nahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Afrolink-Tz Consult Ltd

    Nahitaji Toyota Vellfire au Toyota Alphard new model haraka sana

    Habari zenu Ndugu zangu nina ofa ya mil 15.7 (hela hii pamoja na udalali kama una wewe ni dalali unaeuza) cash nahitaji mwenyewe moja kati ya gari hizo mbili ambazo ni Toyota Vellfire au Toyota Alphard (model mpya) Sio lazima iwe namba E lkn ikiwa D basi iwe ya mwisho mwisho au hata E ya mwanzo...
  2. T

    Nina mgonjwa nahitaji kwenda India naomba connection

    Wakuu Nina mgonjwa anatakiwa operation ya ziwa, naomba nisaidieni agency contact au watu wanaohusika na matibabu ya kwenda India. Natanguliza shukrani za dhati kabisa kwa waungwana. God Bless You.
  3. General Nguli

    Nahitaji G/Pixel 4 ama 5...Nishauri kwa sifa na uwezo kati ya hizi.

    Wakuu wangu naomba kushauriwa kwa uwezo na mifano kati ya simu hizi mbili za Google.. Pixel 4 na Pixel 5 aina zote.Niko Dilema kuchagua kati ya hizo mbili... Lakini si haba nikijuzwa na Pxl 6. Mwisho nipate uchanganuzi wa gharama zake. ASANTE NA WASILISHA NIKO PEMBENI..
  4. africatuni

    Nahitaji kijana wa kusimamia Play Station yangu Dodoma. Mshahara 100k

    Nahitaji kijana serious wa kiume haraka wakusimamia playstation Centre, ipo Chaduru Dodoma, karibu na Dodoma rafiki hotel.. godoro lipo. Call 0753233879 Nahitaji Kijana mjanja tushirikiane kutengeneza pesa pia mwenye nia ya kujifunza namna ya kuendesha biashara, fursa ndo hizi
  5. Newcastle1234

    Nahitaji kiwanja Mbweni, bajeti Mil. 60

    Just Whatsapp. NO CALLS
  6. Mwafrika Halisia

    Mliopata mkopo ngazi ya diploma mwaka Jana nahitaji muongozo

    Habari wanaJF mim ni mwanafunzi nahitaji kujiunga na diploma mwaka huu, Ili nifanikishe ndoto zangu nahitaj mkopo wa diploma ili niendele na masomo yangu kwa ufanisi, maana nasikia mwaka Jana walipata mikopo ngazi ya diploma. Nahitaji kwa wale mlioomba na mkapata mkopo mwaka Jana ,mnipe...
  7. The ice breaker

    Nahitaji maharage ya njano

    Habari Nahitaji maharage ya njano , mwenye nayo anicheki, nahitaji mengi kuanzia Tani 1 na kuendelea +255716473605
  8. M

    Nahitaji kiwanja na shamba- phahi (kondoa)

    Wadau wa jamvini, Niataji kiwanja na shamba la kununua kata ya pahi(kondoa). Mwenye kiwanja au shamba nijulishe inbox au kwa namba 0767727388.
  9. Yule girl

    Msaada anayeweza track simu kujua iko wapi

    Samahani nahitaji mtu anayeweza nisaidia katika hili tuingie deal anisadie kutafuta Location ya mahali ilipo simu yangu.
  10. GENTAMYCINE

    Haraka sana nahitaji Mwanamke wa kwenda nae Kufunga Ndoa ya 'Kibwerere' Mkoani Arusha

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema Serikali itagharamia shughuli zote za harusi, ikiwemo kulipia ukumbi mkoani hapo lengo likiwa ni kuvutia zaidi wageni na watalii kufika Arusha na kuwa chachu ya kukuza uchumi. Makonda amesema masharti ya ndoa hizo ni pamoja na kati ya wawili hao...
  11. B

    Mliosoma medicine mpite hapa nahitaji msaada.

    Nilisoma clinical medicine mwaka 2018/2019 nikaishia level 4 sababu ya changamoto za ada. Sasa nataka nirejee masomoni Ila nahitaji kusoma radiology . Swali? Je inaruhisiwa kwenda chuo kingine kusoma radiology ama kozi nyingne za afya. maana nimekuwa nikiambiwa kuwa Bado mfumo unanisoma chuo...
  12. CK Allan

    Nina 500k nahitaji laptop

    Wakuu nahitaji laptop Hela niliyo nayo 500,000 Iwe na angalau sifa zifuatazo Ram 8GB STORAGE - SSD angalau 200 gb Generation 6+ Bluetooth, webcam, HDMI port LAZIMA Ukubwa wa Kioo usizidi nch 12 yaani iwe ndogo iwezekanavyo Chaji angalau masaa 3 Dell, au HP ni kipaumbele. ISIWE YA WIZI isiwe na...
  13. GENTAMYCINE

    Nahitaji kujua ama Kanisa Wanalosali hawa Mawaziri Wawili au Waganga Wao wa Kienyeji wanaowatumia au Mizimu yao wanayoitumia tafadhali

    1. Waziri Jenista Mhagama 2. Waziri Dk. Mwigulu Nchemba Sitaki Kuulizwa Swali kwanini nimewataja hawa au nimeomba hivi kwani ukiwa na Akili Timamu tu utajua ipi sababu.
  14. Yofav

    Msaada nahitaji kuhama kutoka kuwa mteja wa benki ya Nmb ni benki gani nzuri kufanya saving?

    WAKUU HII BENKI IMENISHINDA TABIA, SASA MTU KUANGALIA TU SALIO LANGU WASHAKULA 3500 SASA KAMA HUU⬆️ SIO UNGESE NI NINI? Naombeni ushauri ni benki gan niwe naweka akiba zangu.
  15. Iddizahoro

    Habari nahitaji gari ndogo ya kufanya kazi ya kuleta hesabu nipo DSM

    Waungwana habari za majukumu. Naitwa xx natokea maeneo ya mikwambe kibada kigamboni mkoa wa Da es Salaam. Naleta kwenu maombi kwa yeyote mwenye gari ndogo aina ya IST,SIENTA,n.k naitaji kwa ajili ya kufanyia kazi hapa mjini Hesabu nalipa laki mbili kwa wiki matengenezo madogo madogo kwangu...
  16. Rabonn

    Nahitaji office space kwa ajili ya kupanga

    Habar za siku nyingi wakuu. Kama title ya uzi ilivyo. Nahitaji space ya kupanga kwa ajili ya matumizi ya ofisi. Eneo pendekezwa ni kama: Temeke Kigamboni (around kibada mpaka Kongowe) Kurasini/uhasibu Tazara. Bajeti ni 100k - 150k kwa mwezi. Natanguliza shukrani zangu za dhat kabisaa...
  17. JituMirabaMinne

    Nahitaji vijana wawili wenye uhitaji wa kujifunza Car Diagnosis, repairs na umeme wa magari kiujumla.

    Sifa Awe na basic knowledge ya magari madogo(Zingatia). Muaminifu na mchapakazi Garage iko Iko Makuburi, Ubungo. Hakuna malipo. Tuma message ya kawaida au whatsapp +255688758625 (usipige simu tafadhali).
  18. Kitabu

    Nahitaji kutumia Photocopier kama Printer aina ya Ricoh MP 2501 SP

    wakuu nina mashine aina ya RICOH MP 2501 SP , napataje free drivers ili nitumie kama printer? Kila driver ninayoiona mtandaoni inauzwa. Msaada tafadhali
  19. T

    Nahitaji mkopo wa milioni 10 Saccoss ambayo ipo vizuri

    Wakuu Poleni na majukumu, moja kwa moja Mimi Nina shida ya pesa. Lakini nimepata ushauri kwamba kama nahitaji kukopa basi nitafute Saccoss maana wanasema Saccoss ni nzuri zaidi kuliko bank au mtu binafsi yaani Kausha Damu. Naomba kwa anayefahamu Saccos wanayokopesha na iko vizuri. Nipo Jiji la...
  20. U

    Msaada nahitaji Contro box ya suzuki kei

    Wakuu habarini dah naombeni msaada nimehangaika kutafuta contro box ya suzuki kei nimekosa , engine ya waya sita, naomba msaada kwani fundi kajaribu kila aina y contro box gari inakataa , kuwaka ina waka lakini kubadilisha gia ndo kwenye mtihan haikubali, naomba mtaallam anielekeze nitapat...
Back
Top Bottom