mziki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Masokotz

    Je, wewe ni whole saler wa Bidhaa zifuatazo?

    Habari za wakati huu wakurugenzi? Wanahitajika Wauzaji wa Jumla wa bidhaa zifuatazo ambao wanauwezo wa kussuply mzigo wa thamni yoyote kwa bei ya Jumla.Iwapo unao uwezo wa kussuply kiasi hicho cha mzigo tafadhali tuma mawasiliano yako kwa email:masokotz@yahoo.com.Zingatia kwama ni lazima uwe ni...
  2. Dong Jin

    Naitabiria EP ya First Of All ya Diamond Platnumz kuvunja rekodi mbalimbali Afrika

    Ijumaa hii ya tarehe 11, Diamond Platnumz anaachia ep yake ya kwanza tokea aanze mziki... Ep hiyo kaipa jina la FOA (First Of All) ambayo hash tag yake #FOA imejizolea umaarufu kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii Kwa kuangalia mapokezi ya jina tu, basi naamini hii ep itaenda kuacha historia...
  3. leonaldo

    Pamoja na Watanzania kumlaumu Magufuli, Wakenya walimkubali sana

    Licha ya kuwa wapo watanzania wanamlaum Rais John Pombe Magufuli kwa mambo kadhaa lakini huko nje ya mipaka yetu Kuna watu wanamkubari Sana kwa jitihada zake za kuliletea taifa letu miradi ya kutukuka na kuheshimika kimataifa katika kipindi kifupi alicho kaa madarakani. Somo tujifunze...
  4. H

    Kurudishwa kwa Tuzo za mziki nchini nini Maoni yako?

    Tahasisi ya Basata imeamua kurudisha tuzo za wanamziki ambazo kipindi fulani zilishindwa kufanyika kutokana na sababu mbalimbali.Ukiwa mdau mkubwa wa mziki wa Tz unaishauri Basata nini wafanye ili tuzo hizi ziwe Bora na ziwe na muendelezo mzuri? Nimeona Basata wameita baadhi ya wasanii wakubwa...
  5. Mr_Plan

    INAUZWA Sabufa aina ya Alitop

    Natuma ni wazima wa afya,Nilikuwa na naitaji kununua sabufa katika pita pita nimekutana nahii sabufa kwa mwenye kuifahamu vizuri anipe mrejesho kabla sijayavagaa
  6. Joss

    Kero: Baa ya La Patrona, Nkuhungu - Dodoma, inapiga muziki usiku kucha

    Kuna hii baa ya La Patrona, karibu na kanisa la Katoliki, Nkuhungu, Dodoma. Iko vizuri kimazingira ila inatupa kero wakazi wa jirani. Inapiga mziki mnene kila siku kuanzia mida ya saa nne hivi hadi saa kumi hivi usiku, tena yupo na DJ anapiga kelele mno. Kuna uzi uliletwa siku chache zilizopita...
  7. sky soldier

    Ni kitu gani kilipoteza muziki mzuri wa Kenya?

    Nakumbuka back in 2000s hapa bongo tayari bongo flava ilikuwa imebamba lakini bado tulikuwa tunakita ngoma za Kenya kwasababu zilikuwa za moto si mchezo. Nakumbuka wasanii waliokuwa wanatoa ngoma kali kina e sir (rip), nonini, nameless, prezzo, nazis, n.k Enzi hizo hata kwenye awards za...
  8. LUKAMA

    Ukuaji wa mziki wa Afrika. Hakika tunakua na kusonga mbele

    Habari za kazi wa kuu katika jukwaa langu pendwa, kwanza natoa pole kwa member wote kwa kuondokewa na mtu muhimu katika jukwaa hili warumi simfaham sura ila kwa taarifa nilizo pata ni home boy kabisa.😭😢 Mimi nimdau wa mziki wa Afrika wa kizazi kipya kwa kitambo kirefu toka miaka ya 90 mwishoni...
  9. Francis fares Maro

    Rayvanny nimekunyanyulia mikono

    Wakati mwengine ukweli usemwe, nilikua nadhani mziki wetu umepoteza dira kwasababu ya kiki, skendo na mambo mengine yasiokua na maana na tena yanaharibu kabisa watoto wetu huko uswahilini. Tokea Jana nimekua nasikiliza nyimbo nzuri sana za kijana huyu, tungo zake aisee, nimeangalia videos duh...
  10. Capsicum

    Ni wakati sasa wa kufanyia close monitoring muziki wa singeli

    Huu mziki kiukweli unatakiwa kuangaliwa kwa jicho la pekee kwani unaenda kuharibu maadili/ utamaduni wetu. Hebu cheki haya mashairi ya wimbo wa Snura akimshirikisha MSAGA SUMU . Msaga sumu: Naomba uniruhusu kupita snura usinibanie mie, naomba uniruhusu kupita snura...
  11. Naanto Mushi

    Rayvanny angalia muziki wako usife maskini. Mwenzako Harmonize ana lebo tayari

    Nataka kumkumbusha Rayvanny asi concentrate sana na Papuchi akasahau mziki wake, akumbuke yeye bado ni muajiriwa wa label ya wasafi, asipofanya kazi hali... Sasa yeye aendelee kutangatanga na huyo mtoto wa kike asahau kwenda studio kufanya kazi. Mwenzake Harmonise ile label yake ana uhakika wa...
  12. sky soldier

    Diamond Platinumz tunakushukuru, Umeamsha vijana wengi walioridhika na mafanikio

    Kijana Diamond Platnumz ni msanii ambae ni fundisho sahihi la namna halisi la jinsI ya kuwa na maendeleo one step at a time, kutumia connections za watu (networking) na kuji brand, pengine niseme wasanii wengi wapo kwenye kiwanda cha muziki ila huyu jamaa yupo kwenye kajiongeza mpaka kwenye...
  13. Slowly

    WCB Wasafi kiwanda Bora cha mziki mjini

    Watanzania tumejaaliwa majungu chuki na wivu , hzo ndizo zawadi Bora kabisa tulizoachiwa, na Kwa kweli tupo vizur na tunazitendea haki,.....thus why Sisi ni moja kati ya nchi kumi zenye umaskini wa kutupwa duniani, .... hata hvyo katika sekta ya burdani Tanzania, WCB isifananishwe na utopolo...
  14. TheDreamer Thebeliever

    Diamond Platnumz mziki sasa inatosha, kastaafu kwa heshima ukimbilie kwenye siasa

    Habari wanabodi, Ushauri kwa ndugu yetu Diamond Platinum naona sasa taa nyekundu kwake imeanza kuwaka ni kiashiria kwamba mwisho wa muziki wake umekaribia au kama sivyo basi anatakiwe akaboost kidogo mambo kwa babu, itakuwa alijisahau huwa watu wana renew kwa babu kila mwaka. Kwa sasa naona...
  15. REJESHO HURU

    Makundi ya mziki na viongozi

    Tuanze 1.EAST COAST Wametoa mbunge FA 2. Hard blasters Walitoa mbunge Prof Jay 3.weusi Wametoa DC Nick wapili 4. Daz nundaz Wametoa mateja mnawajua 5.Tmk Wametoa diwani mkubwa fela 6. WCB Wametoa mbunge Babu tale 7. Tip top connection Wametoa mapunda mnawajua Ebu endelea wewe hapo
  16. Ferruccio Lamborghini

    Wasanii ambao mziki ulisababisha wapoteze majina yao ya asili

    Imekuwa ni kawaida kwa kampuni, taasisi na mashirika makubwa duniani kote kubadili majina kutokana na sababu za kibiashara, kubadilishwa kwa lengo la uanzishwaji wake au kuuzwa kwa mmiliki mwingine. Hilo pia hujitokeza kwa wasanii wa muziki, filamu na mitindo kwa lengo la kuimarisha chapa zao...
  17. albab

    Hivi WAKUU tuna mziki wa aina gani karne hii

    Sikupata nafasi ya kusikiliza audio ya KELEBE ya RAYVANY.... Basi nkaona si mbaayaaa kuangalia video nipate pia wasaa wa mashairi pia. LAHAULAAAAAAAAA...... Pengine ndo mziki mzuri kizazi hiki ila mimi HAPANA.
  18. 0ozg Tz

    Wataalamuwa kutengeneza beat na wapenzi wa muziki njooni

    Kuna huu wimbo wa Jay Helody-huba hulu. Sound yake nakuwa sielewi elewi, kila nikijaribu kuuweka naona unatoa sound ya ajabu, najaribu ku-equalizer lakin bado sound inayotoka haisound poa. Sasa nazani labda itakuwa producer alikosea au studio ilikuwa na vyombo vya kawaida. Unasound kama...
  19. Forest Hill

    Historia ya muziki wa kizazi kipya na chimbuko la neno Bongo Fleva

    Disclaimer:imesimuliwa na Martin Izze Chimbuko la muziki wa kizazi kipya tanzania na maana halisi neno Bongo Flava (SEHEMU YA KWANZA) Moja kati ya mambo niyapendayo mno maishani ni muziki.Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa muziki si tu ule wa nje lakini kwa karibu ule wa nyumbani hasa muziki...
  20. U

    Hivi Kuna mziki wowote wa Diamond mkali kuliko Kwangwaru?

    Naulizia tu, Mana sioni kiukweli kabisa, na siongelei views hapa
Back
Top Bottom