nahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Nahitaji mtu wa kuanzisha biashara ya kuagiza magari nje ya inchi

    Kama ujumbe unavyojieleza natafuta mtu mwenye wazo la biashara ya kuagiza magari mtandaon
  2. Z

    Nahitaji nyumba ya kupanga.

    Nina uhitaji wa nyumba, vyumba viwili, kimoja self contained , sebule, jiko, maji, umeme na fence. Maeneo: Kinyerezi (kuanzia darajani - Kinyerezi mwisho) Segerea (Magereza hadi Petroleum station - kona baada ya stand kuu Segerea). Ukonga - Magereza, Madafu, KM...
  3. L

    Nahitaji msaada wa kuongeza confidence na kujiamini

    Habari zenu Wana jukwaa kama kichwa Cha Uzi kinavyosema naomba mnisaidie tips pamoja na vitabu nitakavyokua nasoma kuongeza confidence yangu pamoja na kujiamini Natanguliza shukrani na nipo hapa kusoma Kila comment na ushauri mtakaonipa
  4. emmarki

    Nahitaji TAHAKIKI ya A-leve na pamphlets

    Wadau wa elimu, nahitaji TAHAKIKI ya A-level, pamphlets za masomo mbalimbali haswaa physically geography na science subjects. English kwenye literature
  5. Nipher_21st

    Nahitaji kujifunza lugha ya kifaransa online na kupata cheti, sehemu gani sahihi ya kujifunzia?

    Sehemu gani sahihi ya kujifunza Kifaransa na kupata CHETI?
  6. Rumi96

    Phone4Sale Nahitaji simu second hand, Vivo, Oppo au Sony.

    Wakuu, hoping mko salama. Nahitaji simu second hand, isiwe ya wizi, ikiwa na receipt au used toka nje itakua vema zaidi. Iwe miongoni mwa brands tajwa hapo juu. Specs 1. Resolution iwe na 1080x2400 au zaidi 2. RAM 6 au above storage 128. 3. Battery 4000 au above 4. Dual simu (ikiwa na esim)...
  7. Annie X6

    Nahitaji ufafanuzi wa hili jambo nitaelezea kidogo ufahamu wangu

    Habari hii picha inamaana nitaelezea ila naomba ufafanuzi kwa anayejua zaidi. 1. Nitaanza na sunlight kwamba jua lina vitamin muhim kwanhiyo ni vema wkt flan kufurahia uwepo..wake na sio kukaa ndani muda wote. 2. Kupunzika. Baada ya kazi ni vema kupata muda wa kutosha upunzishe mwili na...
  8. Bm_boy

    Nahitaji Epson Printer L805

    Wakuu Habari. Mwenye aina hiyo ya printer anicheki Ofa yang laki 5. Pia nahitaji Lens ya nikon 50mm
  9. Forrest Gump

    Bus gani lenye VVIP ya ukweli na sio usanii. Nahitaji lakutoka Mwanza to Dar.

    Karibuni wakuu.
  10. Annie X6

    Nahitaji program ya biashara. Software

    Habari Nina kabiashara kangu ..ningependa nipate software ambayo itanisaidia biashara yangu kusambaza, kurecord kutrack ambao nowadai(madeni) kupiga haasara na Friday. Bajeti yangu ni 50k
  11. Tabutupu

    Kwanini NIDA wanauliza maswali wakati nahitaji kutumia NIDA number?

    Nimeenda brela kusajiri biashara yangu tabutubu limited, nimetakiwa kujaza form ambayo inanihitaji niweke nida namba na nimeulizwa maswali kibao utadhani namba ya nida nimeiba.. Nimeulizwa kijiji na mtaa nilio andikisha nida.. mimi nimeandikiswa tegeta hata kijiji sikumbuki, mara shule niliyo...
  12. A

    Nahitaji mashine ya kusaga na kukoboa unga wa sembe

    Nahitaji mashine ya kusaga na KUKOBOA UNGA WA SEMBE , mashine iwe na uwezo wa kusaga na KUKOBOA Tani 30 Kwa Siku.
  13. E

    Nahitaji wataalamu wa coding watakaonisaidia kutengeneza application yangu na website

    Naweza kupata team ya developers?
  14. C

    Nahitaji binti wa kuoa, awe na umri kuanzia miaka 25-28

    Habari waJF? Muda umefika wa kuwa na ubavu wangu. Nahitaji kuoa hivi punde. Binti ambae yupo na vigezo hivi naomba tuwasiliane: 1. Mzuri 2. Umri kuanzia miaka 25-28 3. Dini yoyote 4. Ajue kusoma na kuandika 5. Awe tayari kufunga ndoa kuanzia anapoona bandiko hili. Wasifu wangu 1. Ni mwanaume...
  15. kocha Nabi

    Nahitaji fundi pikipiki

    habari wakuu, nahitaji mwenye kumfahamu fundi pikipiki anayetafuta ajira, mwenye uzoefu na pikipiki za boxer na tvs. location dar es salaam, karibu na mjini sio nje ya mji. ofisi ni mpya na ni kubwa kiasi kuhusu chakula na kulala kama anatoka nje ya mji juu yangu. aliye na interest tufanye maongezi.
  16. G

    Nahitaji msaada wenu haraka sana, Ni kampuni gani nzuri ya kubeti simba vs Yanga mechi ya leo kwa matokeo ya ataeshinda

    habari zenu wazee wa kuweka mizigo Nataka nibeti nusu fainali ya leo Yanga vs Simba, timu itayofuzu kucheza fainali nichague option ipi na kampuni ipi nzuri ? nipo karibu na jengo la gal sports betting, niliwahi kufungua account ya meridian bet na sporty bet
  17. Ustadh tongwe

    Msaada nnataka kusoma online university vya nje nahitaji kujua jinsi ya kutambua vyuo vinavyotambulika

    Habari zenu wataalamu wa IT shida yangu km nilivyoandika hapo kwenye heading msaada please sihitaji cheti Mimi nnataka ujuzi wa IT ethical hacker nna diploma ya ict
  18. Augustking

    Nahitaji Dalali City Center au Kariakoo

    Habari wana JF natafuta dalali kwaajili ya frem au office space maeneo ya city center au kariakoo Kwa mwenye namba za dalali maeneo hayo naomba unitumie number au km ww dalali njoo inbox Asanteni
  19. DALA

    Nahitaji shamba la kununua kwa ajili ya kilimo na ufugaji

    Habari mabibi na mabwana? Naomba mwenye kujua yanapopatikana mashamba ya bei nafuu, mashamba yanayofaa kwa shughuli za kilimo na ufugaji anifahamishe. Ningependa kufahamu bei kwa ekari na ukubwa. Mimi ni mjasiriamali mdogo hivyo mtaji wangu pia siyo kubwa kihivyo. Naomba kusaidiwa.
  20. NGOSWE2

    Je, inawekana kutumia matokeao ya kidato cha 2 mwaka 2017 kuendelea na masomo kidato cha tatu?

    Habari wana bord. Kichwa cha habari chahusika. .Nina binti yangu ambaye baada ya kufanya mtihani wa kidato cha pili kunachangamoto ilimtokea hakuweza kuwa masomo licha ya matokeo yake vizuri kwa kujiunga kidato cha 3. Baada ya kurudi katika hali yake ya kawaida, sasa anahitaji arudi shule...
Back
Top Bottom