nida

National Identification Authority (NIDA) /Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ni chombo cha kusimamia Vitambulisho vya Taifa nchini Tanzania.
  1. Matojo Cosatta

    Kanuni mpya za usajili wa laini za simu: Masuala muhimu ya kujua

    Kanuni mpya za usajili wa Laini za Simu za mwaka 2020 zimetangazwa kwenye Gazetti la Serikali la tarehe 7 February, 2020 kama Tangazo la Serikali No. 112 la 2020. Jina fupi (short title) la Kanuni hizo ni the Electronic and Postal Communications (SIM Card Registration) Regulations, 2020...
  2. BASIASI

    Hakiki kama namba yako ya NIDA imetumika kutengeneza line za wengine *106#

    NIDA WAMETOA MWONGOZO KUTOKANA NA MALALAMIKO KWA BAADHI YA NAWAKALA KUTUMUA NAMBA ZA WATU ZA nida kutengeneza line za watu Serikali kushirikiana na nida inaomba kila mwananchi kuhakiki kama namba zilizopo n za KWAKE ama.LAH NENDA *106# hapo elekea namba 2 andika namba ZAKO za nida ukionaa...
  3. Dusabimana

    Wananchi wilaya ya Kasulu wanarejeshewa fomu zao za NIDA

    Huku TCRA wakiendelea kufungia Watu Line zao katika Wilaya ya kasulu NIDA wanawarejeshea Wananchi fomu zao ili wakahojiwe upya! Mwezi January mwaka huu walianza kutoa namba kwa baadhi ya watu wachache huku Watu wengi wakiwa bado hawajapata ! Ghafla tena J'pili ya February 2 tangazo likasikika...
  4. R

    NIDA

    Serikali kupitia mamlaka yake ya Usajili wa Vitambulisho vya Taifa (NIDA) ilitoa muongozo wa kupata namba yako ya NIDA kwa njia ya kielectronic kama tayari MTU kishafika kwenye mamlaka halisi na kujisajili lakini anasubilia namba. Cha kushangaza ,Unapo andika ombi La kupata namba huambiwa ombi...
  5. K

    NIDA wasitisha kutoa nakala ya vitambulisho online

    Nakusogezea hii taarifa mpya kutoka Mamlaka ya Vitambulisho Taifa NIDA ambapo wamesitisha zoezi la kutoa nakala ya Vitambulisho kupitia mtandao.
  6. K

    Msaada kwa marekebisho ya taarifa za NIDA

    Wakubwa mdogo wangu alijiandikisha NIDA mwezi December mwaka jana leo ameenda kuangalia kama namba yake imerudi ila ameambiwa eti aanze process upya kwa kuwa jina lake lilikosewa kwahiyo namba haiwezi kurudi. Hivi ni kweli mtu ambaye jina lake limekosewa anatakiwa kuanza process upya au jamaa...
  7. matunduizi

    Kwanini kwenye kubadili Passport hakuna foleni kama NIDA licha ya kesho kuwa siku ya mwisho?

    Wakuu nimekuwa nikifuatilia jamaa wanasema hakuna foleni kabisa wala msongamano kihivyo. Najiuliza: Je, sisi wabongo mambo ya kusafiri nje sio hobby yetu? Swali lingine la uzushi, hawa Idara ya Uhamiaji kwanini eti ili Mtanzania apate Passport lazima awe na kama sababu au ushahidi wa huko...
  8. BASIASI

    NIDA na Polisi kagueni vibanda vyote vinavyouza au kusajili line Kawe mtakutana na maajabu

    So sad tena kwa 5000 Nini kinafanyika mnakaa mstari wale wanaosajili baada ya kuweka dole gumba wanakwambia mtandao uko down ukikaa sana unaondoka inatengenezwa line safi inakaa pemben Hako kamchezo wanaweza fanyia watu kumi +/pday na n.kibanda kimo1 tu Mmsishangae vibanda vya kusajili...
  9. kavulata

    NIDA hawakujiongeza

    Ilitakiwa ukikitazama kitambulishe cha taifa namba ya kitambulisho peke yake tu bila kutumia kifaa chochote ikuambie kuwa kitambulisho hiki ni cha mkazi wa Mkoa fulani, Wilaya fulani, Kata fulani na kijiji fulani. Kila Mkoa ungepewa code number yake ya kuonyesha Mkoa na wilaya zake, tarafa...
  10. britanicca

    Niliwalaumu Uhamiaji bila sababu kuhusu utoaji Pasi za Kusafiria kutotegemea taarifa za NIDA. Aliyevuruga mfumo yupo, 20% wenye ID si watanzania

    Leo nikiwa hapa Russia nimepata kuongea na Afisa uhamiaji ambaye amesema taarifa anazotoa ni nyeti na wala serikali isingependa zijulikane kwa raia wake maana zitaonesha Udhaifu wake. Tumejadili yafuatayo: 1. Kwanini ukienda Uhamiaji unaombwa Birth Certificate wakati umeshai submit kwenye...
  11. mjasiriamali mdogo

    Ukweli kuhusu NIDA: Tuwe makini na habari za uzushi kuhusu mchakato wa vitambulisho NIDA

    Habari waungwana. Leo ngoja nieleze mchakato wangu wa kitambulisho changu cha taifa mpaka kupata namba na niliyoyashuhudia ofisi za NIDA. 1. Kabla sijaanza kufatilia kitambulisho cha taifa, nilianza kuuluzia nyaraka zipi zinahitajika kaambatanishwa. Nikaambiwa cheti cha kuzaliwa,(kadi ya mpiga...
  12. scatter

    Kuelekea siku ishirini kabla ya laini kufungiwa changamoto hizi kama zipo laini hazitafungiwa

    Laini kufungiwa kwa kigezo cha kutosajiliwa kwa njia ya vidole ni suala linalo trend kwa sasa kuna changamoto zipo katika suala hili kwangu kuna maswali yanayotaka majibu kwa uelewa wangu 1. Kitambulisho cha nida kinaruhusu kusajili laini ngapi ?? 2. Mtu mwenye ulemavu wa...
  13. anonymousafrica

    Ujumbe kwa NIDA na Mitandao ya Simu, Kilio cha wananchi

    Tumepiga marufuku mifuko ya rambo kwa yowe na maneno matam na sasa tunapiga marufuku utumiaji wa laini za simu kwa watu wengi kimya kimya na kwa utaalam mbovu, utadhani na hili ni new world oder (Maneno ya walevi tuyapuuze jamani, akili zao zinakimbia wakilewa zinarudi wakiwa wazima). Turudi...
  14. Miss Zomboko

    Mambo 15 ya kufanya kupata hati mpya ya kusafiria

    Idara ya Uhamiaji imetoa maelekezo ya kujaza fomu za maombi kwa njia ya mtandao. Msemaji wa Uhamiaji, Ally Mtanda amesema leo Februari 9, 2018 kuwa fomu hizo zipo kwa Kiswahili na kusisitiza kuwa mwombaji anapaswa kuwa na kitambulisho cha Taifa ili kukidhi moja ya sharti muhimu. “Maombi kwa...
  15. beth

    Naibu Waziri: Serikali itatumia hekima kuwasaidia ambao wameshindwa kujisajili

    Serikali ya Tanzania imesema itatumia hekima kuwasaidia wananchi walioshindwa kusajili laini za simu kwa sababu ya kukosa kitambulisho cha Taifa na namba licha ya kuanza mchakato wa kupata kitambulisho hicho. Imesema wananchi hao taarifa zao zipo katika Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)...
  16. K

    TCRA na NIDA kubadilishana watumishi

    Hivi kwa nini hizi taasisi zisibadilishane watumishi yaani watumishi wa nida waende tcra na wale wa tcra waende nida ili wajaribu kuona jinsi ilivyo kazi kuwapatia watz wote vitambulisho kabla ya tarehe 20
  17. Tabutupu

    Kufungia simu Serikali itapoteza zaidi ya 30% ya kodi toka makampuni ya simu

    Huu mchakato wa kusajili laini za simu kwa kutumia kitambulisho cha NIDA pamoja na vidole umekaa kisiasa zaidi na hauna faida kiuchumi. UK na baadhi ya nchi unaweza nunua laini na kutumia bila kufungiwa. Kwa kufungia laini zaidi ya Milioni 15 ya Watanzania ambao hawana NIDA serikali inapoteza...
  18. K

    Rais Mstaafu Jakaya Kikwete apatiwa namba ya NIDA

    Rais wa Awamu ya 4, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo Januari 18, 2020 amesajili laini yake kwa njia ya kieletroniki, huku akiwahasa Watanzania wengine kujitokeza kushiriki zoezi hilo, kwa kuwa mwisho ni Januari 20, 2020. Rais wa Awamu ya 4, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo Januari 18, 2020...
  19. VOICE OF MTWARA

    Serikali inafahamu kuwa wananchi wengi mkoani kigoma hawajapatiwa namba za Nida?

    Imebaki siku moja watekeleze hiyo adhma yao ya kufungia laini zisizosajiliwa kwa alama za vidole na namba za Nida, lakin maelfu ya wananchi wsliojiandikishia mkoani humo hawajapewa namba zao bila kuambiwa sababu za msingi. Serikali mnaitambua kero hii?
  20. K

    TCRA na NIDA mtembelee Kigoma, Kagera na Ngara

    Natoa ushauri wa bure kabisa kwa Wakurugenzi Wakuu wa NIDA na TCRA kutembelea mikoa tajwa hapo juu kabla ya tarehe 20 mwezi huu ambapo line za simu zote zisizo na usajili wa kitambulisho cha NIDA zitasitishiwa huduma. Kama tukiendelea kuwafanyia Waha, Wahangaza na Wanyambo mambo tunayowafanyia...
Back
Top Bottom