mzigo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Komeo Lachuma

    Hili ndo jukumu kubwa la Mwanaume Kiasili. Mengine ni kuzidishiwa tu na kupewa Mzigo. Tujitambue

    Binadamu tuna asili ya wanyama kiasi flani. Na tabia nyingi za Wanyama zinahusiana na Binadamu. Kiasili suala la kulea watoto ni la Wanawake. Ndiyo. Wanaume kazi yao ni kutia mimba halafu wanapaswa waendelee na safari zao. Yaani kama umetoka Dar kwa miguu unaenda Tanga. Basi wewe kila kijiji...
  2. Narumu kwetu

    Ujerumani: Euro bilioni 65 kutolewa kwa wananchi kukabiliana na gharama za maisha

    Huwa tunawaambiaga watu waache fikra za kimaskini kuhusu mataifa ya magharibi ,jamaa wameshusha zigo la trillion zaid ya mia,kibongobongo tunaila miaka 3. Huwa nashindwa kuwaelewa baadhi ya watu wanawachukulia poa sana haya mataifa ya west,kiufupi hawa jamaa walishaendelea sana kimaisha...
  3. Gotzon

    Serikali ingefanya haya kama mbadala kuwatua wananchi mzigo wa tozo

    Kuweka usimamizi mzuri wa fedha za umma, kuhakikisha fedha zote zitokanazo na ushuru, madini, utalii na kodi mbalimbali zinaingia mahali stahiki. Kupunguza matumizi na gharama zisizo za lazima kama kununua magari ya gharama kubwa, safari zisizo za lazima kwa viongozi, na kupunguza misururu ya...
  4. L

    Nchi za Magharibi ndio wahusika wakuu wa mzigo wa madeni wa Afrika

    Katika miaka ya hivi karibuni, kutokana na changamoto mbalimbali, mzigo wa madeni wa nchi za Afrika umeongezeka. Baadhi ya nchi za magharibi zinadai kuwa China ndio inaibebesha Afrika “mtego wa madeni”. Lakini ukweli ni kwamba, nchi hizo ndio wahusika wakuu wa mzigo wa madeni wa Afrika. Katika...
  5. kaligopelelo

    Azzan Zungu, umetubebesha mzigo wa tozo watanzania

    Wewe ndo ulipeleka bungeni kwa mara ya kwanza pendekezo hili la tozo. Umesababisha watanzania tuwe tunalipa kodi mara mbili mbili. Umefungua mlango ambao kila mtu mwenye roho mbaya na roho ya wizi waanze kupita kwenye mlango huo. Nisiongee Sana niende tu moja kwa moja kwenye lengo. Binafsi...
  6. M

    Aliachana na mumewe baada ya kupima HIV yeye akaonekana hana maambukizi. Anataka anipe mzigo. Je nipige?

    Waliishi na mumewe kwa zaidi ya miaka 15. Sasa wameaachana kwa talaka na hii ni baada ya wote kupima na mke akabainika hana maambukizi huku mume akiwa Hiv positive. Nimeomba mzigo kasema fresh. Sasa hofu yangu ni kula mzigo wa namna hii.
  7. MK254

    Mzigo wa HIMARs nne zaidi kutua Ukraine kwa ajili ya kuendeleza mateso kwa Urusi

    Haya madude yamesababisha Warusi wapoteane, wanayasaka usiku na mchana, bado hawajatulia kuna mzigo mwingine unafaulishwa wa HIMARS nne... U.S. Defense Secretary Lloyd Austin on Wednesday announced the United States will provide Ukraine with four more M142 High Mobility Artillery Rocket Systems...
  8. HUKU ABROAD

    Uzi kwa wanao nunua spare za magari mzigo chimbo bei chee , CV joint za magari yote

    Obs Company tupo kwenye wiki ya CV JOINT Karibuni wote wana JF wanaopenda kununa spare za magari kwe bei ya Jumla , Mzigo wa CV joints umeishaingia Dukani karibuni dukani kwetu mjipatie Spare za Magari kwa bei ya jumla sawa kama bure Spare zetu za magari ni Mpya kabisa na imara kwa matumizi...
  9. JanguKamaJangu

    Malori manne ya mafuta yakamatwa yakiingiza vipodozi vilivyopigwa marufuku Nchini, mzigo umetokea DRC

    Malori manne ya mafuta ya Kampuni ya Lake Oil yamekamatwa Mkoani Songwe yakiwa yamebeba shehena ya vipodozi vilivyopigwa marufuku Nchini ambayo yalikuwa yakitokea DRC huku madereva wa magari hayo wakiyatelekeza. Meneja Ukaguzi wa Kampuni ya Lake Oil, Ali Sharif amesema magari yao yana mfumo wa...
  10. sky soldier

    Ulifanya nini mwanamke alipotishia kupiga kelele kuwa unambaka baada ya kukataa kufanya mapenzi?

    Nimewaza tu hapa, Dem ni kama tayari unaona mmeshapatana upande wa pwani kinchosubiriwa ni kwenda baharini kuvua, Ila cha ajabu anakuja mpaka chumba unacholala au mnaenda lodge ila anakataa kutoa mbususu ..... ile umeanza kama kulazimisha hivi analeta ubishi hataki na anatishia kupiga kelele...
  11. GENTAMYCINE

    Sasa ni rasmi Mzigo Umekata, Aziza Kazimaliza zote Boss hakutoa Hela, ila Wabunge ndiyo walichangishana Kuokoa Jahazi

    Na Wabunge waliojichangisha wamesema wanataka 'Siku ya Wananchi Wapuuzi' tarehe 6 August 2022 warejeshewe Pesa zao vinginevyo watalikamata Basi au watagawana Makombe yote yakakae Kwanza Makwao hadi walipwe Chao.
  12. kmbwembwe

    Sekta binafsi isije kuwa mzigo kwa umma kutokana na mtazamo wa Rais Samia

    Kila nikimsikiliza rais Samia kuhusu mtazamo wake kushirikisha sekta binsfsi kutoa huduma kwa umma nakua na mashaka. Sekta binafsi ni watafutaji wa faida. Dhana ya kusema serikali ishirikiane na sekta binafsi kutoa huduma kama afya elimu etc lazima itafsiriwe vyema isiweze kutumika vibaya...
  13. More Chances

    Kaja nyumbani kwangu halafu kakaza kutoa mzigo

    Demu tulikutana kwenye mishemishe za kutafuta Door, longtime ago , japo hatukutongozana ila tulikuwa na intimacy , jana namchek kama masikhara njoo ntembelee na akaja kwel tena usiku, demu nimelala nae kitanda kimoja godoro moja ila kakaza kabisa kutoa mzigo. Anasema kila muhuni akimchakata...
  14. GENTAMYCINE

    Ulipowalundikia Watanzania na ''Mitozo' yako hukuona kuwa unawapa Mzigo? Unafiki wako na Tamaa zako zitakugharimu pakubwa mno?

    "Napendekeza yeyote aliyeko kwenye nafasi ya kuteuliwa, akitolewa lakini akabaki kwenye utumishi wa umma, arejee pia kwenye mshahara aliokuwa analipwa kabla ya kuteuliwa, hii itawapunguzia mzigo watanzania".Waziri Nchemba. Chanzo: ITV Tanzania Yaani kuna muda huwa hata navidharau na hivi Vyuo...
  15. K

    Nchi ya Poland yajitwika mzigo wa madeni ili kujiimarisha kijeshi

    Kwa kile kinachoonekana kama kupaniki,kujishtukia & kupatwa na uoga nchi maskini ya Ulaya,Poland imeamua kufanya maamuzi ya ajabu ya kutumia mbinu zozote zile ikiwemo kukopa hovyo ili kuliimarisha jeshi lake na kujiweka tayari kwa uvamizi wa super power Russia Kwa sasa nchi ya Poland imeamua...
  16. Lord denning

    Ujinga na Ushamba ni mzigo sana kwa Watanzania

    Bado nasema na nitasema daima , kati ya jambo ambalo bado serikali imefeli kupambana nalo ni ujinga na ushamba na ukitaka kuona nchi hii wajinga ni wengi sana basi fuatilia mijadala ya humu JF Leo Mama Samia kafanya kikao na wafanyabiashara wa Oman na ameelezea fursa ya kusafirisha wanyama hai...
  17. L

    Usafiri wa boda: Abiria just mzigo chini

    Abiria hana woga wa ajali.
  18. KISUNZU YP

    Nataka kuagiza mzigo Alibaba

    Wadau habari za leo naomba kupata majibu. Nina mpango wa KUAGIZA MZIGO wa mashine ya kusaga karanga. Je, nitaibiwa au ni salama mizigo itafika?
  19. Mathanzua

    Kwa wasioweza kuchuja ukweli na utapeli, mzigo mwingine huu hapa:CDC wame-prove kisa cha kwanza cha Monkey Pox US

    The Centers for Disease Control and Prevention (CDC) and the Texas Department of State Health Services says it has confirmed the first case of Monkey Pox in the US on July 15. This was detected in a U.S. resident who recently traveled from Nigeria to the United States. The person is currently...
  20. The Sunk Cost Fallacy

    Serikali punguzeni utitiri huu wa Taasisi ni mzigo kwa walipa kodi

    Nawasalimu kwa jina la JMT..na Kazi iendelee. Ifike wakati serikali ichukue maamuzi magumu na yenye tija kwa Taifa kwa kupunguza utitiri wa Taasisi zake zilizo chini ya Wizara mbalimbali. Ukiacha kwamba hazina tija kwa Nchi bali ni mzigo mkubwa sana wa walipakodi wa Tanzania kwani zinaongeza...
Back
Top Bottom