neno

Emmanuel Neno is a Pakistani Christian author and translator.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    UVCCM Songwe yatia neno mikopo ya Vijana kusitishwa

    Mwenyekiti wa Umoja wa vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Songwe Ndg Fatuma Hussein amewatoa hofu vijana kutokana na serikali kusitisha utoaji wa mikopo ya 10% iliyokuwa ikitolewa katika ngazi za Halmashauri. Fatuma ameleza kuwa kama UVCCM wanaamini kuwa serikali itakuja na mpango bora zaidi wa...
  2. Melki Wamatukio

    Kama huna cha kucomment ni bora upite tu. Kwani umeambiwa ni lazima kutia neno?

    Ifike mahala tujiheshimu kisha tuheshimiane sisi kwa sisi. Mbona tunakuwa na tabia za kimasikini kana kwamba hatumiliki ma Range humu ndani? Unakuta jitu linaingia M.M.U linakutana na nyuzi za kuzagamuana, linaamua kujaa sumu. Kwa hiyo ulitegemea ukutane na uzi wa report ya C.A.G? Shwain. Bila...
  3. Invisible

    Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    Nimeonelea nianzishe hii section ili watu tuwe tunapeana maneno ya hekima. Huu ni mwanzo na ruksa kuendeleza thread (mada) hii ili mradi uwe umejisajili. You may use any of the two official languages, Swahili or English. Karibu +++++++++++++++++++++++++++++++++++++ If we don't change, we don't...
  4. R

    Tundu Lissu arejea Nchini asema ripoti ya CAG ufisadi ni uleule, mambo ni yaleyale

    Mwandishi: Ripoti ya CAG imetoka na majibu ya Rais ni kwamba waliofanya madudu wampishe. Unadhani hiyo ni kauli ya kitendaji au ya kimamlaka? Lissu: Kwanza wizi na ufisadi ni ule ule wa miaka yote, kama haujaongezeka, ninachosoma ni kwamba umeongezeka. Wizi ni ule ule, wa watu wale wale, wa...
  5. M

    Rais Samia, neno lako tu litasaidia wakazi wa Mpiji na Makabe kupata Lami

    Rais wetu Mpendwa, binafsi najiona mwenye bahati kuwa na Rais wa aina yako. Kikubwa zaidi ni kwa jinsi ulivyoubeba uhusika wa kuwa Kiongozi usiyebagua watu wako. Zaidi ya kuwa Kiongozi wa Taifa letu lakini pia Umejaaliwa SANA UTU. Mama yetu pamoja na Majukumu mengi uliyonayo natamani japo...
  6. Pascal Mayalla

    Je, tukemee udini, ukanda na ukabila au? Je, neno Sukuma Gang si neno la kibaguzi? Mnaonaje tukiungana kukemea ubaguzi wowote kwa jina lolote?

    Wanabodi, Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala hizi za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo hizileta kwa mfumo wa swali fikirishi na mimi kutoa tuu maoni yangu lakini kukupa wewe msomaji fursa ya kufikiri, kushauri na kutoa majibu unayoona yanafaa. Swali la leo ni kuhusu kuibuka na...
  7. Mshana Jr

    Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza; Mvuvi Nigeria atafuna samaki mwenye thamani ya mabilioni ya shilingi bila kujua

    Mvuvi mmoja katika kijiji cha Warri, jimbo la Niger Delta nchini Nigeria amevua samaki aina ya Blue Marlin mwenye uzito wa 87 kgs na kumchinja kisha kugawana nyama na wanakijiji wenzie. Baadae kampuni ya Pacific seafood ya nchini Marekani iliposikia habari za kuvuliwa kwa samaki huyo adimu...
  8. Russia is not your enemy

    Tigo hamna special thread lakini nilitaka sema neno

    Kwa Sasa ni mwendo wa kopa weka kopa weka. Tena Sasa ni kopa nyingi weka kidgo najua mnapata sana Inaitwa hakuna namna. Maisha ni magum na lazima yaendelee. Tumuombee Rais Samia, Maisha sio poa. Mimi sio CHADEMA nilisikia wakuongea hiki kitu. Milo ni mi4 Kwa wiki trust me.. Mlo unaliwa saa...
  9. L

    Naomba kujuzwa asili ya neno Tanganyika

    Wanazuoni. Naomba anayefahamu asili ya Neno Tanganyika ni ipi? Ingawa nasikia hata DRC Kuna sehemu inaitwa Tanganyika. Wazee wa zaman au wasomi wa historia msaada tafadhari
  10. William Mshumbusi

    Muda wa Wanasiasa kutafutia sifa Simba na Yanga umeisha. Kila wakitia neno tunapigwa

    Siasa za CCM zianze kuangalia vitu vya Msingi tu kila wakija kwenye soka always ni nuksi tu. Kwanza watu wanawekeza mabilion Alafu mwanasiasa anataka apate sifa kwa m 5 isiyotosha ata mshahara wa mwezi wa mchezaji. Kawaida Simba hununua away game kwa m 200. Sasa Hawa wanaomshauri mama...
  11. William Mshumbusi

    Ahadi ya Milioni 5 aliyotoa Rais itaziponza Simba na Yanga. Hazina bahati na wanasiasa

    Siasa za CCM zianze kuangalia vitu vya Msingi tu kila wakija kwenye soka always ni nuksi tu. Kwanza watu wanawekeza mabilion Alafu mwanasiasa anataka apate sifa kwa m 5 isiyotosha ata mshahara wa mwezi wa mchezaji. Kawaida Simba hununua away game kwa m 200. Sasa Hawa wanaomshauri mama...
  12. BARD AI

    TCRA yadai Clubhouse ilipotea kwasababu ya Kiufundi, sasa ipo hewani

    Siku moja tangu utokee mkwamo wa upatikanaji wa mtandao wa Clubhouse nchini, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema haikuufungia bali kulikuwa na changamoto za kiufundi, lakini umesharejea. Mtandao huo ambao watu huutumia kuwasiliana kwa sauti, kufanya mikutano na mijadala mbalimbali...
  13. Uhakika Bro

    Neno ‘KONGOLE’, hivi lilikuwepo kweli? Historia yake na nani amelitunga ?

    Ukitaka kuandika hongera baadhi ya keyboard zinakupakazia eti kongole! Kongole wich, who are you kongole? are you normal?🤷‍♂️ Je ni kutohoa congratulations au ni nini? Kwani kiswahili lini kilikosa, au kilikuwa na upungufu wa misamiati ya kupongeza? Hongera ilikuwa wapi. Tuna upungufu wa...
  14. Bujibuji Simba Nyamaume

    Neno kwa umpendaye siku hii ya wapendanao St. Valentine's Day

    Here why! 'Cause I am hooked on yuh lovin like a big snapper fish Di way yuh look di way yuh dressed a dat mi caan resist Yuh personality there's no odda like it Buji Buji tellin' di world woman yuh criss A woman like you is one in a million Waan yuh inna mi arms twenty four seven I would a get...
  15. M

    Mwamposa: Fuateni Mafundisho ya Neno la Mungu na siyo Maombezi ya Miujiza ya Uwongo na Kweli

    Naona taratibu sasa Mwamposa anataka Kupunguza Waumini wake ili akajikite sasa Kusimamia Miradi yake mingi na Biashara zake nyingi zenye Utajiri mkubwa kuliko Umasikini Uliokomaa wa Waumini wake wanaomuona Mungu Mtu hapa Dar es Salaam na Tanzania. Kwasababu kama ni Maombezi hayo ya Uwongo na...
  16. thebosskissima

    Maneno ya 'Visit Tanzania' kwenye Jezi ya Simba yaleta utata

    Niliposomea Graphics Design lile Neno linasomeka hivi, "TVisit Tanzania" Na Sio Visit Tanzania [emoji1 241] [emoji846] Wataalam wenzangu wa IT Njooni tuwaelimishe hawa Graphics Designers wa Makolo Fc
  17. system hacker

    Nyie NECTA ni kweli mnasahihisha mitihani yetu vizuri? Tuambieni maana ya neno 'COMPENTENCY'

    Nimekosa kwenye kamusi yangu....!
  18. Mcanada

    Kumbe Mungu alikatazaga Kusherehekea sikukuu za miandamo ya Mwezi Isaya 1:14 (NENO)

    Isaya 1:14 (NEN) Sikukuu zenu za Miandamo ya Mwezi, na sikukuu zenu zilizoamriwa: moyo wangu unazichukia. Zimekuwa mzigo kwangu, nimechoka kuzivumilia. Leo nimeamka alfajiri sana niingie kwenye maombi maana nimetenda dhambi nyingi za kuchepuka hapa canada ili mke wangu akirudi anikute nikiwa...
  19. L

    Wenzhou, Zhejiang China: Wanafunzi wa kigeni wajifunza kuandika neno "Fu" ili kusherehekea mwaka mpya wa jadi wa China

    Januari 19, huko Wenzhou, mkoa wa Zhejiang, China, katika makazi ya Luyuan, Wilaya ya Lucheng, wakazi waliwafundisha wanafunzi wa kigeni kuandika neno "Fu" (linamaanisha "baraka" katika lugha ya Kichina) ili kusherehekea sikukuu ya mwaka mpya wa jadi wa China.
  20. Mcanada

    Hii tabia ya watangazaji wa mechi Azam TV na kutumia Neno "Madhambi" mmeitoa wapi?

    Habari ya ijumaa wadau wa JF muda huu nimejiunga na azam max hapa nitazame mechi ya fainali ya mapinduzi cup huku nikiendelea na kazi but nimepata ukakasi kwa kile nilichokuwa nakisikia mara kwa mara kutoka kwa mtangazaji Gharib Mzinga kwa namna anavyopenda kutumia neno "madhambi" kwenye...
Back
Top Bottom