau, Mafarisayo, wapambanaji, watafutaji bila kusahau wachakataji. show yangu mbovu kuliko zote ni mwenda zake aligoma kusimama kabisa bustani ya eden nilivuta bangi na hisia zote lakini wapi wala hakutikisika.
basi binti alituma sana salamu BJ lakini wapi sijui mizimu ilitaka...
Harakati za hela ya umeme nyumba za kupanga zenye kushare Luku.
Few years ago, nilipanga chumba, wapangaji tulikua wawili na mtoto wa mwenye nyumba, kwakua mtoto wa mwenye nyumba alikua anatatizo la akili, tulimtoa katika kuchangia umeme, pia hakua na matumizi makubwa.
Mwanzoni mambo yakawa...
Habari za Jioni ndugu zangu wote!
Nimekuja na ID mpya kwa sababu nayotumia nadhani imekuwa maarufu sana hapa na ni ya siku nyingi.
Naanza maisha mapya sasa, nimeshaamua na nimeshamaliza ujana nina miaka 34 sasa, nina mtoto wa kiume miaka 9 sasa, nimekuwa na uzoefu wa familia sababu mimi ni...
Ni kijana umri miaka 35, Elimu yangu diploma, sijawahi kuoa nipo Dar, dini mkristo. Bado natafuta mwenza wa kike umri miaka 28-32, awe anajishughulisha, awe mkristo, awe anakaa Dar. Aliye tayari anitafute inbox
Sifa za baby wangu😅😅 nimtakae:
Muislam
Kuanzaia miaka 34 na kuendelea
Mrefu wastani
Mstaraabu na mcheshi
Ukiwa na watoto sawa
Aijue dini kiasi
*Sifa zangu ni miaka 34, mweupe kiasi, nina mtoto mmoja, niliwahi olewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.