Hello Wadau!!
Naenda Moja kwa Moja kwenye topic.
Mimi binafsi naenda kwenye style ya uombaji michango, Jana mishale ya mchana ghafla najikuta nimeungwa kwenye group la kuchangia mchango wa harusi ya classmate wangu ambae sijaongea nae Toka mwaka Jana japo Kila mtu ananamba ya mwenzake, naona...
NGUVU YA "NENO' KATIKA DUNIA NA KATIKA MAISHA YAKO!
Anaandika, Robert Heriel.
Isomwe Kwa hekima Kwa walio na hekima, wapate ufahamu. Pia isomwe kipumbavu na hao waliowapumbavu, wazidi kuchanganyikiwa katika njia panda za fikra zao.
Andiko hili ni Kwa watu wote.
Neno ni sauti yenye maana. Kwa...
Kwa Kiingereza hodi unasemaje??
Anyways hodi humu jamvini. Mimi new member naitwa Afrocentric, kwasababu sijawa brainwashed na propaganda za Wazungu, Wachina, Wahindi, Waarabu n.k.
IGP Sirro ameagiza Wananchi wa Loliondo kutowasikiliza wanasiasa na badala yake watekeleze wanavhoelekezwa na serikali
Sirro amesema hali ya usalama Ngorongoro ni shwari kabisa
-----
PICHA: IGP Sirro akiongea na wakazi wa Tarafa Loliondo
Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro amesema zoezi...
Mahubiri ya Askofu John Ndimbo (Kingenzu) katika Misa ya Christmas amesisitiza kuwa bila kutenda haki hakuna Amani.Amesema haki ya watu kuchagua viongozi wao,haki ya kuishi pia amesieistiza msamaha wa kweli.
Lakini amesema yeyoye anayempenda Mungu anawajali binadamu wenzake. Amesema pale mtu...
ANDIKO LA MSINGI:
Yohana 1:43-46. Biblia inasema hivi
“43. Siku ya pili yake alitaka kuondoka kwenda Galilaya, naye akamwona Filipo. Yesu akamwambia, Nifuate. 44. Naye Filipo alikuwa mtu wa Bethsaida, mwenyeji wa mji wa Andrea na Petro. 45. Filipo akamwona Nathanaeli, akamwambia, Tumemwona yeye...
INASEMEKANA:
_*Idadi ya watu inafikia bilioni 7.8 dunia nzima.
*Wanawake ni bilioni 5.6 Wanaume ni bilioni 2.2.
_*Hapo utaona busara inamtaka kila mwanamke kujitafakari kabla ya kumkataa mwanaume, au kukataa ndoa ya uke wenza.
*Zingatia kwamba, kati ya hao wanaume bilioni 2.2:
1. _*Bilioni...
Habari wakuu. Kila neno kwenye lugha huwa lina athiri yake. Mfano ukichunguza utaona kuwa God aliabudiwa na jamii nyingi za Ulaya kabla hata ya ukristo. Allah aliabudiwa na waarabu kabla hata ya uislamu. Yahweh/Yehova aliabudiwa na wana wa Isaraeli. Kuna makabila yetu ambayo yana majina yao ya...
“Kitu kikubwa tulichojadiliana ni kuwa, Tanzania ni yetu sote na tunapaswa kufanya kazi pamoja, kuijenga, lakini hili linawezekana tu iwapo tutajenga uaminifu na kudai HAKI, pamoja na kuheshimiana”. Rais Samia Suluhu.
“Tumekubaliana kuwa, njia nzuri ya kuwa na maridhiano ni wakati kuna HAKI...
Hakuna Asiyejua hili Neno kila mtu analifahamu na tunalitumia Kila siku na Tunaishi Nalo na Lipo kwenye maisha yetu ya Kila siku.
Ulishajiuliza ni kwa nini Facebook wamelichagua neno hili na si Vinginevyo(Yaani Neno "Add Friends") Kwa nn wasiseme add sister,Add mumy add Uncle n.k?
Hii ina...
Iko hivi nina rafiki yangu mmoja ambaye anaendesha magari daladala za hiace isela to magu. sasa kwa uzuri aliniambia mapema kuwa kuna dada kakosea namba kutoka segerema na anamchatisha sana hivyo hadi anaenda kupaki gari usiku bado mawasiliano yalikuwa ni moto sana.
Jamaa alipofika kwake...
Katika Uislamu kuna elimu inaitwa Hadithi inarejelea kile ambacho Waislamu wengi tunaamini kuwa ni rekodi ya maneno, vitendo, na idhini ya kimya ya nabii wa Kiislamu Muhammad s.a.w kama inavyopitishwa kupitia misururu ya wasimulizi.
Kwa maneno mengine, Hadith ni riwaya kuhusu yale aliyosema na...
Wadau wote hamjamboni
Niwatahadharishe
Ni makosa makubwa kutumia neno " Farijika" kwani linaleta maana mbaya
Tumia Neno " Farajika" au "nimepata faraja"
Aksanteni
Kisonoko:
Ni Mtu (hasa Mtumishi wa Kike) mwenye Kudharauliwa na ambaye hajui Kitu chochote
Chanzo: Gazeti la Habari Leo la leo.
Ngoja na Mimi sasa nianze kuangalia katika Sekta mbalimbali za Kiutendaji na Kiutumishi Tanzania nione kama kuna akina 'Visonoko' wengi ili tuwasaidie Kuwarekebisha...
“Mheshimiwa Rais nilikupigia simu lakini kwa bahati mbaya sikukupata lakini baadae ulinipigia na nikakuomba uhudhurie shughuli hii ukakubali na uliniahidi kuwa utakuja japokuwa sikuomba kwa maandishi lakini umekuja,asante sana umeniheshimu sana Mama”
"Tunakuombea Mungu akupe nguvu ya kuendelea...
Nini asili ya neno Soni au Chiba? kuna wakati mtu mlemavu wa mguu anaitwa majina hayo. Je ni kwa vile tulikuwa na waziri mzungu enzi za Nyerere aliyekuwa mlemavu wa miguu akiitwa Derek Bryson (soni) au ni yule mwigizaji wa kijapani Sonny Chiba.
Zitto sasa amevuka mpaka na shime ndugu Tundu usimchekee tena hasa kwa hatua hiyo ya kukudhalilisha kwa kilema chako.
Hii ndiyo Tweet aliyoandika Twitter wakati akijibu hoja ya mdau
Baada ya kulalamikiwa na wadau, Zitto Kabwe aliomba msamaha na kudai kuwa hakuwa anajua maana ya neno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.