natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Natafuta heka kumi za kulima mkonge

    Habari zenu wakuu, Jamani mwenye connection ya mashamba anisaidie, nataka kama heka kumi kwa ajili ya kulima mkonge, maeneo ya Tanga au Morogoro, Yanayouzwa kwa bei rafiki Asante
  2. Kalaga Baho Nongwa

    Natafuta betri hizi

    Wakuu nani anaweza kunisababishia nikajua bei ya betri hizi. Na nazitolea wapi kabla sijaingia mzigoni mwenyewe huko kariakoo. Nb: niko mbagala muda huu
  3. Mvinyo mpya

    Natafuta mtu wa kuifanyia service printer

    Kazi ya haraka kesho tarehe 24. Printer inajam kila baada ya kuprint page chache. Aina ni Hp Canon 404. Location. Dar es salaam ubongo. Please DM me with your quotation
  4. E

    Nimesoma kozi ya Mawasiliano kwa Umma, natafuta kazi

    Habari zenu watanzania ndugu zangu Nimemaliza Chuo Kikuu katika kozi ya mawasiliano kwa umma hivyo natafuta kazi ya uandishi na utangazaji wa habari, call center au afisa uhusiano wa umma Pia Hata kwa kazi ya kujishikiza huku nasubiri cheti, nipo Dar es salaam wilaya ya Ubungo,kimara.Asanteni
  5. M

    Natafuta gari la kukodisha

    Habari za leo wakuu, Natafuta gari dogo, binafsi, isiwe zaidi ya cc1400, kukodisha kwa mizunguko ya Dar es salaam weekend hii. Dereva ni mimi mwenyewe. mwenye nayo nicheck whatsapp 0688180839.
  6. Y

    Natafuta roller blade (kiatu cha matairi)

    Habari zenu wakubwa, Natafuta ni wapi naweza pata roller blades (viatu vya matair) za kununua either dukani au kama kuna mtu anacho na anakiuza tunaweza fanya biashara Mimi nipo mwanza kama kuna mtu pia anafahamu bei zake naomba msaada tafdhari ahsanteni.
  7. Essence Tz

    Natafuta Mpenzi

    Hope mko poa! Jamani natafuta mpenzi wa kuwa nae,. Nyumbani Kanda ya ziwa ila nipo Dar kimasomo! I'm a man of 25 yrs Maswali mengine niulize ntakujibu
  8. M

    Natafuta guta ya mizigo CC250, CC300 kampuni gani nzuri?

    Habar wakuu ushauri wenu ni guta Gani ya kampuni gani nzuri imara...guta leenye nguvu imara ...nani wakala wa yupi kariakoo ana Bei nzur
  9. S

    Natafuta mchumba mwalimu au nesi alie Bariadi

    Wadau habarini, Mimi Nina tabia nzuri Sana mwenye huruma sijisifu bali naongea ukwwli wangu nilioa mwanamke ambae hakuwa na malezi mazuri alijichanganya mtaani na kufuata uhu I kwa ujumla alikuwa mshamba wa mapenzi alipojua saloon ni nini akachepukamazima. Kwa sasa nahangaika Sana kujua...
  10. baharia 1

    Natafuta gari ya ml. 4

    NINA 4,000,000 NIPE MOJAWAPO 👇 Nissan extrail, alteza, markx , mark2 markX, brevis
  11. M

    Natafuta gari dogo la kukodisha Dar

    Habari za leo wakuu, Natafuta gari dogo, binafsi, isiwe zaidi ya cc1400, kukodisha kwa mizunguko ya Dar es salaam wiki hii. Dereva ni mimi mwenyewe. mwenye nayo nicheck whatsapp 0688180839.
  12. M

    Natafuta vijana tupige KAZI ya kuuza Bundle mtandao ,tupate Mia Mia.

    Tigo na Halotel bundles Tu #0658204909
  13. B

    Natafuta ajira yoyote ya halali

    Habar wakuu nina umri wa miaka 29 natafuta kazi yeyote ya halali kwa taaluma ninachet cha hotel kama housekeeper na waiter ambayo nitalipwa mshahara kuanzia 300,000 kwa mwezi. Pia najua kuendesha gari, sijasomea. Nipo DODOMA ila kokote naweza fanya kazi. Kwa manual work nahitaji ambayo naweza...
  14. K

    Natafuta Shamba Kisaki Ekari 50. Mwenyeji uko, tuambie bei zinaendaje?

    Natafuta Shamba Kisaki Morogoro Ekari 50. Mwenyeji uko, tuambie bei zinaendaje?
  15. E

    Natafuta kazi yoyote, angalau kipato kuanzia 10k+ per day

    Wakuu, rejea hapo juu. Vyeti vilivyopo JKT & EACCFFC na nina uzoefu wa mda mrefu. Niko tayari kwenda mkoa wowote, ila Dar es Salaam hapana Asanteni
  16. M

    Kwa mafundi computer: Nina sh 40,000 natafuta CPU

    Habari mafundi computer Jamani Nina sh 40,000 nahitaji CPU ya desktop computer kampuni yoyote. Iwe unafanya kazi. Ni PM picha zake Shwari wazee
  17. buyoya419

    Natafuta Laptop

    Nina laki 6 natafuta laptop Iwe dell, hp au mackbook ndio ninazikubali sana Iwe na angalau sifa zifuatazo Ram 8GB STORAGE - SSD angalau 200 gb Generation 8+ Bluetooth, webcam, HDMI port LAZIMA Ukubwa wa Kioo uanzie 13 mpaka 16 yaani iwe saizi ya kati sitaki kioo kidogo au kikubwa Chaji...
  18. C

    Natafuta kazi, nimemaliza Kidato cha sita

    Mimi ni kijana wa kiume miaka 21 Nina elimu ya form six Nimeshindwa kujiendeleza na masomo mwaka jana maana nilikosa mkopo Hivyo basi natafuta kazi yoyote maana nilikokuwa nimejishikiza mwenyewe amefunga Napatikana kwa 0622905303
  19. Smith Rowe

    Natafuta chumba cha kupanga tanga

    Habari, Tanga kunani palee Wanajf natafuta chumba cha kupanga tanga maeneo ya kisosora au chumbageni au maeneo karibu na hayo. Chumba kiwe na choo ndani Bajeti yangu 70k kushuka chini.
Back
Top Bottom