Habari ya muda huu Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32, ninahitaji mwanaume wa kuwa nae katika mahusiano tukielewana tufunge pingu za maisha.
Sifa zangu ni
Mweusi
Mkristo
Ninafanya bihashara
Nina watoto 2
Naishi dar es salaam.
SIFA ZA MWANAUME.
Rangi yoyote
Awe mrefu, asiwe na kitambi
Kabila...