nahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GENTAMYCINE

    Nahitaji sana 'Critical Thinking' yako katika hii Taarifa tafadhali

    Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini unatarajia kumsafirisha kwa ndege Mtanzania Kulwa Hassan Twalibu, aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Sterkfontein iliyopo Johannesbug- Afrika Kusini tangu mwaka 2018. Balozi James Bwana amesema Twalibu anarejea Tanzania ili akaungane na familia yake...
  2. Uwesutanzania

    Nina vijana wawili wamekosa msaada kwenye soka wakuu nahitaji msaada wenu

    Katika pitapita zangu vijijini kulikuwa na ligi inaendelea katika kijiji kimoja wapo hapa nchini Tanzania. Niache unafki nimevutiwa sana na uchezaji wa vijana wawili katika ile ligi. Mmoja ni winga. Ni dogo wa miaka kama 17 hivi ni 17 kweli sio za mchongo. Dogo kipaji anacho, kwanza ana...
  3. Jackson News

    Nahitaji kujifunza Saikolojia

    Wakuu habari zenu? Natumai anaesoma post hii yu mzima wa afya kabisa ,Mungu aendeleee kukujali pumzi. Kama kichwa juu hapo natamani kujifunza saikolojia ila sielewi nianzie wapi? vitabu gani nisome? au niweje? Nahitaji ushauri wako msomaji. Asante.
  4. MEGATRONE

    Nahitaji vyombo kwa jumla

    Nahitaji vitu vifuatavyo. Sahani za udongo 20 Sahani za mifupa 200 Vikombe vya mifupa 200 Vijiko vigumu 200 Vikombe vya udongo 20 Majaba makubwa 4 Pipa la maji (litres 200-240) 1 Ndoo ndogo 20 Ndoo za kunawia 10 Sufuria 20KG 6 Mawasiliano 0687391885
  5. MEGATRONE

    NAHITAJI TRACK SUIT PAIR 200

    Nahitaji track suit pair 200 Umri 3-5 pair 140 Umri 6-8 pair 60 Na form six tshirt ( rangi yellow/dark blue) kwa rika na idadi hiyo hiyo hapo juu Kwa biashara call me 0687391885
  6. Dick Sound

    Nahitaji Mumama nimsaidie saidie mambo fulani fulani.

    .
  7. D

    Nahitaji pikipiki ya mkataba

    Habari, Naitwa device frabius mkazi wa Dar es Salaam Mikocheni natafuta pikipiki mpya iliyosimama kwa mkataba Kwa siku 10,000/= ikiwa boxer itapendeza zaidi, nahitaji kwasababu ya Bolt. 0617146950
  8. Choosen85

    Nahitaji bass spika ya mziki wa gari 10 inch

    Wakuu mulibwanji..... Nahitaji bass spika ya mziki wa gari ambayo haina box iwe uchi. Iwe 4 ohms Iwe na double coil Na iwe na sehemu 2 za kuingizia sauti yaani hasi ziwe 2 na chanya ziwe 2. Iwe haijawahi ungua. Angalia hiyo kwenye picha mfano wake sasa iwe kama hiyo kama ipo nicheck 0756 412 380
  9. MEGATRONE

    Nahitaji mafundi ujenzi

    Habari zenu nina shida ya mafundi ujenzi wa kuzungushia nyumba yangu ukuta! Nipo Korogwe maeneo ya mji mpya!
  10. Action and Reaction

    Naomba kusaidiwa Offline Bible Software ya kutumia kwenye pc

    Tafadhali Mwenye Offline Biblia software ninayoweza kutumia kwenye laptop au desktop yangu anitumie ni dowload!
  11. S

    Jamani kijana wenu nimeaibika nahitaji msaada wenu ili kuyaepuka haya yasijirudie

    Wakuu heshima yenu, Mimi ni kijana Aged 27 sijaoa ila nina mchumba tangu mwaka 2020 ila bado hatujatambulishana makwetu, sina mtoto na wala sijawahi kumpa ujauzto manzi yeyote. Kilichonileta hapa Jukwaani ni kutaka msaada wenu kwa wale wakali wa hizi kazi ( Mambo ya kitandani). Iko hv Juzi...
  12. Chinese blade

    Wapi kutakuwa na wakazi wengi kati ya peponi na motoni?

    Amani ya Mungu muweza wa yote iwe nanyi. Nimekuwa nikitafakari kuhusu hili suala la kiimani, kuhusu wapi kutakuwa na wakazi wengi kati ya peponi na motoni? Naomba mnisaidie kusolve kwa ushahidi wa maandiko.
  13. S

    Nahitaji Mining Supervisor

    Nahitaji Mining Supervisor awe na sofa zifuatazo: 1. Awe na umri kuanzia miaka 30 2. Awe na uzoefu wa Underground mining kwenye migodi mikubwa au ya kati si chini ya miaka 4. 3. Awe na shahada/Astashahada kwenye Mambo ya Mining. 4. Awe na blasting licence ambayo ipo up to date. Waombaji wote...
  14. Sister Abigail

    Nahitaji mwanaume wa kuzaa nae

    Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili na pia awe na shida na kama hii pia yaani naye anahitaji mtoto. I have been so lonely, naamini mtoto atakuwa faraja yangu. Na kunisaidia kuishi maisha yenye kusudi, na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi. Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina...
  15. MALKIA WA TABASAMU

    'Nahitaji sana pesa' kauli hii ni ya kila asiyenazo za kukidhi japo mahitaji yake ya lazima

    Kauli hii ni ya kila asiyenazo za kukidhi japo mahitaji yake ya lazima. Kauli hii hutamkwa hata na wale wenye nazo za kukidhi ila hazijawakinaisha. Nikisema nazihitaji, mtauliza tofauti yangu na wao ni ipi ama ni nini? Nahitaji pesa ili niikomboe kesho inayonitafuna sana moyoni. Ningepewa...
  16. Mwezeshaji1

    Nahitaji likizo, baada ya kumaliza ujenzi

    Acheni jamani, Naumwa. Yani nina kama burn out fulani, hata siwezi kupokea simu za watu. Ujenzi unachosha sio tu mfuko, na wewe pia unayesimamia unachoka hovyo kabisa. Nilianza mwezi wa saba mwaka jana, na mwezi huu nimemaliza. Utukufu kwa MUNGU Mkuu.
  17. Midazolam

    Nahitaji pikipiki aina ya Honda au yamaha kwa Bei nzuri

    Tangazo juu hapo inajitosheleza,nahitaji piki piki aina ya Honda au yamaha,kwa ajili ya folen i ya hapa na pale ndani hili jiji
  18. aBuwash

    Nahitaji mtu aliepo Morogoro, Ifakara anipe ABC za mchele sasa hivi?

    Natumai wote mko sawa humu ndani. Naombeni msaada mtu yeyote au mfanyabiashara yeyote aliyepo Dar anipe maelekezo vizuri kuhusu mchele. 1. Bei zipoje sasa mashineni 2. Je ni kweli muda si mrefu bei zitashuka na zikishuka huwa zinafikia bei gani 3. Usafiri mpka dar kwa kilo mia bei gani na...
  19. P

    Nahitaji Mwenza

    Habari ya muda huu Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32, ninahitaji mwanaume wa kuwa nae katika mahusiano tukielewana tufunge pingu za maisha. Sifa zangu ni Mweusi Mkristo Ninafanya bihashara Nina watoto 2 Naishi dar es salaam. SIFA ZA MWANAUME. Rangi yoyote Awe mrefu, asiwe na kitambi Kabila...
  20. B

    Nahitaji msaada, natafuta Ajira. Nina Advanced Diploma ya Uhasibu

    Kama kichwa kinavojieleza natafuta kazi ya kuweza kujikimu, nina diploma ya uhasibu Kwa yeyote anayeweza kunisaidia au kunipa mawazo ya jinsi ya kujikwamua, mitihani ya utumishi nimeshafanya mingi ila sijafanikiwa kupita. Sina uzoefu sana nimefanya internship zile za TAESA ila ni mwepesi...
Back
Top Bottom