nahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lexus SUV

    Nahitaji kontena la futi 40

    Habari wandugu . Nahitaji kontena la futi 40. Lenye hali nzuri ....nipo moshi mjini.-kilimanjaro Kama unalo wasiliana nami.....0672701329 Asante.
  2. Chief Kumbyambya

    Mshamba wa jiji nahitaji msaada wa kufika maeneo haya

    Nimetoka zangu Tukuyu Mbeya nimekuja na scania mende na humo nilijaza mzigo wa ndizi matoki wote wangu na nimefanikiwa kuuza jana wote soko la mabibo nina kakibunda kanene kiasi na lengo la kujaza scania mende hii ni kwa ajili kuweza kufanya matanuzi na kukamata wachumba kede kede wa daslam...
  3. Reptilia

    Msaada: Nimefuta Xender na Miziki yangu pia imefutika

    Wakuu kama ilivo ainishwa hapo juu, MSAADA ninao hitaji nikwamba Jana KWENYE harakati za kwny 1 na 2 nmejikuta nimelifuta file la Xender kwenye simu yangu lakini Cha kushangaza sasa zile MIZIKI nilizokuwa nmezihamishia kwenye hii cm KUPITIA hii Xender kuja kwenye simu yangu nilioifuta ki...
  4. Mung Chris

    Nahitaji mwanasheria mbobezi

    Wana jamvi, nahitaji mwanasheria tutagawana mapato, kuna kampuni nahitaji kuipeleka mahakamani wanilipe fidia sasa sina pesa za kumlipa mwamasheria ila tutakula wote kitakacho lipwa.
  5. J

    Nahitaji kazi/ ajira

    Habari za wakati huu. Majina yangu ni XX ni msichana wa miaka 25 ninaishi temeke Dar es salaam. Mimi ni mhitimu wa elimu ya chuo kikuu mwaka 2022 katika kituo kilichokuwa kinaitwa “TANZANIA-MOZAMBIQUE CENTRE FOR FOREIGN RELATIONS” lakini kwa sasa kinaitwa “ DR. SALIM AHMED CENTRE FOR FOREIGN...
  6. E

    Nahitaji mafuta ya mbegu za zabibu(Grapeseed oil)

    Wakuu, Sehemu gani naweza pata haya mafuta kwa ajiri ya kupaka Nimejaribu kuulizia kwa baadhi ya maduka ya vipodozi sijafanikiwa Asanteni
  7. TZ-1

    Nahitaji engine ya pikpiki 125cc

    Huku tumechanganyika acha tutumiane kama fursa Nahitaji engine ya pikipiki yenye uwezo wa cc 125, kipaumbele ni aina za pikipiki hizi Sinoray Fekon Boxer Engine iwe mpya haija guswa ndan offer 2500,00/ 350,000/- Isiwe na vipengele
  8. S

    Nahitaji kuanzisha biashara ya dagaa waliokaangwa kutoka Bukoba - Dar, natafuta soko na partnership wa kuuza hii bidhaa yangu

    Habari ndugu, kama kichwa Cha tangazo kilivyoandikwa nahitaji kuanzisha biashara ya kuuza dagaa waliokaangwa kutoka Bukoba -Dar hivyo nahitaji watu wa kushirikiana nao kupata soko, dagaa ni rejareja kwenye packet au kwa jumla pia wanapatikana kuanzia ndoo ya lita 10 mpk 20, hivyo kwa ambae yupo...
  9. Newcastle1234

    Nahitaji eneo la Ekari 20 Bagamoyo

    Liwe sio mbali na Bagamoyo mjini kwasababu litajengwa hospital. Lenye hati litapewa kipaumbele
  10. M

    Anahitajika Youtube content creator

    Wakuu habar zenu Natafuta Mtu anaweza kutengeza content za youtube Aina ya content ni zile zinazohusu Simuliz mbalimbali za kimaisha Simulizi ziwe interesting na za kusisimua Sharti uyo mtu awe mkoa wa mbeya
  11. M

    Nahitaji fundi wa kushona nguo

    Habari wadau. Nina kazi ya kushona uniform za wanafunzi. Cherehani ninazo ila nahitaji mafundi wenye uwezo wa kushona. Dondoo za kazi ni zifuatazo; 1. Uniform ni za kike na kiume. Za Kike ni Gauni au Blauzi (Top) na Suruali na za kiume ni Suruali tu 2. Kazi inafanyika KIMARA DSM 3. Nahitaji...
  12. Kumi4

    Nahitaji pool table

    Wakuu poleni na majukumu, moja kwa moja kwenye point, niko Mkuranga nahitaji Pool table, mwenye ufahamu ni wapi naweza pata na gharama zake nitashukuru mno. Nawasilisha nikiambatanisha na shukran.
  13. Andazi

    Nahitaji Smart kitochi kiwe cha voda au all networks

    Nashida na haka kasimu nipo dar mwenye nacho au anaeuza tukutane budget yangu ndogo dondosha offer PM au hapa nitakufata PM
  14. neggirl

    Nahitaji Kontena ft 20 -USED

    Salaam, Nahitaji kontena la futi 20 lililotumika liwe Mkoa wa Dsm. Liwe katika hali nzuri (halivuji, halina kutu) Mwenye nalo njoo DM. =65&hash=735915e41f15bfcf354a0b66ea806df8']Attach files
  15. B

    Nahitaji Kidney Beans kwa wingi

    Habari za asubuhi wakuu. Nahitaji Kidney Beans kwa wingi. Mfanyabiashara au mkulima mwenye kidney beans ile kubwa anicheki tufanye biashara. Iwe safi na nene. Kwa kuanzia inahitajika tani 60, ila yakiwa bora basi tunaendelea kufanya biashara kwani tunahitaji zaidi ya tani 200. Naomba ofa...
  16. Sonko Bibo

    Nahitaji Single Mother tu

    Nahitaji mwanamke wa kuishi nae, ambae tayari kashazaa. Awe na umri kati ya 23-27yrs. Mtoto awe mmoja tu. Kabila, awe katika lolote kati ya haya, Mnyamwezi -Tabora, Nandi from Kenya, Tutsi from Rwanda, Mdigo -Tanga, Mrangi- Dodoma, Mkerewe-Mwanza, Msukuma -Geita. Rangi, awe mweusi asilia ambae...
  17. H

    Nahitaji rafiki wa kike wa kubadilishana mawazo, baadae awe mke

    Habari wana JF, mimi ni mwanaume, umri miaka 27, dini mkristo, natafuta rafiki wa kike ambae baadae anaweza kuwa mke, kama umevutiwa karibu inbox.
  18. D

    Nahitaji kujua juu ya biashara kukoboa na kusaga nafaka (mahindi)

    Habari wadau,. Kama mada inavyojieleza, nahitaji kupata uelewa wa biashara ya kukoboa na Kusaga mahindi. Ninapenda kuwa na mashine kwaajili hiyo Ili niweze kudunduliza kipato (mashine ya kutumia umeme). Ni usagaji wa rejareja tu mtaani. Nahitaji kufahamu bei za mashine mpya na used. Gharama...
  19. bukoba boy

    Nahitaji system ya Microfinance

    Habari Wakuu! Nahitaji system ya kununua kwa ajili ya kutumia kwenye kampuni ya mkopo. Ya kununua moja kwa moja sio kulipia kwa mwezi.Tuwasiliane basi PM iko wazi.
  20. K

    Nahitaji gari kwa Bajeti ya 5.5 Milioni

    Nahitaji kununua mojawapo kati ya hizi Nadia Allex Spacio old/new. Bajeti yangu 5.5M Mwenye nalo anicheck
Back
Top Bottom