Sijui sana kuhusu awamu nyingine za uongozi, lakini nimemuona Kikwete, nimemuona Magufuli, na sasa namuona Samia.
Kati ya Marais hao, siajona aliyepitia mambo mazito ndani ya muda mfupi kumzidi Samia:
1. Kuchukua uongozi kufuatia kifo cha mtangulizi wake.
2. Suala la Corona. Huu umekuwa...