habari zenu wakuu nina shida ya chumba cha 25,000 dar es salaam,nipo kwenye changamoto kidogo hivyo siwez kupitia kwa madalali maana gharama zitaongezeka hivyo kwa mwenye kuweza kuniunganisha na mwenye nyumba anaemfaham naomba anisaide,namba yangu ni 0622667749
Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa nataka mimi ndio niwe wake pekee na sitaki MAKOMBO, nina miaka 25, kazi yangu nimeajiriwa Hospitali kubwa jijini Dar es Salaam to, Namtaka mwenye vigezo vifuatavyo :
awe Muslim
mweupe
19 to 22 years
-asiwe na kazi wala biashara yoyote
awe amelelewa kimaadili...
Ulikua ukipigwa kwenye maredio siku ya ukimwi duniani. Sana sana kwenye Rtd sasa TBC.
Maneno ya wimbo'
Jamani ee
Sikilizeni niwaeleze haya, janga la ukimwi halina dawa wala kinga,.
Mimi ni Mwanaume wa miaka
27 ,
Dini yangu , ni mkristo.
naishi DAR
kazi yangu ni muajiliwa
elimu yangu ni DIPLOMA.
Natafuta mke mwenye SIFA zifuatazo ,
*awe mkristo
*Awe anaishi dar
*awe ameajiliwa au anafanya biashara
awe na miaka kwanzia 20 adi 26.
*ALIYE TAYALI NA MWENYE SIFA HIZO...
Habari wapendwa,
Natumaini mnaendelea vyema. Natafuta vyakula vifuatavyo. Kwa anayefahamu, nishtue PA kuzinunua.
Carob powder (mbadala wa cocoa, Hainan cocaine)
Spelt wheat/stone ground wheat flour. (Ngano pori ambayo haijachakachuliwa)
Pistachios
Brazil nuts
Chestnuts
Macadamia
Pine sap...
Habari za asubuhi
Kama kichwa kinavyojieleza nahitaji mfanyakazi HR awe mwanamke na anaishi mkoa wa Lindi.
Elimu ni certificate au diploma
Mshahara
400,000
Naomba kusisitiza awe mwanamke na anaishi mkoa wa lindi. Wakipatikana zaidi ya mmoja ni lazima wafanyiwe usaili.
Update: Nimefanikiwa...
Mimi ni Mwanaume wa miaka
27 ,
Dini yangu , ni mkristo.
naishi DAR
kazi yangu ni muajiliwa
elimu yangu ni DIPLOMA.
Natafuta mke mwenye SIFA zifuatazo ,
*awe mkristo
*Awe anaishi dar
*awe ameajiliwa au anafanya biashara
awe na miaka kwanzia 20 adi 26.
*ALIYE TAYALI NA MWENYE SIFA HIZO...
Habari rafiki,
Kama kuna mwanaume anaependa kulewa au kunywa naomba awe rfk yangu, yaan napenda mwanaume mlevi sanaa napenda tu akilewa anavyoongea na anavyotukana yaan najisikia raha sanaa. Ni kwa urafiki tuu mimi nipo Dodoma kwa sasa. So karibu tubadilishane mawazo
Hello Natafuta mwanamke umri kuanzia miaka 30 na kuendelea mambo mengine tutaongea akipatikana. Mimi naitwa John niko Dar kwasasa. Umri wangu miaka 35.
kwema wa dada na mishangaz ya kati na maanisha wale wa 97 hadi 99, kama mada inavojieleza natafta mke mwenye tabia nzuri, mpole na mnyenyekevu pia mcha mungu. sifa hasiwe fake sana rang yeyote, mnene mwembamba ni sawa ila awe na makalio kidogo sio makubwa sanaaa.. kwenye swala la uchumi MIMI...
Habarini wapendwa,
Mimi ni kijana wa miaka 23 natafuta girlfriend (19-21) awe mwembamba akiwa na English body itakua sifa ya nyongeza urefu wangu ni 120cm sikumbuki vizuri, asiwe mfupi rangi yake sijali kikubwa awe na mvuto hasa akitabasamu.
Awe muongeaji ila sio mbea, awe anasuka ila sio...
Nina uzoefu wa miaka 8 nimeendesha katika nchi tatu ikiwemo rwanda, kenya,pamoja na south Afrika
Nina mepitia veta na nina cheti, nina leseni class E, C, B,D
Nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote kwa malipo yoyote sina tamaa
Gari ambazo nazimudu pamoja na scania,schman, howo,faw, na zingine...
Hello wanjamii Kwa mtu yeyote ambaye anafaham sehem ambayo ipo sehem nzurii Kwa car wash hapa JIJINI DAR es salaam anifahamishe.
Kuhusu vigezo
Nataka iwe sehem ambayo ipo road inafikika kirahis na mtu anaweza kujua kama Kuna biashara ya car wash.
Ikiwa center itakuwa vizurii zaidi sehem ambayo...
Wadau, nimeanzisha shamba la nanasi heka 5, three years ago, maeneo ya Misigi( 17 Km from Chalinze). Sasa lina maximum production. Changamoto yangu ni soko. Nahitaji masoko ya Arusha, Moshi, Zanzibar na Kenya, ndio nasikia bei ni nzuri. Haya masoko ya karibu nayapata, ila bei, wananilalia sana...
Hello
Naitwa Octavian mwenye umri wa miaka 37.Natafuta mwanamke wa kuoa mwenye umri kuanzia 28 nakuendelea.
Awe mkristu,kabila lolote.
Kazi yangu nimejiajiri . Aliye tyr aje pm tuyajenge au anicheck whatsap +255776110821 karibu Sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.