nahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Trinity

    Nahitaji gari dogo la kununua kwa bajeti isiyozidi milioni 6.6

    Nawasalimu nyote kupitia jina kuu lipitalo majina yote duniani na mbinguni. Kama kichwa cha Uzi kinavyo jieleza, nahitaji gari dogo lililotumika Kwa bajeti isiyozido ml. 6.6 Aina ya gari ninazopendelea ni Spacia, raum, runx/allex, probox/succeed, premo na ractis. Kama unayo, nitumie dm picha...
  2. madindigwa

    Nahitaji mke wa pili

    Kama kichwa cha habari kinavyo sema kutokana na changamoto za safari za utafutaji na kukaa muda mrefu nje ya familia nahitaji mke wa pili mimi ni muislam nae jitahid kufuata maadili ya kiislam kabila mnyamwezi /msukuma umri sasa miaka 39 makazi ya familia yangu dar mwanamke nnae muhitaji Awe...
  3. makorere

    Nahitaji Flash USDT

    Nahitaji Flash USDT iwe kwenye Moja ya wallet zifuatwzo We can take trc20 or erc20 in Binance wallet Exodus wallet 1inch wallet Na iwe na sifa zifuatazo Flash USDT Features Transferab Convertible Breakable Splittable Validity 90 days Contact Whatsapp +254 731 908729
  4. K

    Nahitaji pikipiki ya mkataba au kazi yoyote halali

    Kwenu wakubwa kwa mwajina Hamisi Ally Elimu kidato cha sita (06) Makazi: Dar,mabibo Miaka:25 Kijiwe:kariakoo Mwenye connection itakayoniwezesha kupata pikipiki ya mkataba naomba tuwasiliane 0685176087 Maisha ni kupeana fursa Pia kama kuna ajira yoyote nipo tayari kufanya
  5. Wernery G Kapinga

    Nahitaji Baiskeli

    NATAFUTA BAISKELI kwa ajili ya Mwanangu kwenda shule Kidato Cha kwanza. Budget yangu ni Tsh. 70,000/= Nipo Kilombero Morogoro
  6. Dilan

    NAHITAJI MCHUMBA (MWANAMKE)

    Natafuta mchumba. Mwenye miaka 25-35 Mwenye umbo na haiba ya kike. Aliye tayari kuanza maisha na mimi anifikie inbox. Karibu sana
  7. Vichekesho

    Toka Mchamba Wima hadi Iran, nahitaji kwenda kutafuta maisha

    Vijana wengi hapa Mchamba Wima wamekimbilia Marekani, Canada na UK kutafuta maisha. Mimi naona wamepotea. Mimi nataka kwenda Iran au Saudi Arabia naamini Waarabu na Waajemi watanipokea na kunipa mke nioe ili niweze kupewa ukaazi wa kudumu. Ikiwa wale walioenda marekani, canada na uk wameoa...
  8. D

    Nahitaji radio calls used

    Habari wadau . Kwa mwenye mali tajwa hapo juu naomba tuwasiliane. Iwe inafanya kazi au haifanyi bado Nina uhitaji nayo. Pia radio calls za kwenye magari nazo pia nahitaji pamoja na antena zake. Kama unazo karibu.
  9. Y

    Nahitaji shamba maeneo ya kibaha/mlandizi/vigwaza

    Wapendwa wapi ninaweza kupata shamba hata kama sio kubwa saana lakini maeneo hayo hapo niliyoyataja na je nitapata kwa bei gani.
  10. GANG MO

    Nahitaji mke miaka 30-35

    Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 40. Nipo iringa. Nina mtoto mmoja. Ninahitaji mke mwenye umri kuanzia 30 mpaka 35. Awe hana mtoto au single maza with one kid. It's fine. Njoo DM tuyajenge
  11. Natafuta Ajira

    Nahitaji material za kutengeneza viatu.

    Kwa anaejua sehemu naweza kupata material za kutengeneza viatu kariakoo yaani ngozi, leather, last, gundi,uzi n.k naomba anielekeze. Kuna sehemu nameelekezwa tatizo ni mbali sana ivyo nakosa muda na biashara za kuigiza huwa siziwezi napendelea zaidi nifike mimi mwenyewe dukani kuikagua na...
  12. D

    Mbolea gani ya kunyunyizia (Foliar fertilizer) inayofaa kwenye shamba la nanasi?

    Nimepanda shamba la nanasi. Huu ni mwaka pili. Nimeshaanza kuvuna. Nahitaji kuongeza/kuweka mbolea ya kunyunyizia [Foliar fertilize]. Ni ipi inayofaa?
  13. Magical power

    Nahitaji single mother miaka 32_50

    Nahitaji single mother miaka 32_50
  14. wa kibondemaji

    Nahitaji kusoma kozi za Mtandaoni

    Naombeni msaada wa uelewa kuhusu online courses, nahitaji kusoma online je niwapi nitapata course za online ambazo nitakuwa certfied? Na je hizi course gharama yake ikoje? Je ziko kozi za bure mitandaoni ambazo ukisoma unaweza kupata ujuzi fulani? Ni site zipi nitapata hizo kozi?
  15. jangos

    Nahitaji kujifunza Programming

    Kama title inavosema wakuu Nataka kuwa developer mnaweza kunsaidia sehemu ya kuanzia Kama kuna website au group Fulani mnaweza kushare nami. Mungu awabariki🙏
  16. TheForgotten Genious

    Nahitaji kujua sehemu ama taasisi zinazotoa mafunzo ya matumizi sahihi ya silaha

    Wakuu naomba anayefahamu taasisi zitoazo mafunzo ya matumizi ya silaha hasa binafsi kwa hapa Dar
  17. Uhakika Bro

    Nahitaji usafiri wa lori Mbeya kwenda Moshi - Nahamisha wiki hii

    Ndiyo hivyo, dalali - Dereva tuwasiliane 0734189022 Mzigo unajaa kama ki Toyoace kwa makadirio, vitu vya ndani na pikipiki. vimepakiwa fresh kwenye maboksi zaidi. Mbeya to Moshi Tuwasiliane.
  18. E

    Nahitaji kugawa sehemu ya uhuru wangu

    Mimi ni ME Umri 30+ Naishi -Dar es Salaam Kazi -Mjasiriamali Mwenye utayari Awe KE umri : 30< Elimu : kusoma na kuandika tu Makazi : Dar es Salaam Loading............
  19. God knows

    Nahitaji Nissan X-Trail

    Nahitaji Nissan X-Trail ya 2010 used. Nina bajeti ya 9m. Unaweza kunitumia PM
Back
Top Bottom