nec

NEC Corporation (日本電気株式会社, Nippon Denki Kabushiki-gaisha) is a Japanese multinational information technology and electronics company, headquartered in Minato, Tokyo. The company was known as the Nippon Electric Company, Limited, before rebranding in 1983 as NEC. It provides IT and network solutions, including cloud computing, AI, IoT platform, and 5G network, to business enterprises, communications services providers and to government agencies, and has also been the biggest PC vendor in Japan since the 1980s, when it launched the PC-8000 series.
NEC was the world's fourth largest PC manufacturer by 1990. Its semiconductors business unit was the world's largest semiconductor company by annual revenue from 1985 to 1992, the second largest in 1995, one of the top three in 2000, and one of the top 10 in 2006. NEC spun off its semiconductor business to Renesas Electronics and Elpida Memory. Once a Japan's major electronics company, NEC has largely withdrawn from manufacturing since the beginning of the 21st century.
NEC was #463 on the 2017 Fortune 500 list. NEC is a member of the Sumitomo Group.

View More On Wikipedia.org
  1. Uchaguzi 2020 Je, hii ndiyo sababu ya NEC kutochapisha fomu za wagombea Urais kwa "Alphabetical order"?

    Tofauti na miaka mingine ya Uchaguzi Mkuu, mwaka huu Tume ya Uchaguzi Tanzania(NEC) imechapisha form ya kupigia kura kwa ngazi ya Urais wa JMT isiyo na mfumo rasmi wa mpangilio wa alfabeti. Hii ni tofauti na form ya Urais wa Zanzibar chini ya ZEC ambayo imechapishwa kwa kufuata alfabeti. Form...
  2. J

    Uchaguzi 2020 NEC watumie reverse-psychology. Watoe tangazo kuwa Ruksa kulinda kura. Nawajua Watanzania hawatatokea, na kelele zote zitakwisha

    Mbona kitaa tuna ULINZI SHIRIKISHI? Kwanini wananchi wasishirikishwe kulinda kura? Kwani Tume ya Uchaguzi si ya kwao? Kitendo cha Nec kupiga makelele kwamba hakuna ruhusa kulinda kura, kinawafanya wananchi wahisi kuwa NEC wanataka kuiba. Na wanazidi kukosea kwa kumuandama mgombea anayetetea...
  3. Zanzibar 2020 Kuna la kujifunza kwa kauli hii ngumu ya Maalim Seif kwa ZEC na NEC

    Ninewahi kusema uchaguzi wa mwaka huu si lele mama maana kila mtu anataka kuonyesha dunia nini maana ya haki na uhuru kwa wananchi wake. "siku zote mimi nilikuwa nawazuia watu wasiingie barabarani nyote mnajua, mwaka huu simzuii mtu, atakaye amua kufanya lolote, kutetea haki yake si mzuii...
  4. Uchaguzi 2020 Kura za maoni CCM. Wapiga kura wote walikuwepo ukumbini kuangalia kura zinavyohesabiwa. Kwanini Nec iwe na mashaka kwa watu kuwepo nje ya vituo

    Nec ijifunze democrasia kutoka kwa jabali la democracy Tanzania JPM. Akiwa Mwenyekiti wa CCM aliamuru kura zihesabiwe kwa uwazi kabisa mbele ya wajumbe kwenye mchakato wa kura za maoni kupata wabunge na madiwani. Utaratibu huo umesaidia kuondoa malalamiko yoyote ya kuibiwa kura wakati wa...
  5. Uchaguzi 2020 NEC yataka wagombea wasiwe na matokeo mfukoni

    TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka wagombea wanaowania nafasi za kuchaguliwa kupitia Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani, utakaofanyika wiki ijayo waache kuwa na matokeo mifukoni mwao, bali watambue kuna kushinda na kushindwa. Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC, Dk Willson Mahera, alitoa...
  6. Q

    Uchaguzi 2020 NEC yatoa ratiba ya mwisho: Lissu atafungia Dar, Magufuli Dodoma

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa ratiba ya mwisho ya kampeni za urais inaonyesha wagombea wanaochuana katika Uchaguzi Mkuu, Rais John Magufuli wa CCM atafunga kampeni zake Dodoma huku Tundu Lissu wa CHADEMA akihitimisha Dar es Salaam 27 Oktoba 2020. Ratiba inaonyesha mgombea wa CCM, Rais...
  7. T

    Uchaguzi 2020 Amani ya Tanzania baada ya uchaguzi ipo mikononi mwa NEC

    Mabadiliko yanayofanywa na NEC katika uchaguzi huu yanaacha maswali mengi kuliko majibu. Tukumbuke kuwa NEC ndiye hakimu wa uchaguzi huu hivyo akiyumba au kuyumbishwa basi mzigo wote utamwagika. Kwa mfano, suala la NEC kuwapangia vituo mawakala lina lengo la kuwapangia mbali na makazi yao au...
  8. S

    Uchaguzi 2020 Viongozi wa taasisi kama Polisi na NEC kuibeba CCM dhidi ya vyama vya upinzani ni kuelewa kwamba wapinzani wakichukua serikali wataondolewa vyeo vyao

    Wala sio hesabu ngumu. Ni wazi sana kwamba taasisi kama Polisi na NEC mara kwa mara zinafanya ukosefu mkubwa wa usawa dhidi ya vyama vya upinzani. Umewahi kujiuliza kwa nini? Sababu ni moja, viongozi wa taasisi hizi wanajua wazi kwamba Upinzani ukichukua serikali wataondolewa madarakani...
  9. Q

    Uchaguzi 2020 NEC yamtaka Catherine Ruge mgombea ubunge jimbo la Serengeti kuomba radhi yeye asema haombi

    Jana nimeletewa barua hii baada ya Kamati ya maadili kuketi, wamenihukumu bila hata kuniandikia tuhuma zangu wala kuniita kujitetea kwenye Kamati. @TumeUchaguziTZ fundisheni wasimamizi wenu kufata kanuni za Uchaguzi na Maadili ya Uchaguzi.#SitaombaRadhi.
  10. Q

    Uchaguzi 2020 Kamati ya Maadili NEC yamfungia Halima Mdee kuendesha kampeni kwa siku 7

    Nimepata Taarifa NIMEFUNGIWA kufanya KAMPENI siku saba kuanzia tarehe 12-18/10/2020. Hukumu ilikuwa imesha andikwa kabla ya KIKAO cha Maadili. TUTAWEKA WAZI USHAHIDI tulio uwasilisha. NJIA moja ikifungwa....tunafungua nyingine.- H Mdee. ----- Kamati ya Maadili NEC imemfungia kuendesha...
  11. NEC lihurumieni taifa hili tusijenge historia mbaya

    NEC hihirumieni taifa hili lisijenge historia mbaya. Ninasema hili nikiwa namaanisha kwamba mazingira tuliyonayo NEC kama chombo huru kisichoegemea popote kwa mujibu wa sheria ikifikia mahali kikajisahau kikaingizwa mkenge na CCM kwakuwa tu Chama hiki kina serikali inayo Dola na kitawalinda...
  12. Uchaguzi 2020 Ushauri wa bure kwa John Mnyika kuhusu mzabuni wa NEC

    Nimefuatilia Press ya Katibu Mkuu wa CHADEMA Bw. John John Mnyika, akiitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuhusisha vyama vya siasa juu ya manunuzi ya vifaa vyote vya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020. Mnyika anakiri kwamba Tume imeitisha zabuni ya manunuzi ya vifaa vya Uchaguzi zikiwemo Karatasi za...
  13. Uchaguzi 2020 CHADEMA: Taarifa tulizo nazo zinaonyesha Kampuni yenye makada wa CCM ndiyo itachapisha karatasi za kupigia kura...

    Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika ameeleza kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi imekuwa ikifanya manunuzi mbalimbali ya vifaa vya Uchaguzi bila kuhusisha vyama wala Umma. Amesema Machi 09, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza kwenye vyombo vya...
  14. Kwa nilichokiona tu katika Gazeti la Mtanzania Ukurasa wa 5 na la Nipashe Ukurasa wa 2 nawashauri NEC 'Wahaairishe' Kwanza Uchaguzi Mkuu hadi tukipona

    Habari zote zilizopo katika Magazeti haya Mawili tajwa na katika hizo 'Kurusa' tajwa zimeweka wazi kabisa kuwa Watanzania wengi ( sijui na Mimi GENTAMYCINE nimo au simo ) kwamba wana matatizo makubwa sana ya 'Akili / Uwendawazimu' huku 'Utafiti' uliofanywa na 'Taasisi' husika ukisema kuwa...
  15. J

    NEC: Mawaziri, Wakuu wa mikoa na wilaya hawaruhusiwi kuingia kwenye vyumba vya kujumlishia kura!

    Tume ya uchaguzi imesema mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na watumishi wengine wa umma hawaruhusiwi kuingia kwenye vyumba vya kupiga, kuhesabu na kujumlisha kura isipokuwa kwa ajili ya wao kupiga kura tu. Chanzo: Mwanahalisi Digital Maendeleo hayana vyama! =========== WAKUU wa...
  16. Uchaguzi 2020 Mgombea wa Urais wa Tanzania, Tundu Lissu afungiwa na NEC kufanya Kampeni siku 7

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia kufanya kampeni Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kwa siku saba kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi. ============ Leo tarehe 02 Oktoba 2020 kamati ya maadili ya Kitaifa imesikiliza malalamiko dhidi ya Mgombea wa kiti cha Rais...
  17. Uchaguzi 2020 NEC: Kila Chama cha Siasa kimeruhusiwa kuweka wakala kwenye kila kituo ili kulinda maslahi ya Chama na Wagombea

    Jumla ya Makundi 16 ya waangalizi wa nje wapewa fursa na vibali vya kufuatilia mwenendo wa shughuli ya uchaguzi Tanzania huku asasi za kiraia na taasisi 97 za ndani pia zikipata nafasi hiyo. Amebainisha hilo Kamisha wa tume ya taifa ya uchaguzi (NEC) Jaji mstaafu Mary Longway wakati wa mkutanao...
  18. T

    Uchaguzi 2020 Marekani yawasihi NEC na Magufuli kujali misingi ya demokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

    Kamati ya bunge la Marekani la seneti ya mambo ya nje imeisihi tume ya uchaguzi Tanzania kujirekebisha, kuondoa makosa yaliyofanyika ndani ya miaka 5 iliyopita, kuacha kumshitaki Lissu kwa hoja ya kijinga. Kamati hiyo inamtuhumu Magufuli kuminya Demokrasia, utawala bora, uhuru wa kujieleza toka...
  19. D

    PICHA: Wananchi wengi wajitokeza kuomba ajira za muda za NEC. Kwa kweli kama nchi tumefika pabaya

    Polisi wamelazimika kutawanya umati mkubwa uliojitokeza jijini Dar es Salaam leo kuomba ajira za muda za NEC. Sisi kama taifa kusema kweli kuna mahali pakubwa mno tumeteleza. Hili sasa ni janga!
  20. Uchaguzi 2020 Namshauri Tundu Lissu apeleke mashtaka NEC dhidi ya Magufuli kwa kampeni za kibaguzi

    Katiba yetu na sheria zetu zinatambua uwepo wa vyama vingi. Hivyo mgombea urais anayesema nikipata urais sitapeleka maendeleo kwenye majimbo yaliyo chagua wabunge au madiwani wasio wa chama chake, ni uvinjivu wa sheria na tusi kwa katiba yetu. Hivyo napendeleza CHADEMA au Lissu kipindi hiki...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…