Nawasalimu nyote kupitia jina kuu lipitalo majina yote duniani na mbinguni.
Kama kichwa cha Uzi kinavyo jieleza, nahitaji gari dogo lililotumika Kwa bajeti isiyozido ml. 6.6
Aina ya gari ninazopendelea ni Spacia, raum, runx/allex, probox/succeed, premo na ractis.
Kama unayo, nitumie dm picha...
Kama kichwa cha habari kinavyo sema kutokana na changamoto za safari za utafutaji na kukaa muda mrefu nje ya familia nahitaji mke wa pili mimi ni muislam nae jitahid kufuata maadili ya kiislam kabila mnyamwezi /msukuma umri sasa miaka 39 makazi ya familia yangu dar mwanamke nnae muhitaji
Awe...
Nahitaji Flash USDT iwe kwenye Moja ya wallet zifuatwzo
We can take trc20 or erc20 in
Binance wallet
Exodus wallet
1inch wallet
Na iwe na sifa zifuatazo
Flash USDT Features
Transferab
Convertible
Breakable
Splittable
Validity 90 days
Contact Whatsapp +254 731 908729
Kwenu wakubwa kwa mwajina Hamisi Ally
Elimu kidato cha sita (06)
Makazi: Dar,mabibo
Miaka:25
Kijiwe:kariakoo
Mwenye connection itakayoniwezesha kupata pikipiki ya mkataba
naomba tuwasiliane
0685176087
Maisha ni kupeana fursa
Pia kama kuna ajira yoyote nipo tayari kufanya
Vijana wengi hapa Mchamba Wima wamekimbilia Marekani, Canada na UK kutafuta maisha. Mimi naona wamepotea.
Mimi nataka kwenda Iran au Saudi Arabia naamini Waarabu na Waajemi watanipokea na kunipa mke nioe ili niweze kupewa ukaazi wa kudumu.
Ikiwa wale walioenda marekani, canada na uk wameoa...
Habari wadau .
Kwa mwenye mali tajwa hapo juu naomba tuwasiliane. Iwe inafanya kazi au haifanyi bado Nina uhitaji nayo.
Pia radio calls za kwenye magari nazo pia nahitaji pamoja na antena zake.
Kama unazo karibu.
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 40. Nipo iringa. Nina mtoto mmoja. Ninahitaji mke mwenye umri kuanzia 30 mpaka 35. Awe hana mtoto au single maza with one kid. It's fine. Njoo DM tuyajenge
Kwa anaejua sehemu naweza kupata material za kutengeneza viatu kariakoo yaani ngozi, leather, last, gundi,uzi n.k naomba anielekeze.
Kuna sehemu nameelekezwa tatizo ni mbali sana ivyo nakosa muda na biashara za kuigiza huwa siziwezi napendelea zaidi nifike mimi mwenyewe dukani kuikagua na...
Naombeni msaada wa uelewa kuhusu online courses, nahitaji kusoma online je niwapi nitapata course za online ambazo nitakuwa certfied?
Na je hizi course gharama yake ikoje? Je ziko kozi za bure mitandaoni ambazo ukisoma unaweza kupata ujuzi fulani?
Ni site zipi nitapata hizo kozi?
Kama title inavosema wakuu
Nataka kuwa developer mnaweza kunsaidia sehemu ya kuanzia
Kama kuna website au group Fulani mnaweza kushare nami.
Mungu awabariki🙏
Ndiyo hivyo, dalali - Dereva tuwasiliane 0734189022
Mzigo unajaa kama ki Toyoace kwa makadirio, vitu vya ndani na pikipiki. vimepakiwa fresh kwenye maboksi zaidi.
Mbeya to Moshi
Tuwasiliane.
Mimi ni ME
Umri 30+
Naishi -Dar es Salaam
Kazi -Mjasiriamali
Mwenye utayari
Awe KE
umri : 30<
Elimu : kusoma na kuandika tu
Makazi : Dar es Salaam
Loading............
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.